Hodiiiiiii mpaka ndani!

Hodiiiiiii mpaka ndani!

Karibu ila wakikuambia weka picha unajua chakufanya hapo?
 
mkuu Mndengereko kule kuna watu hawakawii kukupandisha maruhani ukafyatuka ukajikuta uko selo nampa tahadhari tu!

Kumbe hapa mnaitana Mkuu! kwa Hiyo mkuu Suleym Selo utaendaje wakati Wakuu mnakutana tu mtandaoni???
 
Last edited by a moderator:
Nlikotoka Upendo ni kwa mtu anayekujua, hapa kuna watu wamenifungua mpaka kamba mguuni mwangu.
Humu kuna upendo wa kutosha,utafunguliwa mpaka wallet yako............lol!!!!!
 
Hapana sijui.
Hapo unahitaji maelekezo ya muda kidogo ambayo yatakugharimu kiasi cha pesa hivyo nitakutumia no yangu Pm unitumie kiasi hicho cha pesa kwa njia ya m-pesa kwaajili ya zoezi la kukufundisha.


HATARI LAKINI SALAMA USIWEKE MBALI NA WATOTO
 
Hapo unahitaji maelekezo ya muda kidogo ambayo yatakugharimu kiasi cha pesa hivyo nitakutumia no yangu Pm unitumie kiasi hicho cha pesa kwa njia ya m-pesa kwaajili ya zoezi la kukufundisha.


HATARI LAKINI SALAMA USIWEKE MBALI NA WATOTO

Ngoja nifanye hivyo, utakua umenisaidia maana sina nnachojua, yani humu ndani full maupendo.
 
Wewe naona wenyeji umebadili username mvons inaonekana kama unaifahamu vizuri mitaa ya MMU?
 
Wewe naona mwenyeji umebadili username mbona inaonekana kama unaifahamu vizuri mitaa ya MMU?
 
Ooooooooh! basi ulivyosema mwanamke mwenye sura mbaya ndo nimekuona, ngoja nije manake wanawake wenye sura mbaya kama yako ndo mambo yote hapa mjini.

kumbe aya njoo kumbe we ni ME
 
Back
Top Bottom