monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Mkuu,unamaanisha kuwa jamaa anapenda chini sana?Chillah ni junky kama t.i.d atakua alipita sehemu amekutana na bwimbwi kinanda bado ametinga msikilizieni ikikata atarudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,unamaanisha kuwa jamaa anapenda chini sana?Chillah ni junky kama t.i.d atakua alipita sehemu amekutana na bwimbwi kinanda bado ametinga msikilizieni ikikata atarudi
Wasiojulikana wale makada wenu wenye makao pale centralwakina nani hao?
Vijiweni masaa yote hayo. ? Kweli mtu mzima yule akae kijiweni muda wote huo kweli mkuu tuwe serious na issue kama hizi maana kuna walipotea hadi leo hawajulikani walipo. Ni vizuri tukapaza sauti mapema angalau isaidi kuamsha jamii na jambo hili liwe wazi kabisa na mapema.Kwani wamejaribu kupitapita hadi kwenye vijiwe vyote vya mapusha napo hayupo?
Makinikia fcwakina nani hao?
Mbona ni baba zake!acheni hizo.
Ana makazi mombasa auYupo Mombasa huyo ndo zake
Watesi wetuwakina nani hao?
palae ilala. eti eehHivi huyu TID hana uswahiba na ofisi fulani kubwa ya Dar?
Jeshi la polisi hakina uwezo wa ki-inteligence kutatua kesi kama hizi,wapo kisiasa zaidi kuliko kulinda wananchi na haki zao,sababu kubwa kulifanya Jeshi la polisi lisiwe na uwezo wa kutatua kesi kama hivi ni kwakuwa wako mbali sana na raia,uhusiano wa raia na polisi ni mbovu sanaWasiojulikana kama ni kweli tunalijengea taifa picha mbaya sana ya kiulinzi na usalama.
Kama watu maarufu au wanaofahamika wanapotea kwa kiasi hiki je hao wasiokua na jina ama hawafahamiki ni wengi kiasi gani?
Jeshi la polisi na inteligence community tupeni majibu ya masahibu haya wanayopitia watanzania wenzetu
Maneno makini sana haya yanaitaji yatumike ipasavyoKuna Mzee mmoja hivi Umri umeshaenda siku moja aliwahi kuniambia kwamba ukishaamua kuingia katika Biashara na Matumizi ya dawa za Kulevya basi jaribu kuwa makini na usipende kupayukapayuka au kutumika na Rafiki yako ama kwa kujua au kutokujua katika kuwafichua wenzako kamwe hutobaki salama. Lakini kama haitoshi pia ukijua una mahusiano ya Kimapenzi tena ya uwizi na Mpenzi wa Mtu kisha akakuonya mara mbili tatu bila ya hata Kukudhuru jua ya kwamba kinachokuja si kitu kizuri na huenda Kikakugharimu.
Mpaka leo nayawaza mno hayo maneno ya huyo Mzee na sijayapatia bado majawabu kuwa alikuwa akimaanisha nini hasa.
Siku moja jaribu kula Unga uoneVijiweni masaa yote hayo. ? Kweli mtu mzima yule akae kijiweni muda wote huo kweli mkuu tuwe serious na issue kama hizi maana kuna walipotea hadi leo hawajulikani walipo. Ni vizuri tukapaza sauti mapema angalau isaidi kuamsha jamii na jambo hili liwe wazi kabisa na mapema.
Naampalae ilala. eti eeh