Hoja: Ushabiki wa mpira wa miguu una asili ya ushetani

Hoja: Ushabiki wa mpira wa miguu una asili ya ushetani


Katavi nimeanza kuufahamu mpira miaka ya 90+ taratibu miaka ya 2000+ ndo ulianza kuwa damuni. Nilikuwa mfuatiliaji mzuri sana wa ligi za nyumbani na barani ulaya sambamba na timu shiriki za mataifa mbalimbali.... Nilikuwa shabiki mzuri sana nisiekosa mechi yoyote ya timu yangu xxxx barani ulaya. Ushabiki huo ulinifanya wakati mwingi kuchelewa kurudi nyumbani hasa ukizingatia mara nyingi mpira huchezwa jioni mpaka usiku.... Baadae ilitokea fununu tu kama hizi ikiuhusisha mpira na masuala ya kishirikina, aah nilichukulia poa tu kwani mbona hata biashara nyingi zinaendeshwa hivyoo! Ila baadae ilibidi nitafute ukweli kuhusu hili. Baadae nilipata jawabu kuwa aisee ni kweli timu nyingi sana hasa hizi kubwakubwa zinashiriki kwa namna moja ama nyingine na masuala ya kichawi. Sikushauri uache kushabikia timu yako NO! Endelea mpaka na wewe utakapo gundua kitu.... narudia tena si rahisi ila ni kwa wale watakao weza tu! Nawasilisha Mr. Katavi
 
Huko mbele kila kitu kizuri tutamkabidhi shetani, maana vitu vizuri ndo shetani anapewa, mtu akimiliki elfu kumi huwezi kusikia watu wanamuita freemason, ila mtu huyo huyo kesho wakimuona anamiliki billion kumi utasikia wakimuita freemason, binadamu tunapotoka kwa kweli, hata maandiko ya Biblia hujayatendea haki rudi ukatubu
mkuu jaribu kutofautisha kati ya binadamu na Watanzania.
 
Haya mleta hoja.... achana na mpira fanya mambo mengine

Tuache na hobbies zetu

Mada nyingine ni za kipumbavu sana
 
Habari zenu enyi watu wa Mungu vs Wapenda soka JF. Uzi huu unagusa neno la Mungu na mambo ya Mpira ndio maana nimeuweka hapa jukwaa hili.

Kwa kweli nianze kwa kutafakarisha kidogo;

Hivi kama binadamu wote duniani tungekuwa hatuja wahi kuona mpira wa miguu kabisa tangu kuzaliwa kwetu, ikatokea siku ukapelekwa katika sayali ukakuta kuna mechi watu wanacheza mpira, Ungewaelewaje?”
.

Yamkini pengine ungewaona kama wamechanganyikiwa kwamba mibaba mikubwa inafukuza mpira kama kuku wa kienyeji halafu, na huenda waweza hata ukaukamata na kuwaambia kinachowasumbua hiki hapa. Tulieni;

Historia ya mpira wa miguu kwa ufupi;

Hiki tunachokiita mchezo wa mpira wa miguu si kitu cha zamani kama wengine wanavyofikiria. Hebu tuangalie historia fupi ya mchezo huu ndipo nitakueleza kwa nini mpira ni dhambi.

Huko zamani kile walichokuwa wanakiita mpira hakikuwa hivyo kwa sheria tulizo nazo kwa namna ya sasa. Kitu hichi kinachoitwa mpira kilianza mwaka 1863 mwezi 10, walikuwepo watu kadhaa waliotoka katika shule kadhaa uingereza na club chache zilizokuwapo hapo, wakawa wamewakilisha vikundi 11 na ndio wakakusanyika mwezi 10,1863 na kuanza kutunga sheria za kupatana za mchezo.

Hawa ndio waliosababisha kiundwe chama cha mpira ambacho kinaitwa FA (FOOTBALL ASSOCIATION) cha England mwaka huu 1863 ambao ni mwaka wa karibuni sana Baada ya Kristo.

JE; UNATAMBUA KUWA USHABIKI WA MPIRA NI KUSHABIKIA SHETANI?

