relis
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,336
- 5,217
Habari wakuu! Niende Moja Kwa moja katika story niliyopitia mwaka 2009 nilibatika kuanza kazi mkoa fulani Kwa kweli sikuwa mtu wa maneno mengi ni kazi tu Basi akatokea Binti mmoja. Tukapendana kijana nikajiweka. Bila tabu,nilikuwa muoga sana wa HIV Mimi na mwenzangu kabla ya kupelekeana moto afya ilizimgatiwa tulitafuta vipimo na kukagua afya na kujikuta safi kabisa.
Ndani ya mwaka na yule demu wivu ukawa mwingi nikaamua kubeba begi tukaachana bila nongwa baada ya miezi michache nikaamua kwenda kukagua afya kucheki Ngoma,nikaenda kama Leo wakatoa damu Kwa kipimo Cha rapid test kutokana na muda nikatoka na kurudi baadae kusomewa majibu nikaonekana HIV+ Kwa kweli niliona kama Dunia imenielemea na kutamani kufa nilipungua uzito Kwa stress hata nilipoambiwa nirudi sikurudi Kwa ajili ya vipimo vya mara ya pili,
2011 nikapata demu mwingine huku hofu ikitanda kuwa naua mtoto wa watu 2012 nikaona maisha yakaendelea 2015 akajaaliwa kupata mtoto na hata klinic sababu kibao sikupima mtoto wa nne sasa swali najiuliza je, uwezekano wa kuwa HIV+ upo ama la na watoto wapo salama elimu kwenye hili
Ndani ya mwaka na yule demu wivu ukawa mwingi nikaamua kubeba begi tukaachana bila nongwa baada ya miezi michache nikaamua kwenda kukagua afya kucheki Ngoma,nikaenda kama Leo wakatoa damu Kwa kipimo Cha rapid test kutokana na muda nikatoka na kurudi baadae kusomewa majibu nikaonekana HIV+ Kwa kweli niliona kama Dunia imenielemea na kutamani kufa nilipungua uzito Kwa stress hata nilipoambiwa nirudi sikurudi Kwa ajili ya vipimo vya mara ya pili,
2011 nikapata demu mwingine huku hofu ikitanda kuwa naua mtoto wa watu 2012 nikaona maisha yakaendelea 2015 akajaaliwa kupata mtoto na hata klinic sababu kibao sikupima mtoto wa nne sasa swali najiuliza je, uwezekano wa kuwa HIV+ upo ama la na watoto wapo salama elimu kwenye hili