Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Binafsi natambua hivi;
Hofu ni hali impatayo mtu pale anapokosa ujasiri/ni matokeo ya kukosekana kwa ujasiri...kwa tukio hatarishi ambalo bado halijatokea, linalotokea au linatarajiwa kutokea.
Hivyo mtu anapokosa ujasiri iwe ni 'inner power' au 'physical ability' huingiwa na hofu na kuona kuwa atamezwa na hatari iliyopo mbele yake...
Unaweza kuikimbia hofu kwa kufanya au kufuata yafuatayo;
1. Kujiamini (kuwa na mtazamo chanya)...
2. Kujiandaa kimwili na kiroho...(kuwa na ujuzi wa mambo yanayokukabili na yatayokukabili)
3. Kuomba msaada toka katika NGUVU zilizokuzidi nguvu...
Hofu ni hali impatayo mtu pale anapokosa ujasiri/ni matokeo ya kukosekana kwa ujasiri...kwa tukio hatarishi ambalo bado halijatokea, linalotokea au linatarajiwa kutokea.
Hivyo mtu anapokosa ujasiri iwe ni 'inner power' au 'physical ability' huingiwa na hofu na kuona kuwa atamezwa na hatari iliyopo mbele yake...
Unaweza kuikimbia hofu kwa kufanya au kufuata yafuatayo;
1. Kujiamini (kuwa na mtazamo chanya)...
2. Kujiandaa kimwili na kiroho...(kuwa na ujuzi wa mambo yanayokukabili na yatayokukabili)
3. Kuomba msaada toka katika NGUVU zilizokuzidi nguvu...
Wanajamvi mnisaidie hii,mala kadhaa hukuta mtu anakua na hofu,ni kama kitu ndani yake humsababishia kutokujiamini kwa mambo mengi na hata jambo dogo laweza kumyumbisha na kujikuta akiishi kwa hofu na uoga hata kama jambo ni la kawaida kabisa,swali langu ni je hofu husababishwa ea nini na nini dawa yake ya kuiondoa hofu na uoga?