Hofu inayotawala Mataifa ya Ulaya Dhidi ya Waafrika na Bara lao

Hofu inayotawala Mataifa ya Ulaya Dhidi ya Waafrika na Bara lao

Yale yale ya mfalme farao wa Misri aliyowafanyia wayahudi original...na Mungu alimwambia Musa wayahudi wasipo zishika amri zangu wata rudi Misri kwa mitumbwi.....safari ambayo hawatarudi tena ktk nchi yao ya ahadi....Misri ni Africa. Na kweli viafrica vilivyo bskia israel/palestina ni vichache mnoo...havitambuliki wengi tulikimbilia Misri yaani africa....lkn wkt ule wa zama za utawala wa wagiriki na waroma. Tulipofika Misri tu..nao wakatufukuza wakisema viyahudi (wabantu)vime fukuzwa kwao vinakuja huku kwetu...nao wakatufukuza zaidi tukaelekea kusini zaidi na magharibi zaidi ndo maana lugha zetu africa ya wabantu zina fanana saaana.....lkn pia wakatufuata kusini ya afeica na tukauzwa km watumwa Ulaya na USA.biashara ambayo imeisha hivi karibuni tu miaka takribani 100 ilopita.naabaki yapi hapo zanzi bar .bagamoyo nendeni mkajioneee!!.....watumwa ni waafrica tuu!! Muarabu wala mzungu...hana historia hiyo......Biblia ni kitabu cha Historia ya mweusi.....tu hata iweje! Mkisome muelewe.angalia sasa bongo tuko million 60. Kutoka millio 5-10....baada ya uhuru.....kabla tulikuwa millioni moja...tusingeuzwa/family planning tungekuwa milllion mia tatu mpaka sasa.....lkn hata wafanyeje waafrica tutazaa sana tu......mana tuna vizalio vitamu sana. hata wao wana kili sisi weusi ni watamu mnooo! Ukibisha uliza demu anaye chepuka na Mzungu........
Historia uchwara, chunguza hizi story za sisi ni wayahudi zina toka kwa watu weusi marasta tena wakisha vuta bangi.
 
Back
Top Bottom