Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
- Thread starter
-
- #41
Ok sawa...kwa nyie mashabiki wa mikia msiojua ushindi wenu unapatikanaje nyie sherehekeeni tu...ila siku ukifanya hata utafiti mdogo na ukapata mwanga wa namna 'ushindi' mnavyopata nadhani utaacha hata kwenda uwanjani ...ni aibu...
CHAMA mmoja sawa na nini? Kwani Simba walipofungwa 1-0 na Yanga, Chama hamuwemo? Kwani zilipotoka 0-0 Chama hakuwemo
Mimi ni MWANANCHI LIALIA . Sitaki kuamini kama na wewe ni mwananchi au ni MkiaKwani na wewe ni Mshabiki wa Yanga kama mimi?
Mimi ni MWANANCHI LIALIA . Sitaki kuamini kama na wewe ni mwananchi au ni Mkia
Umechelewa sana. Mimi nina kadi a Yanga tokea mwaka 1995. Usinipigie kelele hapa mtoto wa juziWewe huwezi kuwa Mwananchi Lialia kwasababu sio Mwanachama wala hujawahi Kuchangia Timu kwa kununua Hata Jezi OG.
Mimi Mwananchi Lialia kwasababu ni Mwanachama hai wa Yanga Since 2001.
Umechelewa sana. Mimi nina kadi a Yanga tokea mwaka 1995. Usinipigie kelele hapa mtoto wa juzi
Na kushitaki cas kuwa benard Morison ni mchezaji wetu mbona hujaelezea ukiacha kuhonga waamuzi hadi wanasema goli konaHivi huko Simba mmesomea wapi propaganda? Wakati wa Sadam Hussein kilikuwa na mtu mmoja anaitwa nadhani Al Sahef..jina Kama Hilo ingawa sijapatia Sana...Ujerumani ya Hitler kulikuwa na propagandist anayeitwa Goebbels.
Simba wana propagandist wengi wakiongozwa na anayejiita msemaji wa klabu hiyo...yaani mikia wameleta Aina mpya ya uendeshaji wa soka...kutumia propaganda, kujaza viongozi TFF na kamati zote...kuhonga marefarii...yaani soka inaendeshwa kwa mipasho.
kwenye kupanga ratiba mikia nako wako...kwenye kupanga waamuzi mikia wamejaa...kwenye kamati zote mikia wamejaa...yaani maamuzi yanayotolewa ni ya kushangaza...msemaji wa mikia ameachwa atambe anavyotaka ...kudhalilisha timu na klabu nyingine...dah...Lakini mwisho wake ni mbaya that is for sure...this empire in soccer will crumble...kwa Sasa mikia wanatamba lakini hii siyo ya kudumu...Kuna Kila dalili kwamba empire itabomoka..na kwa hakika italeta mtikisiko wa kutisha..nimeandika...
Sawa Kama unaona mtu anaweza kuhongwa kihivyo...Na kushitaki cas kuwa benard Morison ni mchezaji wetu mbona hujaelezea ukiacha kuhonga waamuzi hadi wanasema goli kona
Hujui unachoongea.ww unaujua utafiti na procedure zake ww?? Unaleta hisia zako unaita utafiti. Badala ya kutengeneza timu mnabaki kuongea viroja humu.unachoongea ww siyo mpira ni uelewa wako mdogo wa kuchanganua mambo.Ok sawa...kwa nyie mashabiki wa mikia msiojua ushindi wenu unapatikanaje nyie sherehekeeni tu...ila siku ukifanya hata utafiti mdogo na ukapata mwanga wa namna 'ushindi' mnavyopata nadhani utaacha hata kwenda uwanjani ...ni aibu...
Nasikia Mwamedi kakataa kuchangia kampeni za CCM..Hamisi katumwa anaenda kupewa money laundry ya hatari..mikia kazi mnayo maana tajiri aliyebakia anayependa mikia ni Bakhresa tu na ana timu yake..usimcheke mamba kabla hujavuka mto..mko tayari kwa kupitisha makapu ?Hivi huko Simba mmesomea wapi propaganda? Wakati wa Sadam Hussein kilikuwa na mtu mmoja anaitwa nadhani Al Sahef..jina Kama Hilo ingawa sijapatia Sana...Ujerumani ya Hitler kulikuwa na propagandist anayeitwa Goebbels.
