Hofu ya Corona: Rais Magufuli asitisha mbio za Mwenge 2020. Fedha kupelekwa ktk maandalizi ya kupambana na Corona

Hofu ya Corona: Rais Magufuli asitisha mbio za Mwenge 2020. Fedha kupelekwa ktk maandalizi ya kupambana na Corona

Wakati mwenge unanzidgwa hapakuwapo na nchi duniani inaitwa Tanzania. Hivyo hii hadithi imekufa kifo cha asili

Damu ya mbusi, mwanadamu, ndege haifui dafu kwa Damu ya Yesu. Mwenge uendelee kama kibatari chengine chechote kile.
 
Ile zawadi ya tausi wale, wale, wale! Nje ya maagano ya mbio za mwenge wa uhuru, ni balaa tupu, ni misiba baada ya misiba. Ingawaje ni " consipiracy theory" bali yanayokwenda kutokea ni kifo rasmi ya chama tawala[emoji2958][emoji41][emoji848][emoji851]


Jr[emoji769]
Yajayo yanafikirisha
 
Wakati mwenge unanzidgwa hapakuwapo na nchi duniani inaitwa Tanzania. Hivyo hii hadithi imekufa kifo cha asili

Damu ya mbusi, mwanadamu, ndege haifui dafu kwa Damu ya Yesu. Mwenge uendelee kama kibatari chengine chechote kile.
[emoji46][emoji47][emoji46][emoji47]

Jr[emoji769]
 
Mkuu you are going wide.
Mimi ninacho argue ni kwamba bado naamini Mwalimu was smart katika kuwaunganisha waTanzania kwa kuweza kuwaelewa waswahili wa Pwani na imani zao, watu wa milimani huko na wote wanaoamini mizimu yao.
Na hili halikuhitaji kuamini kwamba eti lilihitaji juju au ushirikina wa aina fulani.

Mbona mwenge wa Olympic umeanza kubebwa n kukimbizwa toka 1928, hata kabla ya mwenge wetu wa Uhuru.
Mwenge mahali popote unatumika kuwaunganisha watu ili wajione wamoja.
Wagiriki na mienge yao wapo wapi kama sio maskini wa kutupwa
 
UTANGULIZI: Akinukuu maneno hayo Sheikh Yahya alisema Forojo alimwambia Nyerere: “Baba, sisi tunataka kuwasha mwenge na kuuweka juu ya Mlima Kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu, ulete tumaini mahala pasipo na tumaini, faraja palipo na huzuni, tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki na heshima palipo na dharau.

“Baada ya kutamka hayo mbele ya Mwalimu Nyerere, Ganze alikata roho na siku chache baadaye Mwalimu Nyerere akayafanyia kazi maneno yake na kuanzisha Mwenge wa Uhuru ambao ulipandishwa Mlima Kilimanjaro na Kapteni Alexander Nyirenda aliyekuwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ),” alisema Sheikh Yahya.

Hata hivyo, mtaalam huyo wa unajimu alisema kilichowashangaza wengi ni maneno yaliyoongozwa yasemayo “UMULIKE NJE YA MIPAKA YETU ULETE TUMAINI” akahoji ina maana ndani ya nchi tubaki gizani? Sheikh Yahya Hussein alisema anashangazwa kwa nini Forojo Ganze hakutangazwa kama mwanzilishi wa Mwenge wa Uhuru kwani baada ya mazishi ya Forojo, ulianzishwa ambao ulikimbizwa nchi nzima mara tu baada ya uhuru mwaka 1961 na unaendelea kukimbizwa hadi sasa.

Nyerere alimuagiza Sheikh Yahya Hussein atafsiri maana ya ile namba 115 aliyokuwa ameiandika mkononi Forojo akamwambia:

“Namba 115 maana yake utakufa ukiwa na umri wa miaka 77 na Taifa la Tanzania kwa kipindi hicho litakuwa na umri wa miaka 38,” na ndivyo ilivyokuwa. Mwaka 1999 Mwalimu Nyerere alikufa akiwa na miaka 77 na taifa lilikuwa na miaka 38 ya uhuru na 77+38=115, namba aliyoiandika Forojo Ganze mkononi.

Unaitwa Mwenge wa uhuru na ulikimbizwa nchi nzima mara baada tu ya uhuru. Kuna mtu mmoja muhimu sana kwenye hili jambo naye si mwingine bali ni Mzee Forojo Ganze. Aliekuwa kaandika mkononi mwake no 115. Tafsiri yake ilikuwa hii. Mwalimu Nyerere atakufa akiwa na miaka 77. Wakati wa kifo chake taifa huru la Tanzania litakuwa na umri wa miaka 38. Utabiri huu ulitimia.

