Hofu yangu juu ya kuishi bila mke

Hofu yangu juu ya kuishi bila mke

el myng

Member
Joined
Oct 14, 2024
Posts
12
Reaction score
22
Habarini familia nina miaka 25, natamani sana kuwa na familia yangu lakini nikizingatia sina fedha yoyote ile nipo natengemea nyumbani kitu kama hicho kinanifanya niwe na hofu hata ya kutafuta mke kwa hofu ya kukosa fedha.

Naombeni kufahamu kama kuna binti yoyote ambaye yupo tayari kuishi maisha kama hayo aje anisaidiee..kunitoa katika hiyo hali.

Kwani muda mwingine ninapokuwa na hasira najichukulia sheria mkononi naombeni msaada wenu
 
Habarini familia nina miaka 25, natamani sana kuwa na familia yangu lakini nikizingatia sina fedha yoyote ile nipo natengemea nyumbani kitu kama hicho kinanifanya niwe na hofu hata ya kutafuta mke kwa hofu ya kukosa fedha.

Naombeni kufahamu kama kuna binti yoyote ambaye yupo tayari kuishi maisha kama hayo aje anisaidiee..kunitoa katika hiyo hali.

Kwani muda mwingine ninapokuwa na hasira najichukulia sheria mkononi naombeni msaada wenu

Pumbavu kabisa, jibiidishe, tongoza, waweza pata wanawake bila 1000
 
Unataka mwanamke anayeweza kukubali kuishi na wewe hapo kwa wazazi wako muendelee kuwategemea wazazi wako aje akusaidie? Khaa!

Upo mkoa gani nikupe mchongo uhame hapo kwa wazazi wako kabla haujaingia tamaa ya urithi.
Huyo kijana nyege zinamsumbua si unasikia hapo anasema anajichukulia sheria mkononi ina maana anapiga punyeto
 
Habarini familia nina miaka 25, natamani sana kuwa na familia yangu lakini nikizingatia sina fedha yoyote ile nipo natengemea nyumbani kitu kama hicho kinanifanya niwe na hofu hata ya kutafuta mke kwa hofu ya kukosa fedha.

Naombeni kufahamu kama kuna binti yoyote ambaye yupo tayari kuishi maisha kama hayo aje anisaidiee..kunitoa katika hiyo hali.

Kwani muda mwingine ninapokuwa na hasira najichukulia sheria mkononi naombeni msaada wenu
Hizo ni dalili za kuanza kugombania urithi.
Swala la sheria mkononi umewaona wadada wa Tabata
Kajitafte kwanza upate pesa ya kuondoka kwa wazazi ndo uje kutafta mwanamke
 
Habarini familia nina miaka 25, natamani sana kuwa na familia yangu lakini nikizingatia sina fedha yoyote ile nipo natengemea nyumbani kitu kama hicho kinanifanya niwe na hofu hata ya kutafuta mke kwa hofu ya kukosa fedha.

Naombeni kufahamu kama kuna binti yoyote ambaye yupo tayari kuishi maisha kama hayo aje anisaidiee..kunitoa katika hiyo hali.

Kwani muda mwingine ninapokuwa na hasira najichukulia sheria mkononi naombeni msaada wenu
Kuoa siyo lazima cha msingi ni kuzalisha tu...pia huo umri ni mdogo kuoa kama ni kuoa oa na miaka 35....
 
Habarini familia nina miaka 25, natamani sana kuwa na familia yangu lakini nikizingatia sina fedha yoyote ile nipo natengemea nyumbani kitu kama hicho kinanifanya niwe na hofu hata ya kutafuta mke kwa hofu ya kukosa fedha.

Naombeni kufahamu kama kuna binti yoyote ambaye yupo tayari kuishi maisha kama hayo aje anisaidiee..kunitoa katika hiyo hali.

Kwani muda mwingine ninapokuwa na hasira najichukulia sheria mkononi naombeni msaada wenu
acha ujinga, unakula ugali wa shikamoo unataka mwanamke ili wote mlishwe hapo, na hiyo familia mtakayoianzisha ilishwe na wazazi wako, endelea kuwa mwanachama mtiifu wa CHAPUTA
 
Habarini familia nina miaka 25, natamani sana kuwa na familia yangu lakini nikizingatia sina fedha yoyote ile nipo natengemea nyumbani kitu kama hicho kinanifanya niwe na hofu hata ya kutafuta mke kwa hofu ya kukosa fedha.

Naombeni kufahamu kama kuna binti yoyote ambaye yupo tayari kuishi maisha kama hayo aje anisaidiee..kunitoa katika hiyo hali.

