Hodiiiii

Hodiiiii

karbu jf,humu kila mtu msomi na mjuaji,hamna masikini ,sote siasa tunazifahamu,na hatupangiwi-karbu mkuu
 
Asante sanaa
Cha msingi uzingatie sheria humu na TAMBUA KUNA WATU WA AINA MBALIMBALI HUMU....Jifunze jinsi ya kwenda nao sawa na kuwavumilia...

swali la kizushi; Majukwaa yako pendwa ni yapi??
 
Cha msingi uzingatie sheria humu na TAMBUA KUNA WATU WA AINA MBALIMBALI HUMU....Jifunze jinsi ya kwenda nao sawa na kuwavumilia...

swali la kizushi; Majukwaa yako pendwa ni yapi??
Asante kwa ushaur
 
Back
Top Bottom