Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
- Thread starter
-
- #41
Rombo kule ni kisima cha waremboLabda Rombo na baadhi ya sehemu za marangu mwika
Na kifua wamebarikiwa aisee!NI kweli wanawake wa kichagga miguu yao ni issue sana.
Nani kasema mimi ni mwanamke?Kwanza tuanze na wewe ya kwako ikoje embu weka picha tuijadili ya kwako kwanza halafu baadae mchana tutaijadili ya wanawake wachaga
Hakika utakua umejiopolea jiko la kichaga..Uko sahihi mtoa mada
Napinga mkuu.Ukimuona Mwanamke Wa Kichaga Ana Shepu Nzuri Ujue Huyo Mchanganyiko Siyo Mchaga Pure
Nani kasema mimi ni mwanamke?
Nimefika moshi wengi wao wako hivyo wachache wamejaaliwa miguuSiyo kweli mkuu.. Hii ni wazo tu watu walituaminisha... Fika moshi ujionee
Hakuna Kitu Kama HichoNapinga mkuu.
Wapo ni wachaga pure ila ukiwaona zigo zigo
Mama Awe Mchaga Na Baba Awe Kabila LingineMchanganyiko wa wapi na wapi
Sasa kama mama ana miguu ya bia utasema karithi kwa baba wa kabila ingine?Mama Awe Mchaga Na Baba Awe Kabila Lingine
Ulifika mwaka gan?Nimefika moshi wengi wao wako hivyo wachache wamejaaliwa miguu
Kwamba miguu ya mwanamume na mwanamke zinafanana?Ishu miguu sio jinsia
Yes! Haswa hapo kwenu mkuu nimekaa kaa hapo nimeona totoz nyingi sana kule wilayaniAiseee nakubaliana na wewe rombo wapo wengi tuu
Kila mwaka mara ya Mwisho mwez WA sita mwaka Huu natarajia mwezi wa 12 nifike tena.Ulifika mwaka gan?
Inaonekana ni kwa namna gani totoz za kule zimekuvutia hadi unarudi kila mwaka hukoKila mwaka mara ya Mwisho mwez WA sita mwaka Huu natarajia mwezi wa 12 nifike tena.
Hahahhahaha me mwanamke jaman nivutiwe VIP banaInaonekana ni kwa namna gani totoz za kule zimekuvutia hadi unarudi kila mwaka huko