Kwani muda mwingine ninapokuwa na hasira najichukulia sheria mkononi naombeni msaada wenu
Moja ya sifa kuu ya kuoa, ni uwe na uhakika wa kesho yenu na familia yako.
 
Bro Nina miaka 24 upo kwenye hatua Fulani ya kujitambua kukua kuanzs kujenga familia kuongeza kipato nk kifupi Hali ambayo upo nayo kila kijana anaipitia Mimi mwenyewe napitia mpaka Sasa. Ila Nina uhakika kwasasa nyege zinakusumbua mbili huna demu, Sasa Kwa haraka haraka tafuta demu upoze manyege afu akili ya kuoa itaondoka itakuja akili ya kutafuta Hela

Nakupa link hapa nilipewa na baba yangu@mshana jr, itakusaidia kujitambua.
Kama upo dar na una Muda onana na mshana jr Mimi niliona nae akanipa cancelling ya kutosha....unaona nakushauri mpaka Raha😂

Link nakutumia now
 
Unataka mwanamke anayeweza kukubali kuishi na wewe hapo kwa wazazi wako muendelee kuwategemea wazazi wako aje akusaidie? Khaa!

Upo mkoa gani nikupe mchongo uhame hapo kwa wazazi wako kabla haujaingia tamaa ya urithi.
Mwanachama wa CHAPUTA anataka kurudisha kadi
 
Unataka mwanamke anayeweza kukubali kuishi na wewe hapo kwa wazazi wako muendelee kuwategemea wazazi wako aje akusaidie? Khaa!

Upo mkoa gani nikupe mchongo uhame hapo kwa wazazi wako kabla haujaingia tamaa ya urithi.
Mi sitaki kuoa ila naomba mchongo. Nipo Babati
 
Habarini familia nina miaka 25, natamani sana kuwa na familia yangu lakini nikizingatia sina fedha yoyote ile nipo natengemea nyumbani kitu kama hicho kinanifanya niwe na hofu hata ya kutafuta mke kwa hofu ya kukosa fedha.

Naombeni kufahamu kama kuna binti yoyote ambaye yupo tayari kuishi maisha kama hayo aje anisaidiee..kunitoa katika hiyo hali.

Kwani muda mwingine ninapokuwa na hasira najichukulia sheria mkononi naombeni msaada wenu
Punguza hofu kijana... Unajiuliza bure tu.

Kwa umri huo na wewe ni wakiume na kama unaishi mjini basi nikwambie tu umri bado sana... Unaharaka unawahi wapi.

Chamsingi focus kwenye kipato fanya juu chini kufika 27-39 uwe unaojitegemea... Usichague kazi madeal ya maana yatakukutaga njiani ukiwa unapambana na shughuli yoyote.

Kuhusu kuchukua sheria mikononi kijana kunamadhara asijue akakudanya mtu... Kwasababu sheria mkononi ni inauraibu na uraibu unamadhara ya kisaikolojia na ukiasilika kisaikolojia wewe au watu wenye imani potofu watahisi umerogwa kumbe sio bali ni uraibu unafanya kazi yake.

Pia soma
Uraibu unaathiri mfumo wa ufahamu katika ubongo na kusababisha matatizo ya kisaikolojia, ambayo sio rahisi kuyatambua/kuyashitukia, mapema.

Kitu chochote chenye uraibu kikishafikia hatua hiyo ya uraibu/chronic, iwe ngono madawa pombe kamari inaondoa utimamu wako wakuweza kuamua mambo mwenyewe (self control) badala yake chenyewe ndio kinakuendesha utake usitake, jiulize kwanini walevi, wavuta sigara, unga hawaachi licha ya mateso wanayopata.


Ni moja ya vitu ambayo watu wengi wanakujaga kujifunza muda/umri ukiwa umeshawatupa mkono/ yaani wakiwa wameshachelewa, na hapo ndipo neno ningejua huja mwisho wa safari.

Pia soma baadhi ya madhara yanayotokana na uraibu wa aina yoyote ile ikiwemo kuchukua sheria mkononi.
Kijana acha kubeti, amua kuachana na utumwa huo bettingi haitakuacha salama

Katika betting sio tu unapoteza pesa bali unapoteza na uwezo wa kufikiri, ubunifu nk

Betting inaweza kuathiri sana akili ya mtu, na mara nyingi athari hizi hujikita taratibu, hivyo kuwa ngumu kugundulika mapema. Athari hizi zinaweza kubadilisha jinsi unavyofikiria, kufanya maamuzi, na hata jinsi unavyothamini mambo muhimu katika maisha yako. Hapa ni jinsi betting inavyoweza kuathiri akili yako:

1. Kuwepo kwa Msongo Mkubwa wa Mawazo

Watu wengi wanaojihusisha na betting huingia katika hali ya wasiwasi kutokana na mawazo ya kushinda au kupoteza. Uzoefu wa kushindwa mara kwa mara unaweza kuathiri sana hali ya kisaikolojia, kuleta msongo ambao hukufanya kuwa na mawazo hasi na mara kwa mara kujihisi huna thamani. Kila unapoendelea kupoteza fedha zaidi, msongo unaongezeka, hali inayoweza kupelekea mawazo ya kujihisi umefeli.

