hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Rapid test inapima uwepo wa virus kwenye sample, not necessarily HIV, ndio maana inahitajika confirmatory test , sasa wewe kuona tu ni postive ukakimbia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa mambo ni mawili---Enjoy life, wote tutakufa !
Ni mda wa kufunga zipu na kuibana kwa lufuli hadi hali ikae sawa🤣Mmoja mmoja mtatoka huko mafichoni hadi wote...
Ila Trump
Nyie ndo mnaambukiza watu magonjwa kwa kujihesabia haki, aliyekwambia kwamba mkeo akipima hana maambukizi basi na wewe huna nani??Aende clinic kwani yeye mwanamke? Kama mke wake angekuwa kamwambukiza angeambiwa kabla ajajifungua na angemwambia mme wake mleta mada!
Wewe ni bumunda, sasa mtu alishaambukizwa afanyeje ? Hofu ya nini ? Enjoy life, kula vzr tunza afya yako ,,,kifo kinakuja tu ,!!! Una nzi kichwani sio bureHapa mambo ni mawili---
Either huna Elimu ya Ukimwi au umelewa!!
Serious,. Vinginevyo ni kupukutika😂😃😃Ni mda wa kufunga zipu na kuibana kwa lufuli hadi hali ikae sawa🤣
Habari wakuu! Niende Moja Kwa moja katika story niliyopitia mwaka 2009 nilibatika kuanza kazi mkoa fulani Kwa kweli sikuwa mtu wa maneno mengi ni kazi tu Basi akatokea Binti mmoja. Tukapendana kijana nikajiweka. Bila tabu,nilikuwa muoga sana wa HIV Mimi na mwenzangu kabla ya kupelekeana moto afya ilizimgatiwa tulitafuta vipimo na kukagua afya na kujikuta safi kabisa.
Ndani ya mwaka na yule demu wivu ukawa mwingi nikaamua kubeba begi tukaachana bila nongwa baada ya miezi michache nikaamua kwenda kukagua afya kucheki Ngoma,nikaenda kama Leo wakatoa damu Kwa kipimo Cha rapid test kutokana na muda nikatoka na kurudi baadae kusomewa majibu nikaonekana HIV+ Kwa kweli niliona kama Dunia imenielemea na kutamani kufa nilipungua uzito Kwa stress hata nilipoambiwa nirudi sikurudi Kwa ajili ya vipimo vya mara ya pili,
2011 nikapata demu mwingine huku hofu ikitanda kuwa naua mtoto wa watu 2012 nikaona maisha yakaendelea 2015 akajaaliwa kupata mtoto na hata klinic sababu kibao sikupima mtoto wa nne sasa swali najiuliza je, uwezekano wa kuwa HIV+ upo ama la na watoto wapo salama elimu kwenye hili
pole sana. kwa lugha nyepesi, hapa mlikutana wote wawili mkifichana hali zenu, ila mwenzio anakinga watoto anaozaa. Mungu akusaidie upite vyema katika safari hio. Mkumbuke Mungu kwanza, and where you will spend your eternity, bila kuokoka ni motoni, hivyo andaa maisha yako ukiwa hai ili kule utakakoenda pawe pazuri milele. hii sio kwa waliougua ngoma tu, hata walio wazima kwani wanakufa ghafla kwa ajali au vifo vingine, andaeni maisha yenu ya milele, mtakuwa wapi> mpeni Yesu maisha, okoka ili maisha yako ya sasa na ya baadaye yawe mikononi mwa Yesu.Habari wakuu! Niende Moja Kwa moja katika story niliyopitia mwaka 2009 nilibatika kuanza kazi mkoa fulani Kwa kweli sikuwa mtu wa maneno mengi ni kazi tu Basi akatokea Binti mmoja. Tukapendana kijana nikajiweka. Bila tabu,nilikuwa muoga sana wa HIV Mimi na mwenzangu kabla ya kupelekeana moto afya ilizimgatiwa tulitafuta vipimo na kukagua afya na kujikuta safi kabisa.
Ndani ya mwaka na yule demu wivu ukawa mwingi nikaamua kubeba begi tukaachana bila nongwa baada ya miezi michache nikaamua kwenda kukagua afya kucheki Ngoma,nikaenda kama Leo wakatoa damu Kwa kipimo Cha rapid test kutokana na muda nikatoka na kurudi baadae kusomewa majibu nikaonekana HIV+ Kwa kweli niliona kama Dunia imenielemea na kutamani kufa nilipungua uzito Kwa stress hata nilipoambiwa nirudi sikurudi Kwa ajili ya vipimo vya mara ya pili,
2011 nikapata demu mwingine huku hofu ikitanda kuwa naua mtoto wa watu 2012 nikaona maisha yakaendelea 2015 akajaaliwa kupata mtoto na hata klinic sababu kibao sikupima mtoto wa nne sasa swali najiuliza je, uwezekano wa kuwa HIV+ upo ama la na watoto wapo salama elimu kwenye hili
ngoma huwa inaweza kukaa hata 10 years mwilini na upo fresh tu. ila ikija kufumuka ndio hivyo tena. hata hivyo nina ndugu yangu ana 30 years now tangu atambulike kama anayo.Ni 2009? Au na 2019, mbona ni miaka mingi sana.