Hofu yatanda: Msanii Q-Chillah hajulikani alipo siku ya tatu sasa

Nani alikwambia Roma alitekwa na serikali? mbona nsijawi msikia akisema hayo au wewe umejuaje?
Kwenye hiyo sentesi Kuna sehemu nimeandika Roma alitekwa na serikali..!?
Bila shaka na wewe utakuwa umeongeza maneneo yako
Hebu rudia kusoma
 
Chillah ni junky kama t.i.d atakua alipita sehemu amekutana na bwimbwi kinanda bado ametinga msikilizieni ikikata atarudi
pengine tusubiri....hahahahaha
 
Noah tintled ama Nissan nyeupe!!!.

Atapatikana huyo tena aliwa salama...labda km alikuwa na tabia chafu ambazo alikuwa hazionyeshi kwa public.
 
Aiseeeee.................

Mkuu Wewe hayo maneno ya huyo Mzee hapo umeyaelewa labda ili uweze kunielewesha nami kwani huwezi amini hadi hivi leo nimeshindwa kuyaelewa kuwa alikuwa anamaanisha nini hasa na kwanini aliamua kuyasema kwani kama vile naanza kuyaona sasa hayo maneno yake yanaanza kuishi tena mubashara kabisa.
 
Mkuu G kwa uliyo yaandika ni wazi kama yatakuwa yana uhusiano na Q basi ni wazi alipokuwa ana mahusiano na genge la wauza madawa na alipo acha walihisi anatoa siri zao au anataka kuwauza tena kupitia T.I.D ambaye alijitanabahisha kabisa anapinga hiyo biashara mbele ya Makonda na kumuunga mkono na kama hivyo basi wao ndio wanae na wanakula nae sahani moja pengine....
Kwenye swala la uwezekano wa kuchukua mali za watu wenye nguvu ya pesa na inawezekana ikawa ni sababu kama kuna ukweli huo......
 
Noah tintled ama Nissan nyeupe!!!.

Atapatikana huyo tena aliwa salama...labda km alikuwa na tabia chafu ambazo alikuwa hazionyeshi kwa public.
una uhakika gani?
 
Hahahaha yawezekana kafichwa na jimama anachezea manyoya tu
teh teh inawezekana jamaa ana kula raha tuu muda huu anatucheki tunavyo hangaika kumuulizia....akitoka anakwenda kujilaza kwenye mtaro
 
T I D anapenda kiki, yeye ndio nani mpaka atoe Tangazo
 
Kila mtu sikuhizi akiamua kupotea anapotea,.. eg Fatma lamore (yule mtangazaji)
 
Sehemu fulani...

Mahali fulani...

Gari fulani...

..... Huu si ndo u 'Shit Hole''!!

Trump is damn right..
 
Huko aliko kama alipataka mwenyewe apambane na hali yake,ila km na yeye haelewi kama sisi Mungu amnusuru.
 
Sehemu fulani...

Mahali fulani...

Gari fulani...

..... Huu si ndo u 'Shit Hole''!!

Trump is damn right..
Yes, Trump is damn right because he once said we have experience of criticizing than giving the solution.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…