Hofu imetanda, Marekani imedeploy ndege wanajeshi Miami Beach

Hofu imetanda, Marekani imedeploy ndege wanajeshi Miami Beach

green rajab

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
12,387
Reaction score
39,119
Baada ya Urusi kupeleka Nyambizi na Meli za Kivita Marekani wameingiwa na uwoga na kuamua kupeleka ndege za Kivita Miami na zinashinda hewani ziki zunguka kwa hofu 🤣🤣🤣🤣🤣

#BREAKING -🚨⚡🇺🇸 The deployment of US navy in Miami due to Russian Warships, 6/12

 
Baada ya Urusi kupeleka Nyambizi na Meli za Kivita Marekani wameingiwa na uwoga na kuamua kupeleka ndege za Kivita Miami na zinashinda hewani ziki zunguka kwa hofu 🤣🤣🤣🤣🤣
Biden mavi yana gonga kyupi

#BREAKING -🚨⚡🇺🇸 The deployment of US navy in Miami due to Russian Warships, 6/12
Unawachukia wamarekani upeo.Hawastahili kuishi kwa kuwa si wafuasi wa allah?Nimekupre empty kwa sababu motivation ya ww kuweka hii kitu ni chuki ya kidini.We know you!
 
We
Unawachukia wamarekani upeo.Hawastahili kuishi kwa kuwa si wafuasi wa allah?Nimekupre empty kwa sababu motivation ya ww kuweka hii kitu ni chuki ya kidini.We know you!
We boya mi ndio nimerecord hiyo video au roho inakuuma mashoga wenzako wanavyopagawa
Kosa la marekani imesubirije ifike
Hawana uwezo wa kuidhibiti Russia
 
Sijui Uislamu umeingiaje hapa,,, ila
Unawachukia wamarekani upeo.Hawastahili kuishi kwa kuwa si wafuasi wa allah?Nimekupre empty kwa sababu motivation ya ww kuweka hii kitu ni chuki ya kidini.We know you!

Dini ya uislamu inapigwa vita kila kona, na madola yote yenye nguvu lakini bado imesimama imara, 🤔🤔🤔🧐
Kuna la kujifunza hapa.
 
Kosa la marekani imesubirije ifike
Yaani ulitaka wavamie nuclear powered submarine? Mzee Biden hapiganishi vita. Ma four star generals ndo hupiganisha vita baada ya impact assessment. Sasa hivi all US generals Wana downplay au wanapuuza hilo tukio kuwa act of war! While in real sense wanajadili how to go easy about it. Unajua kwanini? Hawakujiandaa na hawajiandaa kuingia vitani na Russia. Halafu kumbuka Russia na USA ni karibu mno, wanakutania Alaska hawapitii katikati ya ramani ya Dunia kama unavyooiona ktk picha.
 
Baada ya Urusi kupeleka Nyambizi na Meli za Kivita Marekani wameingiwa na uwoga na kuamua kupeleka ndege za Kivita Miami na zinashinda hewani ziki zunguka kwa hofu 🤣🤣🤣🤣🤣
Biden mavi yana gonga kyupi

#BREAKING -🚨⚡🇺🇸 The deployment of US navy in Miami due to Russian Warships, 6/12
Kobaz sijui vichwani mmejaza ugolo??

Ungeona USA hawajapeleka ndege na Nyambizi ndo ungejua hawana hofu!!? Hii dini hii iko shida kubwa
 
Sijui Uislamu umeingiaje hapa,,, ila


Dini ya uislamu inapigwa vita kila kona, na madola yote yenye nguvu lakini bado imesimama imara, 🤔🤔🤔🧐
Kuna la kujifunza hapa.
alshabab , boko haram , isis , hamas , taliban , hizbollah , Al Ansar Sunn , Adf , Janjaweed niendelee ? fuatilia tabia za haya makundi hlf rudi kusema uislam unapigwa vita
 
Back
Top Bottom