Kama tulivyoona tafakari pale mwanzo, hivi wawezaje shabikia watu kufukuza mpira na ukawa na midadi na ushabiki wa juu kabisa hadi kufikia kujinyonga endapo Timu yako imefungwa pasipo misingi ya ushetani? “ Ni rahisi sana mtu kufa kwa ushabiki wa mpira wa miguu kuliko kufa kwa kumtetea Mungu wake”,

Ni rahisi sana kukesha unaangalia mpira au mapambano ya ngumi kuliko kukesha ukiswali/kusali katika mkesha'',

PIA "Ni rahisi sana kutoa ofa ya mpira kwa mashabiki kuliko kutoa futari mwezi mtukufu",

BIBLIA INASEMAJE?

Ili kuweza kujua vitu kama hivi, tunatakiwa tuangalie kanuni. MUNGU ameweka kanuni ambazo zinatuongoza kupata ufahamu mapenzi ya MUNGU kwa kila jambo.

Pale ambapo jambo halijatajwa moja kwa moja, kanuni hizi zinaweza zikatuongoza.

Yako maandiko kadha wa kadha ambayo yanaweza kutuongoza katika kujua mapenzi ya MUNGU katika mipira hii.

1) (WAKOLOSAI 3:17) “KILA MFANYALO KWA NENO AU KWA TENDO, FANYENI LOTE KWA JINA LA BWANA YESU NA KUMSHUKURU MUNGU BABA“Ni muhimu kuelewa ndani yetu tuliokoka kuna mafuta au tuna dhamiri ambayo inatufundisha kujua mema na mabaya (1PET2:26-27).Hata kama jambo hatujajifunza kwa undani juu ya jambo fulani,ndani yetu kutakuwepo roho mtakatifu akitufundisha kuwa hapa siyo na hapa ndiyo.

Sasa kila tunalolifanya kwa neno au kwa tendo, anasema tulifanye hayo yote kwa kufungua kwamaombi.sasa kutokan na mafuta ndani yetu JE TUNAWEZA KUFUNGUA MECHI YA MPIRA KWA KUSHUKURU BABA KWA MAOMBI? Utaona ndani yetu inakataa.

2.) (YOHANA 5:19) “MWANA HAWEZI KUTENDA NENO MWENYEWE ISIPOKUWA AMEMUONA BABA ANALITENDA”. (YOH 14:6-9) Hivyo hatuna budi kujiuliza kutokana na maisha ya YESU, JE INAWEZEKANA YESU AKAWA ANACHEZA MPIRA? YESU KASHIKA MPIRA, MARA BEKi FULANI KAMKATA MTAMA AU TIMU YA YESU IMEPIGWA MAGOLI 6-0? kama dhamiri inakataa kuwa YESU hawezi kufanya hvyo na sisi hatuwezi kufanya hvyo.Tunatenda neno ambalo YESU anaweza kulitenda.

3) Mashabiki wengi wa jambo hilo, vinara wa jambo hilo , JE NI MATAIFA? Kama wanaongoza ni mataifa, basi nyuma ya jambo hilo kuna mashetani (UFUNUO 18:2-3,23).

Mataifa yote yanapokuwa wanachukuliwa hivyo katika jambo hilo, ndio vinara, mashabiki, kwa namna hiyo hiyo uchawi unavyotajwa lazima tujue kuna roho za mashetani. Ukiona vinara au viongozi ndio waasherati au walevi, wavuta bangi. Hawa wanaotajwa washauri wa mambo ya kifundi katika timu hizo ndio wachawi wa timu.

Watakatifu wa kanisa la kwanza walilijua vema jambo hili na kutokana na jinsi walivyokuwa wakamilifu hawakushiriki katika michezo na walichukiwa na jamii iliyowazunguka kwasababu walionekana “washamba”.

Haya ni maelezo kuhusu watakatifu wa kanisa la kwanza:

” The Christians were charged with being unsocial and came to be hated and counted as enemies of societies, they were simple and modest in dress, strictly moral in their conduct and would not go to the games and feast “maneno haya yanapatikana katika biblia iitwayo
THOMPSON CHAIN REFERENCE BIBLE(NIV)”

MWISHO: Misingi ya ushetani pekee ndiyo inayo ufanya ushabiki wa mpira uwe na nguvu na kushangiliwa na mataifa.

