Hoja: Kuwa makini na magari yenye cc 1800 kushuka chini

Nilivyosoma heading nikahisi something wrong na magari ya 1800cc,kwenye details umeongelea mambo mengine yaani wanao miliki haya magari ya kuanzia1800cc na kushuka chini ni ma leaner,
Mbona kama hivi vitu havihusiani? mkuu under pressure?
Uandishi kama wa magazeti ya Ijumaa na uwazi vile?? heading na content havifanani kabisa
 
Sometimes naikubali JF hata bila kupenda.
Nimekusoma ingawa sijakuelewa kabisa mkuu
 
Mmmmh
Ili uwe na gari ya cc kubwa maana yake usiwe na hela za mawazo
 
Siyo kweli, your theory is as pure as a fallacy to be ignored!
 
Acha kutibua watu, wana frustrations zao bhana. Wengi wanaendesha vibaby walker afu wewe useme ni learners? Angalia comments zao ndiyo utajua jinsi ulivyowakorofisha...
hahahahaha mkuu hii koment ya kufunga mwaka
 
MKUU AMA UNABARABARA ZAKO MAANA ALMOST 90% NI HAYO YA CC NDOGO DSM.. sasa sijui huwa unazikwepa vipi
 
Kwa hiyo tatizo ni magari au mafereva,?
Basi Kama no kweli upeleke utafiti wako kwa makampuni ya kutengrneza magari Kama ni wa uhakika watajua Cha kufanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…