Hoja Mbadala: Katiba Ya Muungano Kuja Kabla ya Katiba ya Tanganyika (Tanzania Bara) ni Makosa!

Hoja Mbadala: Katiba Ya Muungano Kuja Kabla ya Katiba ya Tanganyika (Tanzania Bara) ni Makosa!

Kwa maoni yangu,the best way ni kuwa na kura ya maoni kwa Zanzibar na Tanganyika separately. Hiyo inamaanisha utambuzi wa Tanganyika kwanza.
Halafu ndiyo tujue kama tutakuwa nchi moja (serikali moja au tatu), au nchi mbili tofauti..
Katiba ya baada ya uhuru inaweza kutumika kama katiba ya Tanganyika.
 
sasa si murudi kwenu? mwambieni polycarp pengo atoe amri musionewe
 
Kwa maoni yangu,the best way ni kuwa na kura ya maoni kwa Zanzibar na Tanganyika separately. Hiyo inamaanisha utambuzi wa Tanganyika kwanza.
Halafu ndiyo tujue kama tutakuwa nchi moja (serikali moja au tatu), au nchi mbili tofauti..
Katiba ya baada ya uhuru inaweza kutumika kama katiba ya Tanganyika.

Mkuu Kobello,

Karibu katika mjadala; nakubaliana na wewe kwamba kila pande za muungano zifanye separate referendums;ningependa kujua mtazamo wako lakini katika hili kwamba je - iwapo matokeo ya pande zote mbili yatapishana, tunafanyaje hapo?

Vile vile naungana nawe katika hoja kwamba Katiba ya Tanganyika (1962) iendelee kuwa katiba ya Tanganyika pengine baada ya marekebisho ya hapa na pale kukidhi mahitaji ya nchi katika dunia ya leo; vinginevyo the fact kwamba katiba ya tanganyika (1962)ilifanywa kuwa katiba ya muda ya muungano baada ya a few amendments maana yake ni kwamba ilikuwa ni Katiba bora na sio bora katiba (kama ya 1977) kwani pande zote mbili ziliona inafaa for starters;


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mkuu Kobello,

Karibu katika mjadala; nakubaliana na wewe kwamba kila pande za muungano zifanye separate referendums;ningependa kujua mtazamo wako lakini katika hili kwamba je - iwapo matokeo ya pande zote mbili yatapishana, tunafanyaje hapo?

Vile vile naungana nawe katika hoja kwamba Katiba ya Tanganyika (1962) iendelee kuwa katiba ya Tanganyika pengine baada ya marekebisho ya hapa na pale kukidhi mahitaji ya nchi katika dunia ya leo; vinginevyo the fact kwamba katiba ya tanganyika (1962)ilifanywa kuwa katiba ya muda ya muungano baada ya a few amendments maana yake ni kwamba ilikuwa ni Katiba bora na sio bora katiba (kama ya 1977) kwani pande zote mbili ziliona inafaa for starters;


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Muungano utakuwepo ikiwa pande zote mbili zitahusishwa na zitakubali.
Siyo pande moja au pande sifuri.
Ktiba ya '62 ni kianzio, ili kulegalize sovereignty yetu kwa ajili ya kura ya maoni.Mfumo wa Serikali ungeundwa baada ya kura ya maoni, ili kukidhi maslahi ya Tanganyika.

Mimi naona njia hii ndiyo sahihi.
 
Muungano utakuwepo ikiwa pande zote mbili zitahusishwa na zitakubali.
Siyo pande moja au pande sifuri.
Referendum ya pande mbili kwa kweli itakuwa ni kitu very challenging, ndio maana wengi wasiopenda kutumia muda mwingi kufikiri hadi jibu lipatikane wanaona ni bora referendum ya upande mmoja iwe ndio mwamuzi;

Katiba ya '62 ni kianzio, ili kulegalize sovereignty yetu kwa ajili ya kura ya maoni.Mfumo wa Serikali ungeundwa baada ya kura ya maoni, ili kukidhi maslahi ya Tanganyika.