Ni rahisi sana kutoa ofa ya mpira kwa mshabiki na ukashangliwa kuliko kusaidia masikini wanaoteseka na adha ya dunia hii ukasifiwa huu mwezi mtukufu”.

Ni heri mtu Yule atoae sadaka na kufuturisha wanyonge kuliko anaetumia milioni za fedha kufadhili mpira kwa dk 90 tu .. Yamkini huenda ndiyo maana juzi ile timu ilifungwa chanzo kikawa ni hiki (washabiki kumradhi)

View attachment 361495


Mungu awaongoze msiwe na jaziba kuchangia, maana Jazba ni mizizi ya dhambi!

Karibuni..

UPDATES
Kwa wale wanakumbuka kisa cha mfalume suleimani hapo utagundua ndipo mpira siyo kusudi la Mungu;

1. Ukisoma hiki kisa vizuri utagundua kile kisa cha mfalme suleiman na taranta za dhahabu 666 na zilivyopokwa na mpinga kristo, ambapo makombe ya dunia ya mpira yanaandaliwa kwa dhahabu.

2. Ukiendelea kusoma vizuri utaona kuwa mfalme Suleimani akawa kaulaani upepo, na alisema pia pamoja na utajiri wote huu ni sawa na kujilisha upepo, hilo neno upepo, lilikuwa na maana ya bure kabisa, na baada ya hapo kilitengenezwa kitu mithili ya mpira kikajazwa upepo ili kuzihilisha u-bure huo usiofaa machoni pa Mungu... HUO UPEPO ndio unaojazwa mipira hadi leo na kukimbizwa kwa kulenga magoli.

3. Kile kitufe mithili ya mpira chenye upepo, kilichezwa kwa kulenga ktk ya milingoti miwili mithili ya magoli na kushangiliwa na kerubi akiwa ndiyo mwamuzi REFA.

4. Wanafunzi wa yesu walikuwa 12, ukiondoa yule mmoja YUDA, walibaki 11 wenye Haki. Hao 11 ndio waliofungwa nira za kristo, lakini shetani hapo Kageuza, kwa kuweka wachezaji 11 katika team ya mpira, jiulize kwanini asingeweka 15? hao kumi na moja ndiyo wanaoshindana na kufungwa kwa mchezo wa kulenga ktk ya milingoti (magoli).

5. Katika mchezo shetani ndipo alipouteka ulimwengu kwa kugeuza ahadi za Mungu.

Ukisoma bibilia Mungu kasema "Nitabariki kazi ya mkono yenu" lakini hapo shetani akageuza, wacheza mpira ndiyo wanaolipwa pesa ndefu zaidi kwa mda mfupi sana.. Maanake Hapo shetani aligeuza baraka za mikono kuwa za miguu (Agano la mapinduzi); Kama vile kule bustani ya edeni nyoka alivyogeuza.

BARIKIWA!
Mpira kwa ujumla katika ulimwengu wa kiroho ni jambo limekaa kimafumbo sana na linapoteza muda kwa MTU badala ya kuutafuta uso wa Mungu wako bize na football
 
Duh! Kweli tunatofautiana kufikiri.

Hivi kweli hujui UMUHIMU wa michezo kiakili, kiafya, kimwili na kiroho?

BIBLIA imetoa mifano ya ki mafundisho kwa kutumia MICHEZO. Hii inatuonyesha UMUHIMU wa michezo; Angalia hapa chini;

"Hata mtu akishindana katika MACHEZO hapewi taji, asiposhindana kwa halali." - 2 Timotheo 2:5

Hapa chini tunaambiwa Physical training yafaa kwa afya ya mwili;

Na pia katika kumtafuta Mungu tunapaswa tuige JUHUDI + BIDII kama za wana michezo. Sasa mtu utaniambiaje michezo hasa mpira & riadha ni dhambi?!

