Siyo aseme, bali hili zoezi ndio mwarobaini wa hofu zote za kiuchumi, Chadema anzisheni hii kituAseme tuchangie hata kesho halafu aone kama hizo hela hazitapatikana ndani ya siku mbili tu. Na wanachama wenzake wa ccm ndiyo wataongoza kwa kuchangia.
Semeni fedha hiyo itachangiwa na mabeberu wenu wenye nongwa na amani na utulivu tulionao kama taifa huru. Acheni kutapeli hakuna mwanainainchi wakutupa hizo fedha jalalaniii. Labda wanaufipa tuuu. Watanzania tunataka amani na maendeleo tuuu basiiiiNi swali dogo na fupi tu, Kunahofu ya uchumi kudolora kiasi cha kufanya iwe hofu ya baadhi ya mambo mhimu kufanyika kama ukamilishwaji wa Katiba
Je, ikiwa wananchi wataamua kuchangia bajeti yote ya mchakato wa katiba mpya, Bado CCM watazuia jambo hili?
WAAMBIE CHADEMA WATUPE KWANZA MREJESHO WA MAPATO NA MATUMIZI YA ZILE SADAKA TULIZOCHANGISHWA MWAKA JANA KIPINDI CHA KAMPENI. HATUJASAHAU WAJUE KABISASAASiyo aseme, bali hili zoezi ndio mwarobaini wa hofu zote za kiuchumi, Chadema anzisheni hii kitu
Viongozi wa CHADEMA someni ushauri huu na kuufanyia kazi wadau tupo na wazalendo kwa nchi tupo tayari kuchangia andaeni tu utaratibuSiyo aseme, bali hili zoezi ndio mwarobaini wa hofu zote za kiuchumi, Chadema anzisheni hii kitu
Mrejesho uko tume.wewe sadaka huwa hatudai.Mungu ni Mali yakeWAAMBIE CHADEMA WATUPE KWANZA MREJESHO WA MAPATO NA MATUMIZI YA ZILE SADAKA TULIZOCHANGISHWA MWAKA JANA KIPINDI CHA KAMPENI. HATUJASAHAU WAJUE KABISASAA
Wachanhe tujenge madalasa kama wanaona kuna shida tanzania,Ni swali dogo na fupi tu, Kunahofu ya uchumi kudolora kiasi cha kufanya iwe hofu ya baadhi ya mambo mhimu kufanyika kama ukamilishwaji wa Katiba
Je, ikiwa wananchi wataamua kuchangia bajeti yote ya mchakato wa katiba mpya, Bado CCM watazuia jambo hili?
Ingawa na mimi nilichangia, ila ule mchakato wa pesa kurudishiwa tena, ilipasa watuulize wachangaji ili kama tutaamua kurudishiwa, kwa kuwa itikadi zetu zinatofautiana, ila ile huruma ya kibinadamu ilituingia hata tusiokuwa wa Chadema,Mrejesho uko tume.wewe sadaka huwa hatudai.Mungu ni Mali yake
Kwahiyo chadma viongozi wake nimamungu kwenye chama??Mrejesho uko tume.wewe sadaka huwa hatudai.Mungu ni Mali yake
Ccm inawapita njia wakishashiba.Kwahiyo chadma viongozi wake nimamungu kwenye chama??
Polepole ndo aliechangisha kwenye zile ndoo nyeupe huko chadema???Ccm inawapita njia wakishashiba.
Kamuulize polepole
Hivi hawa wadudu ni kitega uchumi cha serikali eeeh??πTatizo siyo pesa,
Tatizo ni kwamba rasimu ya warioba inaondoa utukufu wa mabavu ya chama dola.
Nyumbu 10
Tembo 10
Boko 10
Twiga 10
Nyati 10
Tukiuza inatosha kuandaa katiba
KAMA PESA TATIZO KATIBA MPYA TUSHIRIKISHE WADAU WAO WANASEMAJE???Ni swali dogo na fupi tu, Kunahofu ya uchumi kudolora kiasi cha kufanya iwe hofu ya baadhi ya mambo mhimu kufanyika kama ukamilishwaji wa Katiba
Je, ikiwa wananchi wataamua kuchangia bajeti yote ya mchakato wa katiba mpya, Bado CCM watazuia jambo hili?
MMK Chadema afanyie kazi hii kituNITACHANGA!
... because: ...NEVER EVER AGAIN!
π πβοΈπ₯
Zipo?KAMA PESA TATIZO KATIBA MPYA TUSHIRIKISHE WADAU WAO WANASEMAJE?
Ruzuku za vyama kwa mwaka zichukuliwe zipelekwe kwenye KATIBA MPYA....