Mimi naona njia hii ndiyo sahihi.
Mkuu kobello, kwa hili la umuhimu wa katiba ya tanganyika to legalize our identity na sovereignty kwa ajili ya referendum ni hoja ya msingi sana ambayo nadhani hata tume ya warioba wakiisikia wataumia sana vichwa;


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Referendum ya pande mbili kwa kweli itakuwa ni kitu very challenging, ndio maana wengi wasiopenda kutumia muda mwingi kufikiri hadi jibu lipatikane wanaona ni bora referendum ya upande mmoja iwe ndio mwamuzi;
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Referrendum ya upande mmoja haiwezi kuwa mwamuzi. Tatizo ni kudharau maoni ya watanganyika, as if we are not as civilzed, to judge our own destiny bila kushurutishwa. Hili ni kosa kubwa wanalofanya wanasiasa.

Hata viongozi au wawakilishi wetu wanaogopa ile kitu inaitwa "Central committee" ya vyama vya siasa. Hizi "Central committees" ndizo zinazoumiza kwa njia ya mbinyo demokrasia kwa watanzania. Na hazina nguvu yeyote kikatiba, ingawa wengi humu hufikiri tofauti (nina jina baya sana kwao).

Hatukutaka vyama vingi, tukadharauliwa na matokeo yake ndiyo tunayaona.
 
Kobello,

Tatizo ni political and civil ignorance ya watanzania walio wengi ambao ndio wanaotumika na watawala kufanikisha maslahi yao ya tumbo, na kwa bahati mbaya, this army of ignorants ndio wenye sauti katika muktadha wa demokrasia kutokana na wingi wao;kuna kila dalili kwamba jeshi hili ka wajinga litatumika kuvusha matakwa ya wakubwa katika suala zima la muungano na katiba mpya;

Hata viongozi au wawakilishi wetu wanaogopa ile kitu inaitwa "Central committee" ya vyama vya siasa. Hizi "Central committees" ndizo zinazoumiza kwa njia ya mbinyo demokrasia kwa watanzania. Na hazina nguvu yeyote kikatiba, ingawa wengi humu hufikiri tofauti (nina jina baya sana kwao).

Na ni the very same CC ndio iliyoteka mchakato mzima wa katiba ya tanzania mara tu baada ya mkataba wa muungano, 1964;ni katika kichaka hiki ndipo dhana ya chama kushika hatamu ilipozaliwa, dhana inayoendelea kuwatesa watanzania walio wengi;
Hatukutaka vyama vingi, tukadharauliwa na matokeo yake ndiyo tunayaona.
Na kuna dalili kwamba matakwa ya walio wengi kuhusiana na muungano nayo yatadharauliwa the same way;


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kwa taarifa zisizo rasmi, kamati kuu ya Chadema katika kikao chake imetoa msimamo kwamba kuna umuhimu kwa Katiba ya Tanganyika kuwepo katika mchakato wa sasa wa katiba mpya ingawa msimamo huo hauna formidable force (badala yake ni kama vile wahusika hawana uhakika kama wanachosema ni kitu sahihi), lakini muhimu zaidi, msimamo huo hauambatani na elimu kwa umma juu ya umuhimu wa katiba ya Tanganyika katika nyakati hizi; Pengine official statement ya chama italiweka suala hili wazi zaidi;vinginevyo niseme tu kwamba upatikanaji wa katiba ya Tanganyika is a political process, hivyo wananchi hawana option nyingine zaidi ya kutegemea chama cha siasa kufanikisha hili; sasa iwapo mwananchi ni mwana ccm au chama kingine chochote ambacho hakina msimamo wa serikali tatu, mwananchi huyo hana budi kuunga mkono msimamo wa chama kitakachojitokeza kupigania haki hii muhimu kwetu watanzania bara?!; na kwa sasa, chama chenye mwelekeo huo ni chadema, kinachohitajika ni a firm position na elimu kwa umma juu ya umuhimu wa suala hili ili harakati hizi ziungwe mkono kwa ufanisi zaidi;

Bila ya Tanganyika, Tanzania haikuwezekana na bado haiwezekani;

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom