Hoja: Kuwa makini na magari yenye cc 1800 kushuka chini

Hoja: Kuwa makini na magari yenye cc 1800 kushuka chini

Vigari vingine vidooogo(Ingawa mimi sina hata gari lenye tairi moja)..watu humo wanakosa hata hewa nzuri na safi ya kutosha,na kama tunavyojua mwili ukikosa hewa safi na ya kutosha kwa muda fulani basi akili inaweza isifanye kazi vizuri.

716d1235228152-big-guys-little-cars-jim-fits-2.jpg
Big-man-little-car.jpg
daily_picdump_727_640_01.jpg
Halafu eti wabongo vigari hivi wanaviita sijui baby Walker mara vyakike lakin wenzetu ambao kwa sehemu kubwa ndio watengenezaj wao hawana shida tena waweza kuta anaye tumia vigari hivyo ni tajiri mzur tu na anauwezo wa kumiliki gari kubwa tu ila tu kayagawa magar yake kutokana na matumiz ya wakati huo nna mahali aendapo, maskin bwana wanamaneno ya shombo.
 
Unatakiwa upimwe mkojo wewe sio akili ya binadamu wa kawaida hiyo.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza uchunguzi huru nilioufanya barabarani haswa katika jiji la dar es salaam nimebaini yafuatayo

Ajali nyingi zinazotokea dar asilimia kubwa zinahusisha magari madogo madogo.

Lakini baada ya kufanya uchunguzi zaidi nimebaini chanzo kikubwa cha ajali hizi zinasababishwa na wanaoenendesha magari yenye cc chini ya 1800

kundi hili la magari ya kuanzia cc 650 hadi cc 1800 asilimia 85 linahusha madereva wasio na uzoefu (learners) na wengi wao ndio magari yao ya kwanza.

Hivyo basi wawapo barabarani husababisha ajali nyingi kutokana na wao kuwa waoga waoga hali inayosababisha wao kupoteza kujiamini na hivyo kufanya vitu vya ajabu ambavyo matokeo yake husababisha ajali ndogo na kubwa za kupigana pasi na kadhalika. mimi niwapo barabarani huwa sikaikaribu na magari yenye cc ndogo maana najua asilimia kubwa bado hawana uzoefu hivyo muda wowote anaweza kufanya maamuzi yasiyokuwa yakawaida na kusababisha ajali.


Nawasilisha




hahaha nimependa ila CC HAISABABISHI AJALI acha maneno maneno rafiki
 
Maroli mangap yanapata ajari? Au nayo ya cc 650?
Unajua takwimu za magari yaliyopo wewe? Unatambua kwamba magari mengi yaliyo barabarani ni madogo Kwa ajili ya watu kubana bajeti ya mafuta? Huwezi ringanisha wingi Wa ajari za tax na trekta!
TRENI IPO MOJA RELINI NA INAPATA AJALI sembuse huko barabarani?
Wewe ni mjinga sana na huna hata toroli!


Jamaa amekosea inabidi awe anaweka title na maelezo yanayoendana..
 
uzi umeanzishwa tarehe ambayo wanafunzi wako likizo msikauke mate jamani anatafuta views na likes
 
Tunasimangwa wenye passo
alituaminisha kwenye nyuzi zake kuwa anamiliki costa na anasafiri sana mikoani akikodiwa kupeleka maharusi, maiti na wana warsha. lakini zaidi alionekana anasifia Tahmeed (hope ni kampuni ya baba yake
 
Back
Top Bottom