Hofu yatanda: Msanii Q-Chillah hajulikani alipo siku ya tatu sasa

Hofu yatanda: Msanii Q-Chillah hajulikani alipo siku ya tatu sasa

Jamaa kumbe hajaoa bado yupo kwenye uchumba?

Too early for me to say something about his missing.
 
Huyu ni mtoto wa kocha (Zubeir Katwila) wa Mtibwa, (mtanirekebisha)! hapo tu miguu miwili upo Morogoro, Turiani, Inakuwa je asitafutwe na babake?
 
Bashite huwa anajua pa kumpata na siku atakayopatikana....
Soon atakuja kwenye media na huenda atasema atapatikana kabla ya jumatatu labda!
 
Waende hospitali zote na watoe ripoti polisi. TID ni babaake?
 
kama amepotea Ajitokeze mtu atabiri atapatikana juma ngapi!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom