G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,625
- 8,639
Wanajamvi mnisaidie hii,mala kadhaa hukuta mtu anakua na hofu,ni kama kitu ndani yake humsababishia kutokujiamini kwa mambo mengi na hata jambo dogo laweza kumyumbisha na kujikuta akiishi kwa hofu na uoga hata kama jambo ni la kawaida kabisa,swali langu ni je hofu husababishwa ea nini na nini dawa yake ya kuiondoa hofu na uoga?
