Hofu imetanda, Marekani imedeploy ndege wanajeshi Miami Beach

Hofu imetanda, Marekani imedeploy ndege wanajeshi Miami Beach

Yaani ulitaka wavamie nuclear powered submarine? Mzee Biden hapiganishi vita. Ma four star generals ndo hupiganisha vita baada ya impact assessment. Sasa hivi all US generals Wana downplay au wanapuuza hilo tukio kuwa act of war! While in real sense wanajadili how to go easy about it. Unajua kwanini? Hawakujiandaa na hawajiandaa kuingia vitani na Russia. Halafu kumbuka Russia na USA ni karibu mno, wanakutania Alaska hawapitii katikati ya ramani ya Dunia kama unavyooiona ktk picha.
Achana na ngonjera za kupitia sijui Alaska, hakuna kitu kama hiko, lazima wapite katikati.
 
Baada ya Urusi kupeleka Nyambizi na Meli za Kivita Marekani wameingiwa na uwoga na kuamua kupeleka ndege za Kivita Miami na zinashinda hewani ziki zunguka kwa hofu 🤣🤣🤣🤣🤣

#BREAKING -🚨⚡🇺🇸 The deployment of US navy in Miami due to Russian Warships, 6/12

View attachment 3016660
Neno uoga umelitumia vibaya.Ungetueleza kwamba wameongeza umakini na kuwa suspicious na kila jambo.
 
Mbona sasa Marekani wamepeleka kila silaha sehemu hiyo?aisee wewe huna akili kabisa Marekani wenyewe waneona hatari wakaamsha jeshi lao
Hakuna hatari yoyote hizo ni porojo za jihadists tu wakishagonga vichwa chini. There is no winner in nuclear war.
 
Kwa wale waliokua wanaiona Urusi kama Haina akili utu na ustaarabu kuizuia NATO isiisogelee karibu Sasa nadhani watakua wamepata majibu sahihi kabisa kua NATO kuja karibu na Urusi ni hatari na shari.
Sasa hebu fikiria Urusi Haina ugomvi na USA je ni Nini kikepelekea USA kupeleka silaha karibu na Cuba mara baada TU ya Urusi kupeleka melivita nchini Cuba kwa ajili ya kufanya mazoezi?
Je mbona USA hufanya mazoezi na nchi nyingine sehemu nyingine hapa duniani lakini hatujaona Urusi akipelela majeshi namna hiyo?
Kwa Hali hiyo ndio wale waliokua wanailaumu Urusi kwa kuizuia Ukraine isijiunge na NATO Kwa sababu Ukraine kua mwanachama wa NATO kunapelekea USA kuikaribia Urusi kama vile Urusi ilivyoikaribia USA kupitia kwa Cuba.
Kama USA anaona si sahihi kwa Cuba kama taifa huru kukaribisha marafiki zake ambao ni maadui wa USA basi vivyo hivyo kwa Urusi ndivyo anavyoona sio sahihi kwa Ukraine kuwakaribisha maadui zake NATO
Kwa hofu aliyoipata USA basi Urusi anayo haki ya kuipiga Ukraine.
Wenye akili watakua wamenielewa.
Kwa hiyo Marekani ameivamia Cuba.
 
Kwa wale waliokua wanaiona Urusi kama Haina akili utu na ustaarabu kuizuia NATO isiisogelee karibu Sasa nadhani watakua wamepata majibu sahihi kabisa kua NATO kuja karibu na Urusi ni hatari na shari.
Sasa hebu fikiria Urusi Haina ugomvi na USA je ni Nini kikepelekea USA kupeleka silaha karibu na Cuba mara baada TU ya Urusi kupeleka melivita nchini Cuba kwa ajili ya kufanya mazoezi?
Je mbona USA hufanya mazoezi na nchi nyingine sehemu nyingine hapa duniani lakini hatujaona Urusi akipelela majeshi namna hiyo?
Kwa Hali hiyo ndio wale waliokua wanailaumu Urusi kwa kuizuia Ukraine isijiunge na NATO Kwa sababu Ukraine kua mwanachama wa NATO kunapelekea USA kuikaribia Urusi kama vile Urusi ilivyoikaribia USA kupitia kwa Cuba.
Kama USA anaona si sahihi kwa Cuba kama taifa huru kukaribisha marafiki zake ambao ni maadui wa USA basi vivyo hivyo kwa Urusi ndivyo anavyoona sio sahihi kwa Ukraine kuwakaribisha maadui zake NATO
Kwa hofu aliyoipata USA basi Urusi anayo haki ya kuipiga Ukraine.
Wenye akili watakua wamenielewa.
Kwamba Us anaenda kuivamia Cuba sasa kama Russia ilivovamia Ukraine?
Kuwa jirani na Russia ni Kazi kubwa sana, hawezi kuishi vizuri na majirani zake.
 
