Hodi

Hodi

Karibu mambo ya Facebook hatutaki kabisa kuandika

Sasa mnatumia xaxa
Na mambo kama hayo
 
Habari zenu wana jf,

Mi ni mgeni wenu ingawa nimekuwa nikiitumia JF kama chanzo cha habari kwa zaidi ya miaka 4.
Sasa nimeona nijiunge rasmi....Naombeni ushirikiano wenu.
Karibu sana
 
Back
Top Bottom