Simba wana propagandist wengi wakiongozwa na anayejiita msemaji wa klabu hiyo...yaani mikia wameleta Aina mpya ya uendeshaji wa soka...kutumia propaganda, kujaza viongozi TFF na kamati zote...kuhonga marefarii...yaani soka inaendeshwa kwa mipasho.
kwenye kupanga ratiba mikia nako wako...kwenye kupanga waamuzi mikia wamejaa...kwenye kamati zote mikia wamejaa...yaani maamuzi yanayotolewa ni ya kushangaza...msemaji wa mikia ameachwa atambe anavyotaka ...kudhalilisha timu na klabu nyingine...dah...Lakini mwisho wake ni mbaya that is for sure...this empire in soccer will crumble...kwa Sasa mikia wanatamba lakini hii siyo ya kudumu...Kuna Kila dalili kwamba empire itabomoka..na kwa hakika italeta mtikisiko wa kutisha..nimeandika...
Sawa...usiku mwemaHujui unachoongea.ww unaujua utafiti na procedure zake ww?? Unaleta hisia zako unaita utafiti. Badala ya kutengeneza timu mnabaki kuongea viroja humu.unachoongea ww siyo mpira ni uelewa wako mdogo wa kuchanganua mambo.
So simba kampiga Biashara jana Simba
alinunua mechi Ile.
Utopolo mna safari ndefu.na mpaka mje kushtuka Simba itakuwa imetawala soka la bongo km ilivyo Bayern Munich pale Ujerumani.Poleni.
ThibitishaMkuu mimi nimeanza kuishabikia Yanga tokea mwaka 1987 na nimekuwa Mwanachama Rasmi wa Yanga mwaka 2001.
Na kumbuka kuwa hakuna Ushindi bila ya Kushindana.
tulia Bro MudifcGSM Fc kazi mnayo
Una miaka mingap? Je ktk umri wako umeshuhudia magoli mangap simba akimfunga yanga na yanga ikimfunga simba. Otherwise NI USHABIKI WA MAMA YAKOKatika historia ya soka ya nchi hii Simba ndio timu iliyofungwa maranyingi zaidi na Yanga kuliko timu yoyote. Kwaiyo mbumbumbu fc hajawai kuwa tishio kwa yanga.
Utaumia sana miaka hii. MLIZOEA KPND CHA MALINZI SHENZ ZENUHivi huko Simba mmesomea wapi propaganda? Wakati wa Sadam Hussein kilikuwa na mtu mmoja anaitwa nadhani Al Sahef..jina Kama Hilo ingawa sijapatia Sana...Ujerumani ya Hitler kulikuwa na propagandist anayeitwa Goebbels.
Simba wana propagandist wengi wakiongozwa na anayejiita msemaji wa klabu hiyo...yaani mikia wameleta Aina mpya ya uendeshaji wa soka...kutumia propaganda, kujaza viongozi TFF na kamati zote...kuhonga marefarii...yaani soka inaendeshwa kwa mipasho.
kwenye kupanga ratiba mikia nako wako...kwenye kupanga waamuzi mikia wamejaa...kwenye kamati zote mikia wamejaa...yaani maamuzi yanayotolewa ni ya kushangaza...msemaji wa mikia ameachwa atambe anavyotaka ...kudhalilisha timu na klabu nyingine...dah...Lakini mwisho wake ni mbaya that is for sure...this empire in soccer will crumble...kwa Sasa mikia wanatamba lakini hii siyo ya kudumu...Kuna Kila dalili kwamba empire itabomoka..na kwa hakika italeta mtikisiko wa kutisha..nimeandika...
Ok ok ok itunze comment yako hii...Utaumia sana miaka hii. MLIZOEA KPND CHA MALINZI SHENZ ZENU
Chama nkataba wake simba unaisha miezi michache ihayo na amekataa kusaini mkataba mpyaNaanza na Salamu ya Daima Mbele Nyuma Mwiko.
Mimi nikiwa Mwanachama na Mfuasi wa Timu ya Wananchi Kindakindaki kwakweli Mpira walioucheza Simba SC Jana dhidi ya Biashra United umetushituwa sana sisi Maelfu ya Wanachama wa Young Africans Sports Club na kuzua taharuki itakuwaje siku tutakayokutana nao!
Simba wameonesha uwezo wa hali ya Juu sana kwa kucheza mpira safi na wenye akili nyingi huku tukishuhudia vipaji vikubwa kwa ngazi ya Africa kama Konde Boy, Bwalya na Chama.
Nisiwe mnafiki Chama mmoja tu ni zaidi ya Kikosi chetu kizima cha Yanga. Kwasasa ninamlaumu Senzo tu aliyetudanganya kuwa Chama anakuja kwenye Timu yetu ya Wananchi.
In fact sisi Yanga kuna umuhimu wa kubadilika katika uendeshaji wa Timu ili tuendane na Kasi ya Simba ambaye niwazi kuwa na mwaka huu anakuwa Bingwa tena.