Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,819
- 7,638
Hadi sasa chief hana namna. Tume huru kweli kweli lzm ipatikane tu.Hangaya anazuga tu hana mpango na Uchaguzi huru , ila tutamlazimisha , atake asitake
Kitaeleweka tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi sasa chief hana namna. Tume huru kweli kweli lzm ipatikane tu.Hangaya anazuga tu hana mpango na Uchaguzi huru , ila tutamlazimisha , atake asitake
Kupigiwa makofi kunachangia nini katika kuwakilisha hoja! Usipopigiwa makofi ndio hufanya hoja yako kuwa pungufu zaidi ya yule aliyepigiwa makofi. Haya ni mawazo ya KIHARAKATI HARAKATI.Joseph Mhagama ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Katiba ya Bunge, akiongoza vikao vya kupokea maoni juu ya marekebisho ya Sheria za Uchaguzi , amewazuia wadau kumpigia makofi , Katibu Mkuu wa Chadema alipokuwa anawasiliaha Nondo kabambe mbele ya Kamati hiyo .
Yaani Mhagama roho nusura imtoke baada ya Mnyika Kupongezwa kutokana na hoja zilizoshiba !
Hii ni aibu sana !
Nimesoma hoja za CHADEMA. Nakiri kwamba jamaa wameiva na wanaweka utaofa mbele kuliko watawala wetu na wanausalama waoJoseph Mhagama ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Katiba ya Bunge, akiongoza vikao vya kupokea maoni juu ya marekebisho ya Sheria za Uchaguzi , amewazuia wadau kumpigia makofi , Katibu Mkuu wa Chadema alipokuwa anawasiliaha Nondo kabambe mbele ya Kamati hiyo .
Yaani Mhagama roho nusura imtoke baada ya Mnyika Kupongezwa kutokana na hoja zilizoshiba !
Hii ni aibu sana !
HakikaNimesoma hoja za CHADEMA. Nakiri kwamba jamaa wameiva na wanaweka utaofa mbele kuliko watawala wetu na wanausalama wao
Kwani wakipigiwa inaharibu nini ?Kupigiwa makofi kunachangia nini katika kuwakilisha hoja! Usipopigiwa makofi ndio hufanya hoja yako kuwa pungufu zaidi ya yule aliyepigiwa makofi. Haya ni mawazo ya KIHARAKATI HARAKATI.
Tujikite katika hoja na sio kupigiwa makofi. Hii siyo kampeni. Kampeni subirini 2024-chaguzi za serikali za mitaa na 2025 uchaguzi mkuu.
Wachangiaji ni wengi, kila kupigiwa makofi kunameza karibu dakika 1. Pili utaratibu wa kamati kupiga makofi wakati hoja zinatolewa. Najua mmezoea lakini hapo si mahali pa makofi.Kwani wakipigiwa inaharibu nini ?
vikao vya kamati za bunge sio vikao vya ushabiki wa vyama bali ni vikao vinavyotakiwa kuwa makini hivyo kukataza ushabiki wa kushangilia wa aina yeyote inapotimiza majukumu yake!!Let's keep the records straight, sii kweli kuwa Mwenyekiti alizuia Mnyika asishangiliwe, bali alikuwa anakumbushia taratibu za vikao vya kamati, hakuna wachangiaji wowote kushangiliwa!, haswa ukizingatia JJMnyika ametinga na kundi kubwa la wafuasi wa Chadema na kuanza zile amsha amsha za shangilia kichawa chawa kila Mnyika anapozimiwa mic, ndipo Mwenyekiti akakumbushia mtu anayeryhusuwa kushangiliwa ni mmoja tuu!, unaweza kudhani Mwenyekiti wa ile kamati ni member wa lile kundi la chawa wa Mama!.
P