DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Mechi mbili za Wydad Casablanca dhidi ya As vita ya Congo limepatikana bao 1 tu , tena bao hilo lilifungwa pale MOHAMED V STADIUM .
As vita amemaliza akishika mkia kwenye kundi A , yani ina maanisha As Vita ndiye alikuwa kibonde wa kundi kila mtu anachukua point kwake .
As Vita hana ubora kuliko Simba Sc kwasasa kwenye michuano ya CAF na wala hakuna timu bora zaidi ya SIMBA SC kwenye ukanda wa Afrika mashariki na kati linapokuja suala zima la CAF upande wa vilabu .
As Vita anakutana na Wydad tena kwao anaruhusu bao moja tu , anaenda kwake anapata sare ya 0-0 , hapo unapata funzo yakwamba kule Mohamed v Mohamed ,panatisha vibe la mashabiki ila kanda za video za As vita zinaweza kutumika kwenye kuifunza Simba Sc jinsi ya kucheza na Wydad pale Mohamed v Mohamed .
Cha maana Simba Sc inabidi imalize mchezo palepale LUPASO alafu ugenini ,wanaishi na Wydad ile KIFAZA yani mifumo ya Jose Mourinho, kuanzia namba ya nyuma hadi kwa washambuliaji wanaweka mabeki .....
Hofu ni hii inayotambaa kwasasa lakini Uhalisia Wydad anawezekan a ,na kama Simba Sc ina ndoto ya kutwaa taji hili inabidi icheze na timu kama hizi zenye Ubingwa huu , maana hatua hii wanacheza mabingwa huwezi ikuta Lipuli huku , kwahiyo hofu isitawale sana , Uhalisia ni kwamba Wydad wanawezekana ..kibaya zaidi wenye hofu zaidi ni watu wa Yanga kuliko simba wenye shughuli yao....
As vita amemaliza akishika mkia kwenye kundi A , yani ina maanisha As Vita ndiye alikuwa kibonde wa kundi kila mtu anachukua point kwake .
As Vita hana ubora kuliko Simba Sc kwasasa kwenye michuano ya CAF na wala hakuna timu bora zaidi ya SIMBA SC kwenye ukanda wa Afrika mashariki na kati linapokuja suala zima la CAF upande wa vilabu .
As Vita anakutana na Wydad tena kwao anaruhusu bao moja tu , anaenda kwake anapata sare ya 0-0 , hapo unapata funzo yakwamba kule Mohamed v Mohamed ,panatisha vibe la mashabiki ila kanda za video za As vita zinaweza kutumika kwenye kuifunza Simba Sc jinsi ya kucheza na Wydad pale Mohamed v Mohamed .
Cha maana Simba Sc inabidi imalize mchezo palepale LUPASO alafu ugenini ,wanaishi na Wydad ile KIFAZA yani mifumo ya Jose Mourinho, kuanzia namba ya nyuma hadi kwa washambuliaji wanaweka mabeki .....
Hofu ni hii inayotambaa kwasasa lakini Uhalisia Wydad anawezekan a ,na kama Simba Sc ina ndoto ya kutwaa taji hili inabidi icheze na timu kama hizi zenye Ubingwa huu , maana hatua hii wanacheza mabingwa huwezi ikuta Lipuli huku , kwahiyo hofu isitawale sana , Uhalisia ni kwamba Wydad wanawezekana ..kibaya zaidi wenye hofu zaidi ni watu wa Yanga kuliko simba wenye shughuli yao....