Mchimwachimego
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 358
- 271
Kwanza niwaulize hao wanaouzulia mikutano yenu wanatokea umbali gani? Kama wanatokea nje ya miji au katikati ya miji wanatumia nauli zao au zenu?
Mna uhakika gani kama wamejiandikisha au lah!, mnajuaje kama wote wamekuja kwa lengo la kuwapenda maana watanzania ni kawaida yao kuhudhuria kila jambo baya au zuri.
Niwafaamishe tu kuwa CCM ina wanachama wanaotambulika kindakindaki, CCM damu kila kitongoji, kijiji, kata, tarafa, wilaya, mkoa, kanda na Taifa wapatao Milioni 18 wakati huo huo waliojiandikisha wapo Milioni29.
Mnaweza kuona hesabu rahisi kabisa hivyo sisi tunawawezesha wanachama wetu kufika kwenye kampeni kwa wakati na tunaobeba tunajua wazi ni wanachama hai na wana kadi na kama hamuamini subirieni 28/10/2020.
Hhamjiulizi kwanini watu wanavaa sare na wanakubali kubebwa. Zimwi likujualo halikuli likakumaliza hivyo msije kujidanganya ni umaskini wenu ndio unaowafanya mshindwe kusomba wapiga kura na ingekuwa inaruhusiwa kuwabeba wanachama siku ya kupiga kura ndio mngezimia zaidi.
Chama chochote kinachojitambua kamwe hakiwezi kuacha kuwajali wanachama wake wanaowaweka madarakani, nasisitiza hapa tutawabeba wanachama wetu hai nchi nzima hatuwezi kuwasikiliza watu walioishiwa hoja.
Huwezi kujisifia kuwa watu wanakupenda na huku unashindwa kuwapa usafiri wa kufika mikutanoni. Chama chochote mtaji wake ni wanachama sio wahuni au watu wasiotabilika kama mnaamini siasa ni imani basi sisi tuna wanaotuamini Milioni 18 na wana kadi na watampigia Rais kura na tutashinda kwa kishindo, nyie endeleeni kusema tunabeba watu kwenye mikutano ilihali mnashindwa kujua ndio wanachama kindakindaki na ndio wapiga kura wa uhakika.
Mna uhakika gani kama wamejiandikisha au lah!, mnajuaje kama wote wamekuja kwa lengo la kuwapenda maana watanzania ni kawaida yao kuhudhuria kila jambo baya au zuri.
Niwafaamishe tu kuwa CCM ina wanachama wanaotambulika kindakindaki, CCM damu kila kitongoji, kijiji, kata, tarafa, wilaya, mkoa, kanda na Taifa wapatao Milioni 18 wakati huo huo waliojiandikisha wapo Milioni29.
Mnaweza kuona hesabu rahisi kabisa hivyo sisi tunawawezesha wanachama wetu kufika kwenye kampeni kwa wakati na tunaobeba tunajua wazi ni wanachama hai na wana kadi na kama hamuamini subirieni 28/10/2020.
Hhamjiulizi kwanini watu wanavaa sare na wanakubali kubebwa. Zimwi likujualo halikuli likakumaliza hivyo msije kujidanganya ni umaskini wenu ndio unaowafanya mshindwe kusomba wapiga kura na ingekuwa inaruhusiwa kuwabeba wanachama siku ya kupiga kura ndio mngezimia zaidi.
Chama chochote kinachojitambua kamwe hakiwezi kuacha kuwajali wanachama wake wanaowaweka madarakani, nasisitiza hapa tutawabeba wanachama wetu hai nchi nzima hatuwezi kuwasikiliza watu walioishiwa hoja.
Huwezi kujisifia kuwa watu wanakupenda na huku unashindwa kuwapa usafiri wa kufika mikutanoni. Chama chochote mtaji wake ni wanachama sio wahuni au watu wasiotabilika kama mnaamini siasa ni imani basi sisi tuna wanaotuamini Milioni 18 na wana kadi na watampigia Rais kura na tutashinda kwa kishindo, nyie endeleeni kusema tunabeba watu kwenye mikutano ilihali mnashindwa kujua ndio wanachama kindakindaki na ndio wapiga kura wa uhakika.