Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CNN wamesema sababu Russia na Cuba wamesema. Je ukweli unaujua?Nilikuwa nasikiliza CNN INTERNATIONAL leo mchana.
Usikute hajui kuwa Russia na US ni ajiraniYaani ulitaka wavamie nuclear powered submarine? Mzee Biden hapiganishi vita. Ma four star generals ndo hupiganisha vita baada ya impact assessment. Sasa hivi all US generals Wana downplay au wanapuuza hilo tukio kuwa act of war! While in real sense wanajadili how to go easy about it. Unajua kwanini? Hawakujiandaa na hawajiandaa kuingia vitani na Russia. Halafu kumbuka Russia na USA ni karibu mno, wanakutania Alaska hawapitii katikati ya ramani ya Dunia kama unavyooiona ktk picha.
soma uelewe hatari na upekee wa hii manowari na kwanini eu na nato wanaiogopaHiyo Nyambizi na Manowari hazina Silaha za Kinuklia.
Mbona sasa Marekani wamepeleka kila silaha sehemu hiyo?aisee wewe huna akili kabisa Marekani wenyewe waneona hatari wakaamsha jeshi laoRussia kupeleka nyambizi Cuba haina madhara yoyote kwani watashangaa shangaa hapo kisha watarudi zao kwao bila kufanya chochote.
Unatizama nakusikiliza tv ya kishoga??Nilikuwa nasikiliza CNN INTERNATIONAL leo mchana.
Wajifunze defensive game, hakuna namna!Wazee wa kukabia mbele vipi tena?
nimesoma mahali wanasema Russia ana nyambizi pacific na zingine antlatic, that means yuko pande zote za US.........Yaani ulitaka wavamie nuclear powered submarine? Mzee Biden hapiganishi vita. Ma four star generals ndo hupiganisha vita baada ya impact assessment. Sasa hivi all US generals Wana downplay au wanapuuza hilo tukio kuwa act of war! While in real sense wanajadili how to go easy about it. Unajua kwanini? Hawakujiandaa na hawajiandaa kuingia vitani na Russia. Halafu kumbuka Russia na USA ni karibu mno, wanakutania Alaska hawapitii katikati ya ramani ya Dunia kama unavyooiona ktk picha.
nimesoma mahali wanasema Russia ana nyambizi pacific na zingine antlatic, that means yuko pande zote za US.........
majenerali wa US wanasema ndani ya miaka 2-5 ijayo Russia atakua na uwezo wa kudeploy nyambizi zaidi ya 5 kila upande (i.e pacific & antlatic) na hii wanasema itasumbua sana kiulinzi
Kama dini haikufanyi kuwa mbora achana nayo mwafrika mwenzanguWe boya mi ndio nimerecord hiyo video au roho inakuuma mashoga wenzako wanavyopagawa
Inawezekana wakati unaandika haya umepakatwa na padriKobaz sijui vichwani mmejaza ugolo??
Ungeona USA hawajapeleka ndege na Nyambizi ndo ungejua hawana hofu!!? Hii dini hii iko shida kubwa
Ndege zinazunguka kwa hofu😂😂.Baada ya Urusi kupeleka Nyambizi na Meli za Kivita Marekani wameingiwa na uwoga na kuamua kupeleka ndege za Kivita Miami na zinashinda hewani ziki zunguka kwa hofu 🤣🤣🤣🤣🤣
#BREAKING -🚨⚡🇺🇸 The deployment of US navy in Miami due to Russian Warships, 6/12
View attachment 3016660
Hizo ndege hazina uhusiano wowote na unachojaribu kukihisisha nacho.Baada ya Urusi kupeleka Nyambizi na Meli za Kivita Marekani wameingiwa na uwoga na kuamua kupeleka ndege za Kivita Miami na zinashinda hewani ziki zunguka kwa hofu 🤣🤣🤣🤣🤣
#BREAKING -🚨⚡🇺🇸 The deployment of US navy in Miami due to Russian Warships, 6/12
View attachment 3016660
Hata USA huwa anapeleka makarai yake Japan na north Korea karibu na kidukuRussia kupeleka nyambizi Cuba haina madhara yoyote kwani watashangaa shangaa hapo kisha watarudi zao kwao bila kufanya chochote.
Wanakabia juu sanaWazee wa kukabia mbele vipi tena?
Umetengeneza hata tooth pick,au unasubiri wengine wafanye!?Wenzetu wanaishi, kila siku mbongo zao zinawaza new high advance technology, sisi tumebaki majungu