Hoja Chokonozi: Hivi Rais anapowapita wananchi barabarani na Ulinzi mkali anaogopa kuwasalimia?

Hoja Chokonozi: Hivi Rais anapowapita wananchi barabarani na Ulinzi mkali anaogopa kuwasalimia?

Hao anao waogopa HAWAKUMCHAGUA, yeye yuko pale kwa sarakasi za kikatiba tu. Uchaguzi ujao utadhihirisha hilo.
Pili, Wananchi ni adaui wa WATAWALA DUNIA Nzima, Ila KIONGOZI ni Rafiki wa anao waongoza.
 
Nadhani anaenda na muda! Akisema kila mahali asimame atachelewa huko anakokwenda.
 
Kwanza niseme nakubali kabisa Rais anafanya kazi kwa ratiba alizopangiwa na wasaidizi wake. Siku 4 zilizopita Mh. Samia Suluhu Hassan katika ziara yake mkoani Katavi ameonekana katika msafara wake wa magari zaidi ya 100 akipita kwa kasi sana huku wananchi wakiwa wamejipanga barabarani kushangaa msafara wa Kiongozi wao.

Nimejiuliza maswali kadhaa kichwani kwangu huyu Rais tumemchagua sisi wananchi tuliosimama barabarani (ndio tumemchagua kwasababu wakati wa kupiga kura tulipiga kwa Marehemu magufuli na mgombea mwenza wake ambae ni huyu bibi samia).

Nimejiuliza anajisikiaje anapoona wananchi waliomchagua wapo barabarani yeye akipita kwa kasi bila kuwapa hata salamu huku akiwa na ulinzi wa kutisha kiasi cha kusema labda wananchi waliomchagua ndio tishio?

Jamani ieleweke sipingi ulinzi kwa Kiongozi wa nchi lakini nimeona tu kuwa waliomchagua wangepata faraja hata kupungiwa mkono tu na Kiongozi wao.

Kila la heri Rais samia Mungu akulinde afya njema na Hekma katika kuliongoza taifa letu.

Mwulize NAPE
 
Siyo rahisi kwa Rais kusimama kila penye watu barabarani asalimie.
Kama ambavyo wewe huwezi kusimama usalimie kila mtu mtaani unapopita hata kama unatembea kwa miguu.
Mimi na rais ni watu wawili wenye hadhi tofauti. Mbona wakati wa kuomba kura anasimama kila mahali kuwasalimia wananchi iweje akishaupata urais anachagua sehemu za kuwasalimia?
 
Mbwembwe tu za kijinga , hivi rais anapokuwa nje ya nchi usalama wake unakuwa mkubwa zaidi ndio maana anakuwa hana ulinzi mkubwa
Akiwa nje ya nchi mwenyeji wake ndiye atahakikisha usalama wa mgeni wake
 
Mwenyewe na hao wanaomzunguka wanajua hali halisi kwamba HAMKANI SI SHWARI.
 
Kaka acha kungata na kupuliza, mchane direct 💬
😂😂
 
Ni kweli ni dubwasha kubwa,ila si dubwasha bora. Mjinga tu ndio husifia ukubwa na sio ubora. Kwa maneno marahisi ni chama analogia kwenye ulimwengu wa kidigital.
Chadema wenyewe wametokana na CCM sasa unachobishq kitu gani?
 
Wewe kwaakili zako hapa kuna agenda gani ya siri gani unayoiona? Usiwe mjinga basi kwani kuhoji kwanini rais hasimami kuwasalimia wananchi ni kosa? Kama huna jibu si unyamaze halafu hao viongozi walioshambuliwa huko marekani na Japanese huwezi kufananisha siasa zao na za kwetu kwanza tumetofautiana vitu vingi sana..
Ainisha huo utofauti usitake kuaminisha watu vitu vya hovyo, usalama wa rais lazima uwe fully at any time, trust no body ndo maana PSU wapo macho na mama RIP Mwinyi alipigwa kofi je ingekuwa mshukiwa angekuwa na kitu chenye ncha Kali ingekuwaje miaka ile japo mzee alikuwa soo social ila alipigwa na kiatu
 
Kwanza niseme nakubali kabisa Rais anafanya kazi kwa ratiba alizopangiwa na wasaidizi wake. Siku 4 zilizopita Mh. Samia Suluhu Hassan katika ziara yake mkoani Katavi ameonekana katika msafara wake wa magari zaidi ya 100 akipita kwa kasi sana huku wananchi wakiwa wamejipanga barabarani kushangaa msafara wa Kiongozi wao.

Nimejiuliza maswali kadhaa kichwani kwangu huyu Rais tumemchagua sisi wananchi tuliosimama barabarani (ndio tumemchagua kwasababu wakati wa kupiga kura tulipiga kwa Marehemu magufuli na mgombea mwenza wake ambae ni huyu bibi samia).

Nimejiuliza anajisikiaje anapoona wananchi waliomchagua wapo barabarani yeye akipita kwa kasi bila kuwapa hata salamu huku akiwa na ulinzi wa kutisha kiasi cha kusema labda wananchi waliomchagua ndio tishio?

Jamani ieleweke sipingi ulinzi kwa Kiongozi wa nchi lakini nimeona tu kuwa waliomchagua wangepata faraja hata kupungiwa mkono tu na Kiongozi wao.

Kila la heri Rais samia Mungu akulinde afya njema na Hekma katika kuliongoza taifa letu.

mmemchagua wapi? lini?
 
Ainisha huo utofauti usitake kuaminisha watu vitu vya hovyo, usalama wa rais lazima uwe fully at any time, trust no body ndo maana PSU wapo macho na mama RIP Mwinyi alipigwa kofi je ingekuwa mshukiwa angekuwa na kitu chenye ncha Kali ingekuwaje miaka ile japo mzee alikuwa soo social ila alipigwa na kiatu
Mbona marehemu magufuli alikuwa anasimama barabarani anaasalimia wananchi kwani yeye alikua haogopi kushambuliwa na hao maadui.?
 
Mali ya urithi ukiacha kwa watoto hovyo kabisa uleta hayo matokeo
 
Mbona marehemu magufuli alikuwa anasimama barabarani anaasalimia wananchi kwani yeye alikua haogopi kushambuliwa na hao maadui.?
Rais hupangiwa ratiba na kila kitu,note Magufuli hata PSU nadhani iliona ni shida coz kila jambo alitakiwa kufuata utaratibu ndo maana hata jukwaani alikuwa hana mpangilio wa Mambo kila leo yeye aliwaza kutumbua tu so hata mifumo ikawa inaogopa kutekeleza majukumu mtu haijui kesho yake,uzalishaji nao ukawa ndogo,upigaji ukawa mkubwa sana kupita awamu zote,so mama anafuata taratibu za kuongozwa na ulinzi wake as protocol say
 
Hakuna hata mtz mmoja aliyelichagua Hilo libibi.linaogopa kupinduliwa na wananchi ndiyo maana linawapita wananchi Kwa kasi maana anajua hakuchaguliwa
 
Rais hupangiwa ratiba na kila kitu,note Magufuli hata PSU nadhani iliona ni shida coz kila jambo alitakiwa kufuata utaratibu ndo maana hata jukwaani alikuwa hana mpangilio wa Mambo kila leo yeye aliwaza kutumbua tu so hata mifumo ikawa inaogopa kutekeleza majukumu mtu haijui kesho yake,uzalishaji nao ukawa ndogo,upigaji ukawa mkubwa sana kupita awamu zote,so mama anafuata taratibu za kuongozwa na ulinzi wake as protocol say
Hakuna ufisadi kuzidi hii awamu majangili yote yamerudi kazini
 
Back
Top Bottom