"Kwa maana kujizoeza kupata nguvu za mwili kwafaa kidogo, lakini utauwa hufaa kwa mambo yote; yaani, unayo ahadi ya uzima wa sasa, na ya ule utakaokuwapo baadaye." - 1 Timotheo 4:8

"Je! Hamjui, ya kuwa wale WASHINDANAO kwa kupiga mbio, hupiga mbio wote, lakini apokeaye tuzo ni mmoja? Pigeni mbio NAMNA hiyo, ili mpate. Na kila ashindanaye katika michezo hujizuia katika yote; basi hao hufanya hivyo kusudi wapokee taji iharibikayo; bali sisi tupokee taji isiyoharibika." - 1 Wakorintho 9:24-25

Kitu cha msingi ni kuwa, kila jambo litendeke kwa Uzuri & Utaratibu (1 Kor. 14:40)

Mungu anajua umuhimu MICHEZO & mamshukuru kwani kujihusisha kwangu na michezo kumenijenga kitabia, kimwili & kiimani katika ujana wangu. Nimecheza mpira sana..! Na hata uwezo wa shule ukawa mkubwa tu. Mzazi wangu alituhimiza kushiriki michezo.

MWISHO: Kwa taarifa yako, Mungu alipenda michezo na alijenga tabia ya kuwatembelea wanadamu kule EDENI nyakati za jioni (Asomaye na afahamu).

Pia, alicheza MIELEKA na Yakobo usiku kule Betheli.

"Yakobo akakaa peke yake; na mtu (sio mwanadamu) mmoja akashindana naye MWELEKA hata alfajiri..." - Mwanzo 32:24
Kama ingewezekana ningegonga like hata 100, mtoa mada KICHWA CHAKE KINAPITISHA UPEPO
 
Nimekusoma! Maswali kidogo:

1. Watu wenye ndoa wengine wanajiua, je Ndoa ni ushetani?
2. Yesu hakucheza mpira, je simu, gari kompyuta yesu hakuvitumia, je kuwa navyo ni ushetani
Swali lako la kwanza na mimi nilitaka nikuulize. Asante kwa kuuliza.

Swali 2. Je ingekuwa duniani watu hawajawahi kuona tendo la ndoa (narudia, TENDO LA NDOA) likifanyika. Na ghafla Wakapelekwa sayari nyingine na kuona tendo la la ndoa likifanyika, hawatacheka sana au kushangaa sana?

Au watu wa ulimwengu huu ingekuwa hatujawahi kuabudu (kwa dini zote) halafu ghafla tupelekwe sayari nyingine tukute watu wanaimba, wanainama, wanapiga Magoti, wanalia....je tusingewashangaa na pengine kucheka sana?

Swali 3. Dhahabu ni dhambi, katika maandiko kuna sehemu inataja vipande vya Dhahabu kama sadaka, je sadaka ya Dhahabu ni dhambi?
 
Habari zenu enyi watu wa Mungu vs Wapenda soka JF. Uzi huu unagusa neno la Mungu na mambo ya Mpira ndio maana nimeuweka hapa jukwaa hili.

Kwa kweli nianze kwa kutafakarisha kidogo;

Hivi kama binadamu wote duniani tungekuwa hatuja wahi kuona mpira wa miguu kabisa tangu kuzaliwa kwetu, ikatokea siku ukapelekwa katika sayali ukakuta kuna mechi watu wanacheza mpira, Ungewaelewaje?”
.

Yamkini pengine ungewaona kama wamechanganyikiwa kwamba mibaba mikubwa inafukuza mpira kama kuku wa kienyeji halafu, na huenda waweza hata ukaukamata na kuwaambia kinachowasumbua hiki hapa. Tulieni;

Historia ya mpira wa miguu kwa ufupi;

Hiki tunachokiita mchezo wa mpira wa miguu si kitu cha zamani kama wengine wanavyofikiria. Hebu tuangalie historia fupi ya mchezo huu ndipo nitakueleza kwa nini mpira ni dhambi.

Huko zamani kile walichokuwa wanakiita mpira hakikuwa hivyo kwa sheria tulizo nazo kwa namna ya sasa. Kitu hichi kinachoitwa mpira kilianza mwaka 1863 mwezi 10, walikuwepo watu kadhaa waliotoka katika shule kadhaa uingereza na club chache zilizokuwapo hapo, wakawa wamewakilisha vikundi 11 na ndio wakakusanyika mwezi 10,1863 na kuanza kutunga sheria za kupatana za mchezo.

