Muda utaongeaAcha kupiga ramli we boya
Mimi pia ni mwanachama wa CCM.. lakini uwepo wa Lissu naufurahiaAcha kupiga ramli we boya
Nakumbuka, vipi wenzake wanaweza kuwa na msimamo kama wake?Mwenyewe tu ,alitengewa billion 10 na magufuli kabla ya Lisasi
Kwanza aliombwa na mbowe kuingia chadema ,akitokea nccr mageuzi ikitokea hana shida aendezake kufanya kazi ulaya alikoajiliwa na umoja wa ulayaNakumbuka, vipi wenzake wanaweza kuwa na msimamo kama wake?
LISSU apewe laki 5 tu anaacha na siasa.Mfano.. zikiwekwa hapo Bilioni 5 Tundu lissu afutwe uanachama kuna atakaekataa?
Tundu lissu amekuwa sehemu ya Tishio kwa Hoja zake na misimamo yake
Amekuwa Mkweli, amekuwa sehemu ya kusimamia anachokiamini
Pesa zinazoitwa za mama Abdulah zikimwaga ufipa kama zilizo habari za ndani za kutengeneza mazingira aonekane anataka km u chairperson, either ni sehemu ya propaganda ama ni kweli je kuna atakaechomoa?
Pole sana Tundu lissu , hakika umewafumbua mengi wananchi..
Kwanza aliombwa na mbowe kuingia chadema ,akitokea nccr mageuzi ikitokea hana shida aendezake kufanya kazi ulaya alikoajiliwa na umoja wa ulaya