Hoja Chokonozi: Hivi Rais anapowapita wananchi barabarani na Ulinzi mkali anaogopa kuwasalimia?

anaogopa manati
 
Nani anakupa rukhsa ya kujadili ulinzi wa Rais?
Unajua Rais halali kwaajili ya wananchi wake?
Unajua rais anakuwaza wakakti wewe upo kwenye beti na kujadili mzee mpili?
Hata yakiwa magari 200, watu wanalipa kodi na kazi ya kodi ni ulinzi, manendeleo tutakopa.
 
Sawa mheshimiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…