Hoja: Kuwa makini na magari yenye cc 1800 kushuka chini

Halafu eti wabongo vigari hivi wanaviita sijui baby Walker mara vyakike lakin wenzetu ambao kwa sehemu kubwa ndio watengenezaj wao hawana shida tena waweza kuta anaye tumia vigari hivyo ni tajiri mzur tu na anauwezo wa kumiliki gari kubwa tu ila tu kayagawa magar yake kutokana na matumiz ya wakati huo nna mahali aendapo, maskin bwana wanamaneno ya shombo.
 
Unatakiwa upimwe mkojo wewe sio akili ya binadamu wa kawaida hiyo.
 




hahaha nimependa ila CC HAISABABISHI AJALI acha maneno maneno rafiki
 


Jamaa amekosea inabidi awe anaweka title na maelezo yanayoendana..
 
uzi umeanzishwa tarehe ambayo wanafunzi wako likizo msikauke mate jamani anatafuta views na likes
 
Tunasimangwa wenye passo
alituaminisha kwenye nyuzi zake kuwa anamiliki costa na anasafiri sana mikoani akikodiwa kupeleka maharusi, maiti na wana warsha. lakini zaidi alionekana anasifia Tahmeed (hope ni kampuni ya baba yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…