Hoja kwamba hakuna wasichana wa kichaga wenye miguu ya bia ni uongo na udhalilishaji

Kwanza tuanze na wewe ya kwako ikoje embu weka picha tuijadili ya kwako kwanza halafu baadae mchana tutaijadili ya wanawake wachaga
 
Kwanza tuanze na wewe ya kwako ikoje embu weka picha tuijadili ya kwako kwanza halafu baadae mchana tutaijadili ya wanawake wachaga
Muache asiweke mkuu,asije akatutisha wengine tuna pressure humu...
 
Nimekuja mbio nikijua umeweka samples! Aaaghhh!
 
Broo nipo katika hiyo tume lkn nadhani kama nitapotosha jamii kwani my wife ni mchaga
 
Bila pcha hatuwez kuamin
 
KWELI BINADAMU KWA KUJIDHARAU? ALISEMA MALCOM X KUWA NANI ALIKUFUNDISHA WEWE MWAFRIKA NGOZI NYEUSI KUCHUKIA RANGI YA NGOZI YAKO NA UMBO LA PUA YAKO?.
WATU WAKO BUSY KUSIFIA NGOZI ZA WATU NA PENGINE KWA KUFANYA HIVYO WANADHALILISHA MAMA ZAO WALIOWAZAA NA DADA ZAO.
 
Siyo kweli mkuu.. Hii ni wazo tu watu walituaminisha... Fika moshi ujionee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…