Uchaguzi 2020 Hofu kubwa kwa wana CCM juu ya Lissu, wanafahamu wazi kabisa Lissu sio kondoo kama Lowassa

Uchaguzi 2020 Hofu kubwa kwa wana CCM juu ya Lissu, wanafahamu wazi kabisa Lissu sio kondoo kama Lowassa

Lissu hana madhara alipokuwa mzima sembuse asa ivi tia maji tia maji.. tatizo ya Chadomo ni madomo kaya na kupenda kujifariji ila ni nzuri kwa afya jealous down.
 
Nimekuuliza ni kwanini ?!. Hata Mutharika alijua wa Malawi hawawezi kumtosa . Mambo ya kura usijiamini kupita kiasi

Utanipandisha Hasira zangu nikujibu vibaya unichukie sawa? Nimekuambia Rais Magufuli na CCM yake atashinda kwa Kishindo hutaki Kafie mbele!!
 
Huyo Lisu anatakiwa mahakamani kwa kuruka dhamana. Nampa pole kwani anaweza kufanyia kampeni zake gerezani
Screenshot_20200803-104947.jpg


Jr[emoji769]
 
Wana ccm wanapiga propaganda ili ionekane Lisu atakatwa jina lake, lakini niwadhihirishie hizo zitabaki kuwa propaganda na kama Lisu akipitishwa na chama hawana uwezo wakukata jina lake huko tume ccm, ccm nawatahadharisha Lisu sio kondoo kamaa mzee Lowasa anajua namna yakudai haki yake


Uongozi wa Magufuli mnasema umenunua ndenge,umejenga fly over,umejenga viwanja vya ndege chato, umewasamehe wakina Lugola ubadhirifu wa tril 1, umejenga meli, umejenga barabara, umekwapua tril 1.5 , umefanya maendeleo kedekede, tunachohitaji nendeni mkawaeleze wananchi mliyoyafanya wawape tena 5 nyingine. Lakini kutegemea Lisu asigombee tume ccm haiwezi wasaidia.

Sisi tunaenda na Lisu tuu,na CDM tunamuhitaji Lisu heri tushindwe tupigwe mabom tukiwa na Lisu, kama mnahitaji chama kife msimpitishe Lisu kuwa mgombea wenu

Nawatahadharisha tu ccm Lisu sio kondoo kama mzee Lowasa anajua kuidai haki.
Hamjitambui Kama asiyejitambua huyo TL wenu!
 
Lisu anataka michango ya kampeni ale Wala Sio mgombea serious ndio maana alipotangaza Nia time akatoa namba za simu watu wamchangie akitaraji akipata wachangiaji milioni moja wakatoa elfu Mona moja atakuwa tayari kapata bilioni moja!! Chadema wakamdhibiti chap chap kuwa mambo ya uchaguzi chama ndio kinatakiwa kichangiwe Sio yeye kuchangisha lakini bado anataka akiteuliwa anajua hakuna wa kumdhibiti kuchangisha akichangisha kibinafsi hakuna wa kumzuia Tena
Anachofanya Ni kupigana kufa na kupona achangiwe ale pesa

Marekani aliwaomba watanzania wa kule wawe wanamchangia hela ya nguo,Kodi , chakula na Ada za watoto wake

Binafsi myu aliyejitoa kwa Hali na Mali kugombea aliye serious Ni Nyalandu tu

Lisu anatafuta opportunity ya pesa tu za michango

Nakubaliana nawe ila Kwangu Mimi kwa Nyalandu huyu huyu aliyekuwa huku CCM Kwetu ukiniwekea na Lissu namchagua mapema tu Tundu Lissu.
 
Walisema harudi, amerudi sasa wasi wasi wa nini? Mengine tuachie sheria zichukue mkondo wake na tushuhudie mpambano wa sera.
Lissu akiteuliwa itakuwa ni mtego wa kisiasa na kiuchumi kwa serikali hii ya Magufuli.
Akijaguswa na mamlaka akaondolewa na NEC
mambo mawili yanaweza yakatokea:
1.Wapo wananchi watakaopiga kura za chuki,kuwanyima CCM kura za udiwani, ubunge,hata uraisi.

2.Lakini kuna mikono ya wababe wa dunia watakaoshindikizwa na wanaharakati wa haki za binadamu, hilo ndio baya zaidi wakishakuwekea vikwazo vya aina aina.
 