Kuna kitu Mzee Ganze hakukisema pengine kwa kupitiwa ama kifo kumuwahi kabla hajakisema. Nacho ninini kitamtokea mtu atakayevunja masharti ya zindiko. Imeshasemwa mara nyingi ya kwamba Mwenge ni zindiko na kafara la kukimbiza moto na lilikuwa maalum kwa ajili ya kumbakisha mwalimu madarakani na kulinda uhuru. Je, kuna ukweli kwenye hili?

Baba, sisi tunataka kuwasha mwenge na kuuweka juu ya Mlima Kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu, ulete tumaini mahala pasipo na tumaini, faraja palipo na huzuni, tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki na heshima palipo na dharau.

Je, mwenge umeendelea kuleta tumaini pasipo na tumaini?
Je, mwenge umeendelea kuleta upendo palipo na chuki?
Je, mwenge umeendelea kuleta heshima palipo na dharau?
Je, mwenge umeendelea kuleta tumaini pasipo na tumaini?

Kusitishwa sherehe za uhuru pengine ilikuwa kiashiria cha kwanza cha kuvunja masharti ya zindiko na kafara la moto.. Na kama bado huamini hili ona na mbio za mwenge mwaka huu zimesitishwa kwa sababu ya corona.. Sababu huwa kichokoo kikubwa cha kuvunja agano na masharti yake

Wahusika wote wenye ufahamu na hili jambo hawapo tena duniani.. Wa mwisho alikuwa mnajibu na mtabiri maarufu Sheikh Yahaya. Hakuwahi pengine kuzungumzia au walau kuulizwa nini kitatokea kama zindiko lisipofanyika? I mean la kukimbiza moto. Ni wazi sote tulitiwa upofu na kusahau haya yote.

Zindiko na kafara huwa na kikomo cha kuwa hasa lisipohudumiwa.. Ndio maana waliofanikiwa hawaachi kufanya mazindiko na makafara kila wiki, mwezi au mwaka ili ku boost. Ubaya wake ni mmoja tuu kamwe zindiko na kafara havina rivasi na KIPIMO huongezeka kila wakati. Kikomo cha kuwa kinapofikia ukomo. Nyakati zinapotimia sababu ndogo mno hubatilisha kila kitu.

Kuna sababu nzito za kiroho zilizo juu ya ufahamu wetu wa kawaida wa kibinadamu zilizosababisha kusitishwa kwa mbio za mwenge na sherehe za uhuru. Picha ya mwenge wa uhuru ilitumika vilivyo kwenye mabango ya ccm na PICHA za wagombea wake. Je, ndio ilikuwa matumizi ya mwisho?

Wakati utasema.


Jr[emoji769]
Kafara la kukimbiza moto linavyoligharimu Taifa - JamiiForums
du!
 
Shindwa kabisa. Wataka mimi mwanachama wa CCM nifutike niende wapi? Omba CCM iwe chama cha upinzani ili tuionje shubiri ya kuwa chama cha upinzani tukome kutumia mali za umma kwa maslahi ya chama.
Hii imekaa vizuri...ccm wawe hivi
giphy.gif
 
Binafsi sijawahi kuona faida za Mwenge!

Na Mara nyingi watu walikuwa wakihoji nini faida ya Mwenge nchini mwetu??
Maana yake wengi hawajawahi kuona faida ya Mwenge

Je, Mwenge, umewahi kuleta faida ama kuzalisha chochote badara ya kutumika kama chuma ulete Kwa kupoteza mabilioni ya fedha kukimbiza Mwenge ambapo kama shida ni Mwenge uwake, ungewekwa pale kariakoo kwenye mnara ukatulizana hapo

Baada ya miungu hiyo ya kale kupigwa marufuku ndipo tumeanza kuona Neema na Baraka za Mungu juu ya Taifa letu

Tujiulize, kama kipindi cha korona tungelikuwa tukiongozwa na mungu wa kale Mwenge badala ya Mungu tuliyemwomba Kwa siku tatu tukamlilia ili atuepushe na korona na Mungu muumbaji akatujibu Kwa ishara na maajabu, je tungelikuwa na miungu hiyo ya kale tungelivuka kweli?

Hatutaki tena hiyo miungu nchini mwetu, maana haijawahi kutusaidia, badala yake huwa tunaigharamia kwa fedha zetu na kuiwekewa ulinzi bule
By by Mwenge

Mungu Hoyeee!!!
Mungu ibariki Tanzania
 
Hana nia ya dhati kuzuia Corona isiingie nchini kwa kuzuia mbio za mwengu huku mikusanyiko mingene ikiachwa iendelee.

Angekuwa serious,angezui ndege, hasa kutoka katika mataifa yaliyoathirika vibaya na corona, kuingia nchini.

Semeni tu kama lengo ni kuacha iingie alafu uchaguzi uairishwe.
Kumbe lengo lilikuwa ni kutaka corona iingie Tanzania ili ahairishe uchaguzi? Sasa akafeli wapi uchaguzi ukafanyika?
 
Back
Top Bottom