Uliyopost ni kweli kabisa
Misss Chuga
Lakini pia njia nyingine wanazotumia ni chanjo.
Bill gate - jambazi kuu - aliwahi kusema kuwa "Tukifanya vema katika chanjo, tutaweza kupunguza population ....
Conclusion yako ni poa sana, kwamba:
//Na waasa sana Waafrika tujichunge sana maana Ongezeko letu sio pendezo kwa mataifa mengine. Chunga uhai wako tuwe wadadisi kwa vitu tunavyoletewa. Pia waafrika wenzangu tuwatunze watoto tunaowazaa kwa kuwalea vyema kwa kufanya kazi kuwalisha ili waweze kuwa imara wenye afya.//
Tatizo ni kuwa viongozi wengi wa Africa wako tayari kunyenyekea wazungu kwa sababu ya vijisenti, kiasi kwamba wako tayari kutoa sadaka waafrika wenzao. Mungu anawaona.