Hofu ya HIV inanitesa

Carrier yeye virus havimsumbui lakini anaambukiza kama wengine.
 
Aende clinic kwani yeye mwanamke? Kama mke wake angekuwa kamwambukiza angeambiwa kabla ajajifungua na angemwambia mme wake mleta mada!
Yeah nimewaza kama hivyo pia,huyo mwanamke angekuwa muathirika angeambiwa amlete mzazi mwenzake kwa njia yoyote ile jamaa angesakwa mtaani.
Sasa sijajua huyu jamaa sijui alipima zahanati wapi akaambiwa positive isije ikawa kuna makosa fulani yalifanyika,lakini hakuna suluhisho la hili jambo zaidi ya kwenda kupima tena kuthibitisha kwa usalama wake pamoja na familia yake.
Uzembe wa kuogopa kwenda kupima ni hatari cha msingi ni kujitoa Muhanga tu siku moja na kwenda kupima hakuna namna.
 
Hukuambiwa positive ila uliambiwa urudie kipimo
Ki kawaida majibu ya positive huwa ni baada ya kipimo cha pili!
Kama ulipima kipimo kimoja hyo wanasema NON REACTIVE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…