Kwa wale waliokua wanaiona Urusi kama Haina akili utu na ustaarabu kuizuia NATO isiisogelee karibu Sasa nadhani watakua wamepata majibu sahihi kabisa kua NATO kuja karibu na Urusi ni hatari na shari.
Sasa hebu fikiria Urusi Haina ugomvi na USA je ni Nini kikepelekea USA kupeleka silaha karibu na Cuba mara baada TU ya Urusi kupeleka melivita nchini Cuba kwa ajili ya kufanya mazoezi?
Je mbona USA hufanya mazoezi na nchi nyingine sehemu nyingine hapa duniani lakini hatujaona Urusi akipelela majeshi namna hiyo?
Kwa Hali hiyo ndio wale waliokua wanailaumu Urusi kwa kuizuia Ukraine isijiunge na NATO Kwa sababu Ukraine kua mwanachama wa NATO kunapelekea USA kuikaribia Urusi kama vile Urusi ilivyoikaribia USA kupitia kwa Cuba.
Kama USA anaona si sahihi kwa Cuba kama taifa huru kukaribisha marafiki zake ambao ni maadui wa USA basi vivyo hivyo kwa Urusi ndivyo anavyoona sio sahihi kwa Ukraine kuwakaribisha maadui zake NATO
Kwa hofu aliyoipata USA basi Urusi anayo haki ya kuipiga Ukraine.
Wenye akili watakua wamenielewa.
Mbona ni utaratibu wa kawaida tu Russia kwenda Cuba na kuondoka? Kwa kuwa mnalisikia kwa mara ya kwanza ndiyo mmeamua kulitungia story.
Russia wameenda pale na watakuwepo hadi Jumatatu ndiyo wataondoka lakini ninyi mnaenda mbali zaidi na kusema eti anaenda kujenga kambi kabisa. Hata angejenga kambi pia isingekuwa jambo geni sababu USSR ilikuwepo Cuba miaka mingi tu na hakuna ilichofanya.
Kingine, Russia amepeleka hizo meli zake pale, masaa machache baadaye Canada naye amepeleka HMCS Margaret Brooke.
Watu mnashangilia tu kichwakichwa, Russia na Canada wote wamealikwa kuhudhuria maazimisho ya mapinduzi ya Kijesho ya Cuba.
Halafu US ukumbuke siku zote yupo pale Guantanamo, hiyo nuclear powered submarine aliyoisogeza ni baada ya kuona aina ya manowalibambayobRussia ameenda nayo, kwani kuna shida? Kingine fuatilia vizuri, Russia wamelalamikabkuwa kabla hawajaenda walituma signal kwa US lakini US haiku respond
 
Mboa ni utaratibu wa kawaida tu Russia kwenda Cuba na kuondoka? Kwa kiwa mnalisikia kwa mara ya kwanza ndiyo mmeamua kulitungia story.
Russia wameenda pale na watakuwepo hadi Jumatatu ndiyo wataondoka lakini ninyi mnaenda mbali zaidi na kusema eti anaendavkujenga kambi kabisa. Hata angejenga kambi pia isingekuwa jambo geni sababu USSR ilikuwepo Cuba miaka mingi tu na hakuna ilichofanya.
Kingine, Russia amepeleka hizo meli zake pale, masaa machache baadaye Canada naye amepeleka HMCS Margaret Brooke.
Watu mnashangilia tu kichwakichwa, Russia na Canada wote wamealikwa kuhudhuria maazimisho ya mapinduzi ya Kijesho ya Cuba.
Daah
 
Kwa wale waliokua wanaiona Urusi kama Haina akili utu na ustaarabu kuizuia NATO isiisogelee karibu Sasa nadhani watakua wamepata majibu sahihi kabisa kua NATO kuja karibu na Urusi ni hatari na shari.
Sasa hebu fikiria Urusi Haina ugomvi na USA je ni Nini kikepelekea USA kupeleka silaha karibu na Cuba mara baada TU ya Urusi kupeleka melivita nchini Cuba kwa ajili ya kufanya mazoezi?
Je mbona USA hufanya mazoezi na nchi nyingine sehemu nyingine hapa duniani lakini hatujaona Urusi akipelela majeshi namna hiyo?
Kwa Hali hiyo ndio wale waliokua wanailaumu Urusi kwa kuizuia Ukraine isijiunge na NATO Kwa sababu Ukraine kua mwanachama wa NATO kunapelekea USA kuikaribia Urusi kama vile Urusi ilivyoikaribia USA kupitia kwa Cuba.
Kama USA anaona si sahihi kwa Cuba kama taifa huru kukaribisha marafiki zake ambao ni maadui wa USA basi vivyo hivyo kwa Urusi ndivyo anavyoona sio sahihi kwa Ukraine kuwakaribisha maadui zake NATO
Kwa hofu aliyoipata USA basi Urusi anayo haki ya kuipiga Ukraine.
Wenye akili watakua wamenielewa.
Mkuu asiekuelewa hapa basi tena na hii ndio sababu ya kwanini ukraine lazima atandikwe.
 
Back
Top Bottom