Uchaguzi 2020 Hoja ya CCM kujaza watu kwa kutumia wasanii

Uchaguzi 2020 Hoja ya CCM kujaza watu kwa kutumia wasanii

Watu wanampenda Rais kweli kweli
IMG-20200907-WA0198.jpg
 
Napishana na wananchi toka ccm kirumba wanasimuliana kuwa DIAMOND anaimba & kucheza sana....nimesikitika sana
 
saivi tunaongea lugha moja had kufikia Octoba tutakuwa ndani ya shuka moja
1599494039177.png
 
Na hawa wafundisheni jinsi ya kutukana ili nyumbu wapenda matusi wajitokeze kuwasikiliza.
Sio kwakudhalilika huku!!View attachment 1561783
Hao wachache ni wa kwetu na ni wapiga kura genuine.

Sasa nyie mnajikoroga wenyewe kwa kujidanganya na nyomi ya wasanii wa singeli, nyomi ya kubebwa kwenye lori sio wapiga kura wa eneo husika, nyomi la wanafunzi wa shule msingi linakufool maana hao watoto hawapigi kura.

Inshort CCM mnakwepa ngumi kwa kufumba macho kumbe zinawaingia 🤣🤣
 
Hao wachache ni wa kwetu na ni wapiga kura genuine.

Sasa nyie mnajikoroga wenyewe kwa kujidanganya na nyomi ya wasanii wa singeli, nyomi ya kubebwa kwenye lori sio wapiga kura wa eneo husika, nyomi wanafunzi wa shule msingi inakufool maana hao watoto hawapigi kura nyie.

Inshort CCM mnakwepa ngumi kwa mufumba macho kumbe zinawaingia [emoji1787][emoji1787]
Mwisho wa mchezo mtatoa sababu maarufu "tumeibiwa kura"
 
Hahaaa...... Jinga kweli ww.. Unaenda kumsikiliza mandege?
Lissu hatukani mtu bali anamkemea ibilisi shetani ccm na magufuli......
Ushetani waliofanyia hii nchibhaupaswi kujyamaziwa lazima ukemewe kwa nguvu zote.....
Ndio maana Tundu Lissu anaenda kua rais km hutaki meza wembe


1599508651041.png
 
Nyie majitu mashamba sn.... Kwa hiyo Lissu hajawahi kupanda ndege alafu hiyo kwani ndo zile ndege za magufuli za kifisadi zilizogubikwa na usiri mkubwa?

shida sio kupanda ndege shida ni pumba anazo ongea
 
We pumbavu kweli, wewe ni nani hautaki ndege wakati mbunge wako heche alilia lia bungeni kuwa nchi haina ndege.
Majinga kweli nyie maccm..... Ndo serikali nzima mnaenda kupokea ndege kweli huu ushamba na ulimbukeni nani kauasisi... .

Maccm hamna tofauti na Mafarisayo wa kipindi cha Yesu waliokua wanahubiriwa habari njema lkn hawakuelewa kwa makusudi.... Halikadharika nyie misukule ya lumumba hamuwezi kukuelewa Heche na ndio maana hamumuelewi Lissu kwa sababu mna akili ndogo sn mnawaza buku 7
 
Labda raisi wa mazuzu wanaojitia vipof wakat wana macho yao
Tundu Lissu ndio rais na ndie mwenye uwezo wa kupasua jiwe dikteta.......

Hatutaki uharibifu zaidi wa uchumi wetu inatosha na Lissu anatutosha
 
shida sio kupanda ndege shida ni pumba anazo ongea
Kuna mtu mmoja mkurupukaji na mropokaji wa taifa ndo anaongeaga pumba.....

Tundu Lissu is very composed na hilo jitu lenu haliwezi kushindana hoja na Mh Lissu.....

Ni mbingu na ardhi
 
Kuna mtu mmoja mkurupukaji na mropokaji wa taifa ndo anaongeaga pumba.....

Tundu Lissu is very composed na hilo jitu lenu haliwezi kushindana hoja na Mh Lissu.....

Ni mbingu na ardhi

we ushawahi ona phd holder ana mda na mtu mwenye mdomo mchafu? yaani ingekua corona imekuja kipindi lissu kapewa nchi sjui tungekua wap! let him fcuk off
 
Hahaaa...... Jinga kweli ww.. Unaenda kusikiliza mandege?
Lissu hatukani mtu bali anamkemea ibilisi shetani ccm na magufuli......
Ushetani waliofanyia hii nchi haupaswi kunyamaziwa lazima ukemewe kwa nguvu zote na watz wote lkn tumepata kiongozi imara wa kutusemea.....

Ndio maana Tundu Lissu anaenda kua rais km hutaki meza wembe
Rais wa Mtandaoni.
 
Back
Top Bottom