Unaupungufu, wa kufaham, falsafa ya dini, na falsafa ya dunia..
Kwa ufup falafa ya dini, imo, ndani, ya falsafa ya dunia..
Kitu ambacho, nimekuona hukijui, na kitakusumbua sana maishan mwako, ni, namna ya kutenganisha mambo, ya dini(imani), na mambo, ya kawaida. Si, kweli, biblia inatoa mwongozo wa kila kitu, maishani, ukweli, ni, kuwa Mungu, alitupa akili, ili, yuweze kuzitumia kufanya ugunduzi wa vipaji, mbalimbali, na tafiti, mbalimbali.
Sasa kama ni, hvyo, sema bas kuwa hata elimu, tunayosoma ni, dhambi maana biblia haikusema tusome