Hivi huko Simba mmesomea wapi propaganda? Wakati wa Sadam Hussein kilikuwa na mtu mmoja anaitwa nadhani Al Sahef..jina Kama Hilo ingawa sijapatia Sana...Ujerumani ya Hitler kulikuwa na propagandist anayeitwa Goebbels.
Simba wana propagandist wengi wakiongozwa na anayejiita msemaji wa klabu hiyo...yaani mikia wameleta Aina mpya ya uendeshaji wa soka...kutumia propaganda, kujaza viongozi TFF na kamati zote...kuhonga marefarii...yaani soka inaendeshwa kwa mipasho.
kwenye kupanga ratiba mikia nako wako...kwenye kupanga waamuzi mikia wamejaa...kwenye kamati zote mikia wamejaa...yaani maamuzi yanayotolewa ni ya kushangaza...msemaji wa mikia ameachwa atambe anavyotaka ...kudhalilisha timu na klabu nyingine...dah...Lakini mwisho wake ni mbaya that is for sure...this empire in soccer will crumble...kwa Sasa mikia wanatamba lakini hii siyo ya kudumu...Kuna Kila dalili kwamba empire itabomoka..na kwa hakika italeta mtikisiko wa kutisha..nimeandika...