Hodiiiii

You are most welcome , lkn hapa ujifunze kuwa mstahmilivu km mm mana waweza Leta thread ya maana tu ukaishia kuchambwa na matusi mengi sasa mtu akikutukana ucmjibu inawezekana ni mkeo, humjui sababu nae anatumia fake ID, umesikia rafiki yangu[emoji54]
 
Hahaaa,, dangany toto mkuu unajitaid sana
 
Shukran KWA ushauri mzur
 
Vp umekuja na vyakula vyako.kama umekuja mikono mitupu utashinda njaa maana maisha haya ya kipindi cha magu nikilevi tosha ndo maana hata viloba v me b cancelled out.
 
Vp umekuja na vyakula vyako.kama umekuja mikono mitupu utashinda njaa maana maisha haya ya kipindi cha magu nikilevi tosha ndo maana hata viloba v me b cancelled out.
Nimekuja na chakula changu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…