Hodi Wana JF..

Hodi Wana JF..

Mpaka afanye mchakato wa kuwaweka kwenye payroll. Halafu Mulemwa na Nyagonde ni anti Mamvi. Hawawezi kukubali kushikiwa akili kama ambavyo Mushi ameshikiwa na Shigela

Unajidharaulisha, kuna uhusiano gani wa mie kujiunga hapa na masuala ya Shigela?

Tumia akili kidogo basi...
 
Mpaka afanye mchakato wa kuwaweka kwenye payroll. Halafu Mulemwa na Nyagonde ni anti Mamvi. Hawawezi kukubali kushikiwa akili kama ambavyo Mushi ameshikiwa na Shigela

basi amelete mzee wa nyama choma bruno kimario
 
Back
Top Bottom