Hofu yatanda: Msanii Q-Chillah hajulikani alipo siku ya tatu sasa

Kwani wamejaribu kupitapita hadi kwenye vijiwe vyote vya mapusha napo hayupo?
Vijiweni masaa yote hayo. ? Kweli mtu mzima yule akae kijiweni muda wote huo kweli mkuu tuwe serious na issue kama hizi maana kuna walipotea hadi leo hawajulikani walipo. Ni vizuri tukapaza sauti mapema angalau isaidi kuamsha jamii na jambo hili liwe wazi kabisa na mapema.
 
Savimbi, labda karudi kwenye kazi yake iliyosababisha akanyolewa dread rocks.....
 
itakua kiki hiyoo maana mzeee baba katupwa mbali Sana'a..au kaenda kwa sangoma huyoo
 
Chillah hali Madawa tena, wala hawezi ludia yule jombaa na mkubali sana kwa msimamo
 
Jeshi la polisi hakina uwezo wa ki-inteligence kutatua kesi kama hizi,wapo kisiasa zaidi kuliko kulinda wananchi na haki zao,sababu kubwa kulifanya Jeshi la polisi lisiwe na uwezo wa kutatua kesi kama hivi ni kwakuwa wako mbali sana na raia,uhusiano wa raia na polisi ni mbovu sana
 
Maneno makini sana haya yanaitaji yatumike ipasavyo
 
Siku moja jaribu kula Unga uone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…