Hoja dhidi ya Hoja: Maswali Sahihi Huleta Majibu Sahihi: Tatizo la Kudhania Kutoonekana kwa Magufuli

Mimi nimekuelewa;

Tumejibiwa tusivyotegemea na kwakua majibu tuliyonayo hayafanani na tuliyopewa tunalazimisha wenye majibu sahihi kutoa majibu yanayofanana na yale tunayotamani kusikia; huku siyo kutaka kujua bali ni kutega tena kwa hila
 
Ngoja niisome taratibu bwashee!

Ni jambo jema kwa kuwa umeridhika na majibu ya waziri mkuu kulingana na maswali yalivyoulizwa!
Komenti baada ya kusoma na kuelewa ,acha kukurupuka.Na km hujasoma usikoment na km pia hujaelewa kaa kimya.Acha kumlisha mwandishi yale yanayokufurahisha wewe.Haitakusaidia wala si afya kwa ubongo wako.
 
Cha kushangaza ni kwamba wanaoulizia Rais aliko ni walewale waliotuambia yuko nairobi hospital, ni walewale waliotuambia yuko kati ya sehemu mbili🙄 india au china 🤔🤔

Yohane johnthebaptist hawa watu tuwaiteje!?
Unapouliza swali au kumtag mtu tag angalao wale wenye utimamu wa akili.Pengine ndege wafananao huruka pamoja ndiyo maana ukamtag huyo.
 
Uaminivyo ww na unavyoomba sisi hatuna shaka nayo,ila kwa vile tunampenda Rais Wetu tutaendelea kumwombea tu...Popote atakapokuwa ili harudi aendelee na ziara zake za kupambania wanachi masikini...Nyie hamtufai kiukweli
Upo mjomba? Mungu hadhihakiwi ameona amalizane naye, alishajikuta naye ni Mungu sana
 
Haya basi sawa.
 
Hahahahahahahahahaha..vipi hapo..
 
Wala hata mimi sijazania kuwa Rais wetu anaumwa.
Naomba usirudie tena kunilisha maneno, nina mke na watoto na pisi moja matata sana wote wananitegemea mimi.
Basi naomba ww na hiyo familia yako na pisi yako muanze kunitegemea mm,mana naona mtegemezi wao utawapotosha
 
Ulizidi kujitoa ufahamu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…