2. Kukosa Dira na Maono katika Maisha

Uraibu wa betting unaweza kufanya mtu kupoteza dira na kutoona fursa nyingine za kujikuza kimaisha. Mtu hujikuta akizingatia sana namna ya kushinda kwenye betting kuliko kuona njia nyingine za kujiongezea kipato. Kwa mfano, unaweza usione fursa za biashara ambazo zingeweza kukuingizia kipato halisi na endelevu. Mtu anaweza hata kuacha kazi au masomo kwa matumaini ya kupata "pesa" kwa kupitia betting.

3. Kujihisi Kukata Tamaa na Huzuni Kali

Kushindwa kwa mara kwa mara kunaleta huzuni na kukata tamaa. Watu wengi wanaopoteza fedha kwenye betting hujilaumu kwa maamuzi yao. Wanaweza kujiona kama watu wasio na bahati, wasio na uwezo wa kufanya maamuzi mazuri, na hii inaweza kuwa na athari kubwa kwa kujithamini kwao. Kwa kuwa betting hujenga matumaini yasiyo na msingi wa uhakika, mtu anaweza kuwa na hali mbaya zaidi ya kukata tamaa kila mara anapopoteza.

4. Kupoteza Udhibiti na Maamuzi Sahihi (Impulsivity)

Betting huchochea hali ya kuamua mambo haraka na mara nyingi bila kufikiria matokeo yake. Hii hufanya mtu kushindwa kuweka mipaka ya kifedha. Mtu anaweza kutumia fedha nyingi ambazo hazikuwa kwenye bajeti, au hata kuingia madeni kwa sababu ya tamaa ya kutaka "kupata mara moja" kupitia betting. Hii ni hatari, kwa sababu hujenga tabia ya kufanya maamuzi yasiyo sahihi hata nje ya betting.

5. Kuvurugika kwa Mahusiano ya Kijamii na Watu wa Karibu

Betting inaweza kusababisha matatizo ya mahusiano, hasa na familia na marafiki wa karibu. Uraibu wa betting huleta hasira, msongo, na wakati mwingine mtu anakuwa na hatia kwa kutumia fedha ambazo zingeweza kusaidia familia au kutimiza mahitaji mengine muhimu. Mahusiano ya kijamii yanapoanza kuvurugika, unajikuta ukiwa mpweke na kuhisi watu wamekuepuka kwa sababu ya maamuzi yako.

6. Kutoweza Kupanga na Kutimiza Malengo ya Maisha

Betting inachukua muda na rasilimali nyingi, hali inayosababisha kutokuweza kuweka malengo ya muda mrefu na kuyafanyia kazi. Kwa kuwa unapata changamoto ya kujipangia bajeti, inaweza kukufanya kushindwa kuwekeza katika mambo yenye faida ya muda mrefu. Mtu anaweza kushindwa kujiwekea akiba au kufanya maamuzi mazuri ya kifedha ambayo yangemsaidia kuwa na uhuru wa kifedha.

7. Kuathiriwa na Matamanio ya Pesa Za Haraka

Betting hujenga dhana potofu ya kwamba mtu anaweza kupata pesa nyingi haraka. Hii huathiri sana mtazamo wa mtu kuhusu kazi ngumu na bidii ya muda mrefu. Unapojikuta ukitafuta njia za mkato kupitia betting, unakosa fursa za kweli ambazo zinaweza kuleta matokeo bora kwa muda mrefu.

Namna ya Kujinasua na Betting na Kurudisha Hali ya Utulivu wa Kiakili


*Kujihusisha na Shughuli za Kimaendeleo - Tumia muda wako kujifunza stadi mpya, kama biashara au ujasiriamali.


*Kuweka Malengo Madogo na Kufuata Mpangilio wa Bajeti - Kuwa na malengo yanayoweza kutekelezeka na kuwa na nidhamu ya kifedha ni hatua kubwa ya kutoka kwenye betting.
Mwisho kabisa ni kuichukia betting yenyewe
 
Back
Top Bottom