Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye hiyo sentesi Kuna sehemu nimeandika Roma alitekwa na serikali..!?Nani alikwambia Roma alitekwa na serikali? mbona nsijawi msikia akisema hayo au wewe umejuaje?
Aiseeeee.................
Hahahaha yawezekana kafichwa na jimama anachezea manyoya tuau kajificha sehemu?
Mkuu G kwa uliyo yaandika ni wazi kama yatakuwa yana uhusiano na Q basi ni wazi alipokuwa ana mahusiano na genge la wauza madawa na alipo acha walihisi anatoa siri zao au anataka kuwauza tena kupitia T.I.D ambaye alijitanabahisha kabisa anapinga hiyo biashara mbele ya Makonda na kumuunga mkono na kama hivyo basi wao ndio wanae na wanakula nae sahani moja pengine....Mkuu Wewe hayo maneno ya huyo Mzee hapo umeyaelewa labda ili uweze kunielewesha nami kwani huwezi amini hadi hivi leo nimeshindwa kuyaelewa kuwa alikuwa anamaanisha nini hasa na kwanini aliamua kuyasema kwani kama vile naanza kuyaona sasa hayo maneno yake yanaanza kuishi tena mubashara kabisa.