Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohoo. Bahati mbaya. Mvua kwetu hainyeshiMaji ya mvua yanatosha Super Women2
Nipe hata maziwa[/QUOTE maziwa tena... Mgeni unabalaa wewe
Hahaaa,, dangany toto mkuu unajitaid sanaKaribu sana Mr Weru.
Kwa niaba ya wana JF wote naomba pia umlete na Mrs. Weru kwenye Forum yetu, MMU kule wanamuhitaji sana.
Na nimekuzawadia rasmi cheo cha Mkuu, ukiona mtu anakuita humu mkuu Mr.Weru, usishangae maana nikikupa cheo humu ndani, hakuna wa kukunyang'anya.
Shukran KWA ushauri mzurYou are most welcome , lkn hapa ujifunze kuwa mstahmilivu km mm mana waweza Leta thread ya maana tu ukaishia kuchambwa na matusi mengi sasa mtu akikutukana ucmjibu inawezekana ni mkeo, humjui sababu nae anatumia fake ID, umesikia rafiki yangu[emoji54]