Hawa ndio waliosababisha kiundwe chama cha mpira ambacho kinaitwa FA (FOOTBALL ASSOCIATION) cha England mwaka huu 1863 ambao ni mwaka wa karibuni sana Baada ya Kristo.

JE; UNATAMBUA KUWA USHABIKI WA MPIRA NI KUSHABIKIA SHETANI?

Kama tulivyoona tafakari pale mwanzo, hivi wawezaje shabikia watu kufukuza mpira na ukawa na midadi na ushabiki wa juu kabisa hadi kufikia kujinyonga endapo Timu yako imefungwa pasipo misingi ya ushetani? “ Ni rahisi sana mtu kufa kwa ushabiki wa mpira wa miguu kuliko kufa kwa kumtetea Mungu wake”,

Ni rahisi sana kukesha unaangalia mpira au mapambano ya ngumi kuliko kukesha ukiswali/kusali katika mkesha'',

PIA "Ni rahisi sana kutoa ofa ya mpira kwa mashabiki kuliko kutoa futari mwezi mtukufu",

BIBLIA INASEMAJE?

Ili kuweza kujua vitu kama hivi, tunatakiwa tuangalie kanuni. MUNGU ameweka kanuni ambazo zinatuongoza kupata ufahamu mapenzi ya MUNGU kwa kila jambo.

Pale ambapo jambo halijatajwa moja kwa moja, kanuni hizi zinaweza zikatuongoza.

Yako maandiko kadha wa kadha ambayo yanaweza kutuongoza katika kujua mapenzi ya MUNGU katika mipira hii.

1) (WAKOLOSAI 3:17) “KILA MFANYALO KWA NENO AU KWA TENDO, FANYENI LOTE KWA JINA LA BWANA YESU NA KUMSHUKURU MUNGU BABA“Ni muhimu kuelewa ndani yetu tuliokoka kuna mafuta au tuna dhamiri ambayo inatufundisha kujua mema na mabaya (1PET2:26-27).Hata kama jambo hatujajifunza kwa undani juu ya jambo fulani,ndani yetu kutakuwepo roho mtakatifu akitufundisha kuwa hapa siyo na hapa ndiyo.

Sasa kila tunalolifanya kwa neno au kwa tendo, anasema tulifanye hayo yote kwa kufungua kwamaombi.sasa kutokan na mafuta ndani yetu JE TUNAWEZA KUFUNGUA MECHI YA MPIRA KWA KUSHUKURU BABA KWA MAOMBI? Utaona ndani yetu inakataa.

2.) (YOHANA 5:19) “MWANA HAWEZI KUTENDA NENO MWENYEWE ISIPOKUWA AMEMUONA BABA ANALITENDA”. (YOH 14:6-9) Hivyo hatuna budi kujiuliza kutokana na maisha ya YESU, JE INAWEZEKANA YESU AKAWA ANACHEZA MPIRA? YESU KASHIKA MPIRA, MARA BEKi FULANI KAMKATA MTAMA AU TIMU YA YESU IMEPIGWA MAGOLI 6-0? kama dhamiri inakataa kuwa YESU hawezi kufanya hvyo na sisi hatuwezi kufanya hvyo.Tunatenda neno ambalo YESU anaweza kulitenda.

3) Mashabiki wengi wa jambo hilo, vinara wa jambo hilo , JE NI MATAIFA? Kama wanaongoza ni mataifa, basi nyuma ya jambo hilo kuna mashetani (UFUNUO 18:2-3,23).

Mataifa yote yanapokuwa wanachukuliwa hivyo katika jambo hilo, ndio vinara, mashabiki, kwa namna hiyo hiyo uchawi unavyotajwa lazima tujue kuna roho za mashetani. Ukiona vinara au viongozi ndio waasherati au walevi, wavuta bangi. Hawa wanaotajwa washauri wa mambo ya kifundi katika timu hizo ndio wachawi wa timu.

Watakatifu wa kanisa la kwanza walilijua vema jambo hili na kutokana na jinsi walivyokuwa wakamilifu hawakushiriki katika michezo na walichukiwa na jamii iliyowazunguka kwasababu walionekana “washamba”.

