Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Naanza na Salamu ya Daima Mbele Nyuma Mwiko.
Mimi nikiwa Mwanachama na Mfuasi wa Timu ya Wananchi Kindakindaki kwakweli Mpira walioucheza Simba SC Jana dhidi ya Biashra United umetushituwa sana sisi Maelfu ya Wanachama wa Young Africans Sports Club na kuzua taharuki itakuwaje siku tutakayokutana nao!
Simba wameonesha uwezo wa hali ya Juu sana kwa kucheza mpira safi na wenye akili nyingi huku tukishuhudia vipaji vikubwa kwa ngazi ya Africa kama Konde Boy, Bwalya na Chama.
Nisiwe mnafiki Chama mmoja tu ni zaidi ya Kikosi chetu kizima cha Yanga. Kwasasa ninamlaumu Senzo tu aliyetudanganya kuwa Chama anakuja kwenye Timu yetu ya Wananchi.
In fact sisi Yanga kuna umuhimu wa kubadilika katika uendeshaji wa Timu ili tuendane na Kasi ya Simba ambaye niwazi kuwa na mwaka huu anakuwa Bingwa tena.
Mimi nikiwa Mwanachama na Mfuasi wa Timu ya Wananchi Kindakindaki kwakweli Mpira walioucheza Simba SC Jana dhidi ya Biashra United umetushituwa sana sisi Maelfu ya Wanachama wa Young Africans Sports Club na kuzua taharuki itakuwaje siku tutakayokutana nao!
Simba wameonesha uwezo wa hali ya Juu sana kwa kucheza mpira safi na wenye akili nyingi huku tukishuhudia vipaji vikubwa kwa ngazi ya Africa kama Konde Boy, Bwalya na Chama.
Nisiwe mnafiki Chama mmoja tu ni zaidi ya Kikosi chetu kizima cha Yanga. Kwasasa ninamlaumu Senzo tu aliyetudanganya kuwa Chama anakuja kwenye Timu yetu ya Wananchi.
In fact sisi Yanga kuna umuhimu wa kubadilika katika uendeshaji wa Timu ili tuendane na Kasi ya Simba ambaye niwazi kuwa na mwaka huu anakuwa Bingwa tena.