Hofu yangu huenda Taifa likapatwa na aibu jioni hii

Hofu yangu huenda Taifa likapatwa na aibu jioni hii

Mnada wa Mhunze

Senior Member
Joined
Mar 1, 2023
Posts
168
Reaction score
819
Jioni ya leo itachezwa fainali ya kwanza ihusuyo mashindano ya kombe la shirikisho barani Afrika baina ya timu ya Yanga dhidi ya Usm ya Algeria.

Hivi karibuni yamepata kutokea matukio ya ukatikaji wa umeme mara kwa mara ndani ya uwanja wa Benjamini Mkapa ambapo fainali hiyo inachezwa leo jambo linaloleta hofu kutukia hata leo.

Pamoja na kwamba mchezo utachezwa mapema lakini ni muhimu kama nchi tujiandae barabara aibu ile isutupate.

Wanasiasa lisimamie hilo na ili istokee siasa ya kukatika umeme Taifa leo.
 
Jioni ya leo itachezwa fainali ya kwanza ihusuyo mashindano ya kombe la shirikisho barani Afrika baina ya timu ya Yanga dhidi ya Usm ya Algeria.

Hivi karibuni yamepata kutokea matukio ya ukatikaji wa umeme mara kwa mara ndani ya uwanja wa Benjamini Mkapa ambapo fainali hiyo inachezwa leo jambo linaloleta hofu kutukia hata leo.

Pamoja na kwamba mchezo utachezwa mapema lakini ni muhimu kama nchi tujiandae barabara aibu ile isutupate.

Wanasiasa lisimamie hilo na ili istokee siasa ya kukatika umeme Taifa leo.
Mechi inaanza saa 10 jioni! Hivyo sitarajii kama huo umeme utahitajika.
 
Back
Top Bottom