Wana ccm wanapiga propaganda ili ionekane Lisu atakatwa jina lake, lakini niwadhihirishie hizo zitabaki kuwa propaganda na kama Lisu akipitishwa na chama hawana uwezo wakukata jina lake huko tume ccm, ccm nawatahadharisha Lisu sio kondoo kamaa mzee Lowasa anajua namna yakudai haki yake


Uongozi wa Magufuli mnasema umenunua ndenge,umejenga fly over,umejenga viwanja vya ndege chato, umewasamehe wakina Lugola ubadhirifu wa tril 1, umejenga meli, umejenga barabara, umekwapua tril 1.5 , umefanya maendeleo kedekede, tunachohitaji nendeni mkawaeleze wananchi mliyoyafanya wawape tena 5 nyingine. Lakini kutegemea Lisu asigombee tume ccm haiwezi wasaidia.

Sisi tunaenda na Lisu tuu,na CDM tunamuhitaji Lisu heri tushindwe tupigwe mabom tukiwa na Lisu, kama mnahitaji chama kife msimpitishe Lisu kuwa mgombea wenu

Nawatahadharisha tu ccm Lisu sio kondoo kama mzee Lowasa anajua kuidai haki.
Lissu sio mbuzi. Wajiangakie vizuri hao jamaa Amsterdam atawalima barua nyingine watanywea kama ilivyokuwa juzi tar 28 july
 
Lissu akiteuliwa itakuwa ni mtego wa kisiasa na kiuchumi kwa serikali hii ya Magufuli.
Akijaguswa na mamlaka akaondolewa na NEC
mambo mawili yanaweza yakatokea:
1.Wapo wananchi watakaopiga kura za chuki,kuwanyima CCM kura za udiwani, ubunge,hata uraisi.

2.Lakini kuna mikono ya wababe wa dunia watakaoshindikizwa na wanaharakati wa haki za binadamu, hilo ndio baya zaidi wakishakuwekea vikwazo vya aina aina.
Tuko tayari kushirikiana na Mabeberu wa Kizungu kuliko hawa imbeciles za kiafrika.
 
Siitwi Gentamicin bali naitwa GENTAMYCINE tafadhali. Ni Mpumbavu ( Popoma ) tu pekee ndiyo ataamini kuwa Rais JPM na CCM yake hatoshinda!!
Ni upopoma wa hali yajuu kuamini kuwa chini ya tume huru hata kwa asilimia 30 tu kwamba Jpm anawesa kishinda.
 
Siitwi Gentamicin bali naitwa GENTAMYCINE tafadhali. Ni Mpumbavu ( Popoma ) tu pekee ndiyo ataamini kuwa Rais JPM na CCM yake hatoshinda!!

Kauli ya Malofa na wapumbavu bado unayo?

JPM ni nani, yani ujinga wako ndio unamfanya kujiona yeye ndio bora?

Kama yeye aliweza kumpiga risasi 16 na pia kumponya basi hawezi kushindwa. Watu wasomi hawana kauli hizi?
 
Ni wapi CCM ' imemuhujumu ' Tundu A Lissu Mkuu? Je, unao ' Ushahidi ' wa Kutosha usio na Shaka juu ya haya ' Madai ' yako ya ' Kipopoma ' hivi?
Genta we ndio popoma zaidi humu ndani yaani wewe kwa upopoma wako unadhani unaweza kuwashinda watu kwa hoja kwa mitusi yako. Imbecile!
 
Genta we ndio popoma zaidi humu ndani yaani wewe kwa upopoma wako unadhani unaweza kuwashinda watu kwa hoja kwa mitusi yako. Imbecile!

Najua kwakuwa unajua ID yako siyo ' Brand ' hivyo unataka ijulikane sasa ' Unanichokoza ' ili ' tujibizane ' ili niipaishe kama zingine nawe ujulikane.
 
Ni upopoma wa hali yajuu kuamini kuwa chini ya tume huru hata kwa asilimia 30 tu kwamba Jpm anawesa kishinda.
Kwahiyo Lisu na na machadema wengine wite nyie ni mapopoma?
 
Lisu anataka michango ya kampeni ale Wala Sio mgombea serious ndio maana alipotangaza Nia time akatoa namba za simu watu wamchangie akitaraji akipata wachangiaji milioni moja wakatoa elfu Mona moja atakuwa tayari kapata bilioni moja!! Chadema wakamdhibiti chap chap kuwa mambo ya uchaguzi chama ndio kinatakiwa kichangiwe Sio yeye kuchangisha lakini bado anataka akiteuliwa anajua hakuna wa kumdhibiti kuchangisha akichangisha kibinafsi hakuna wa kumzuia Tena
Anachofanya Ni kupigana kufa na kupona achangiwe ale pesa

Marekani aliwaomba watanzania wa kule wawe wanamchangia hela ya nguo,Kodi , chakula na Ada za watoto wake

Binafsi myu aliyejitoa kwa Hali na Mali kugombea aliye serious Ni Nyalandu tu

Lisu anatafuta opportunity ya pesa tu za michango
Nyalandu ni chaguo la CCM wanajua ni dhaifu mno hawapi pressure kwenye kampeni watapeta kiwepesi
 
Back
Top Bottom