Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni rangi ya gariMi hata funuo ya gari siijui, niambieni kwanza CC ni nini na naiangalia wapi? Kunajamaa kaacha gari lake hapa niamgalie
Uandishi kama wa magazeti ya Ijumaa na uwazi vile?? heading na content havifanani kabisaNilivyosoma heading nikahisi something wrong na magari ya 1800cc,kwenye details umeongelea mambo mengine yaani wanao miliki haya magari ya kuanzia1800cc na kushuka chini ni ma leaner,
Mbona kama hivi vitu havihusiani? mkuu under pressure?
Sometimes naikubali JF hata bila kupenda.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza uchunguzi huru nilioufanya barabarani haswa katika jiji la dar es salaam nimebaini yafuatayo
Ajali nyingi zinazotokea dar asilimia kubwa zinahusisha magari madogo madogo.
Lakini baada ya kufanya uchunguzi zaidi nimebaini chanzo kikubwa cha ajali hizi zinasababishwa na wanaoenendesha magari yenye cc chini ya 1800
kundi hili la magari ya kuanzia cc 650 hadi cc 1800 asilimia 85 linahusha madereva wasio na uzoefu (learners) na wengi wao ndio magari yao ya kwanza.
Hivyo basi wawapo barabarani husababisha ajali nyingi kutokana na wao kuwa waoga waoga hali inayosababisha wao kupoteza kujiamini na hivyo kufanya vitu vya ajabu ambavyo matokeo yake husababisha ajali ndogo na kubwa za kupigana pasi na kadhalika. mimi niwapo barabarani huwa sikaikaribu na magari yenye cc ndogo maana najua asilimia kubwa bado hawana uzoefu hivyo muda wowote anaweza kufanya maamuzi yasiyokuwa yakawaida na kusababisha ajali.
Nawasilisha
Hahaha...duuHizo cc650 mpaka 1800 wao magari yao ya mkopo na hawana uzoefu na Barabara je wewe lile BMW la mama lina cc ngapi na halijawahi sababisha ajali?
suzuki carryGari gani ina Cc 650
daihatsuGari gani ina Cc 650
hahahahaha mkuu hii koment ya kufunga mwakaAcha kutibua watu, wana frustrations zao bhana. Wengi wanaendesha vibaby walker afu wewe useme ni learners? Angalia comments zao ndiyo utajua jinsi ulivyowakorofisha...
Unaweza ukaweka picha tafadhalidaihatsu
Tunasimangwa wenye passoTumeshajua unaendesha gari kubwa, asante!
MKUU AMA UNABARABARA ZAKO MAANA ALMOST 90% NI HAYO YA CC NDOGO DSM.. sasa sijui huwa unazikwepa vipiKama kichwa cha habari kinavyojieleza uchunguzi huru nilioufanya barabarani haswa katika jiji la dar es salaam nimebaini yafuatayo
Ajali nyingi zinazotokea dar asilimia kubwa zinahusisha magari madogo madogo.
Lakini baada ya kufanya uchunguzi zaidi nimebaini chanzo kikubwa cha ajali hizi zinasababishwa na wanaoenendesha magari yenye cc chini ya 1800
kundi hili la magari ya kuanzia cc 650 hadi cc 1800 asilimia 85 linahusha madereva wasio na uzoefu (learners) na wengi wao ndio magari yao ya kwanza.
Hivyo basi wawapo barabarani husababisha ajali nyingi kutokana na wao kuwa waoga waoga hali inayosababisha wao kupoteza kujiamini na hivyo kufanya vitu vya ajabu ambavyo matokeo yake husababisha ajali ndogo na kubwa za kupigana pasi na kadhalika. mimi niwapo barabarani huwa sikaikaribu na magari yenye cc ndogo maana najua asilimia kubwa bado hawana uzoefu hivyo muda wowote anaweza kufanya maamuzi yasiyokuwa yakawaida na kusababisha ajali.
Nawasilisha