Haya ni maelezo kuhusu watakatifu wa kanisa la kwanza:

” The Christians were charged with being unsocial and came to be hated and counted as enemies of societies, they were simple and modest in dress, strictly moral in their conduct and would not go to the games and feast “maneno haya yanapatikana katika biblia iitwayo
THOMPSON CHAIN REFERENCE BIBLE(NIV)”

MWISHO: Misingi ya ushetani pekee ndiyo inayo ufanya ushabiki wa mpira uwe na nguvu na kushangiliwa na mataifa.

Ni rahisi sana kutoa ofa ya mpira kwa mshabiki na ukashangliwa kuliko kusaidia masikini wanaoteseka na adha ya dunia hii ukasifiwa huu mwezi mtukufu”.

Ni heri mtu Yule atoae sadaka na kufuturisha wanyonge kuliko anaetumia milioni za fedha kufadhili mpira kwa dk 90 tu .. Yamkini huenda ndiyo maana juzi ile timu ilifungwa chanzo kikawa ni hiki (washabiki kumradhi)

View attachment 361495


Mungu awaongoze msiwe na jaziba kuchangia, maana Jazba ni mizizi ya dhambi!

Karibuni..

UPDATES
Kwa wale wanakumbuka kisa cha mfalume suleimani hapo utagundua ndipo mpira siyo kusudi la Mungu;

1. Ukisoma hiki kisa vizuri utagundua kile kisa cha mfalme suleiman na taranta za dhahabu 666 na zilivyopokwa na mpinga kristo, ambapo makombe ya dunia ya mpira yanaandaliwa kwa dhahabu.

2. Ukiendelea kusoma vizuri utaona kuwa mfalme Suleimani akawa kaulaani upepo, na alisema pia pamoja na utajiri wote huu ni sawa na kujilisha upepo, hilo neno upepo, lilikuwa na maana ya bure kabisa, na baada ya hapo kilitengenezwa kitu mithili ya mpira kikajazwa upepo ili kuzihilisha u-bure huo usiofaa machoni pa Mungu... HUO UPEPO ndio unaojazwa mipira hadi leo na kukimbizwa kwa kulenga magoli.

3. Kile kitufe mithili ya mpira chenye upepo, kilichezwa kwa kulenga ktk ya milingoti miwili mithili ya magoli na kushangiliwa na kerubi akiwa ndiyo mwamuzi REFA.

4. Wanafunzi wa yesu walikuwa 12, ukiondoa yule mmoja YUDA, walibaki 11 wenye Haki. Hao 11 ndio waliofungwa nira za kristo, lakini shetani hapo Kageuza, kwa kuweka wachezaji 11 katika team ya mpira, jiulize kwanini asingeweka 15? hao kumi na moja ndiyo wanaoshindana na kufungwa kwa mchezo wa kulenga ktk ya milingoti (magoli).

5. Katika mchezo shetani ndipo alipouteka ulimwengu kwa kugeuza ahadi za Mungu.

Ukisoma bibilia Mungu kasema "Nitabariki kazi ya mkono yenu" lakini hapo shetani akageuza, wacheza mpira ndiyo wanaolipwa pesa ndefu zaidi kwa mda mfupi sana.. Maanake Hapo shetani aligeuza baraka za mikono kuwa za miguu (Agano la mapinduzi); Kama vile kule bustani ya edeni nyoka alivyogeuza.

BARIKIWA!
Unaupungufu, wa kufaham, falsafa ya dini, na falsafa ya dunia..
Kwa ufup falafa ya dini, imo, ndani, ya falsafa ya dunia..
Kitu ambacho, nimekuona hukijui, na kitakusumbua sana maishan mwako, ni, namna ya kutenganisha mambo, ya dini(imani), na mambo, ya kawaida. Si, kweli, biblia inatoa mwongozo wa kila kitu, maishani, ukweli, ni, kuwa Mungu, alitupa akili, ili, yuweze kuzitumia kufanya ugunduzi wa vipaji, mbalimbali, na tafiti, mbalimbali.
Sasa kama ni, hvyo, sema bas kuwa hata elimu, tunayosoma ni, dhambi maana biblia haikusema tusome
 
Back
Top Bottom