Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,230
- 6,653
Pasco Uzalendo haulazimishwi bali ni mtu mwenyewe kujisikia kuwa nao ndani ya nafsi yake.
Suala la kuficha au kuweka wazi vifo vya covid-19 liko chini ya Wizara ya Afya. Wakiwa wa kweli hutasikia manung'uniko. Mf: Watu walipiga kelele humu kuwa Maiti nyingi wameonekana wakizikwa usiku na Watumishi wa Wizara ya Afya. Lkn wako waliopinga kwa nguvu kwa lengo la kuitetea Serikali. Sasa Serikali kupitia Wizara ya Afya imethibitisha hilo na kulitolea tamko.
Hivi kukitokea tukio may be la ujambazi na kwa bahati mbaya wahusika wote Polisi walifanikiwa kuwadhibiti na kuwakamata na kuondoka nao bila hata michubuko na kuna watu waloshuhudia. Lkn baadae kwenye vyombo vya habari kupitia kwa msemaji wa Jeshi la Polisi ukasikia kuwa Polisi wamefanikiwa kuwaua majambazi wale baada ya majibizano ya risasi kwa muda kadhaa. Wale watu walioshuhudia wakikamatwa wakisema hapakuwa na majibizano yeyote ya risasi na kama wameuawa basi ni Polisi walifanya hivyo. Hawa watu tuseme siyo Wazalendo?? Je Polisi hawajadanganya??
Wanaopaswa kutoa taarifa watoe za kweli bila kuongeza au kupunguza kwa malengo fulani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Suala la kuficha au kuweka wazi vifo vya covid-19 liko chini ya Wizara ya Afya. Wakiwa wa kweli hutasikia manung'uniko. Mf: Watu walipiga kelele humu kuwa Maiti nyingi wameonekana wakizikwa usiku na Watumishi wa Wizara ya Afya. Lkn wako waliopinga kwa nguvu kwa lengo la kuitetea Serikali. Sasa Serikali kupitia Wizara ya Afya imethibitisha hilo na kulitolea tamko.
Hivi kukitokea tukio may be la ujambazi na kwa bahati mbaya wahusika wote Polisi walifanikiwa kuwadhibiti na kuwakamata na kuondoka nao bila hata michubuko na kuna watu waloshuhudia. Lkn baadae kwenye vyombo vya habari kupitia kwa msemaji wa Jeshi la Polisi ukasikia kuwa Polisi wamefanikiwa kuwaua majambazi wale baada ya majibizano ya risasi kwa muda kadhaa. Wale watu walioshuhudia wakikamatwa wakisema hapakuwa na majibizano yeyote ya risasi na kama wameuawa basi ni Polisi walifanya hivyo. Hawa watu tuseme siyo Wazalendo?? Je Polisi hawajadanganya??
Wanaopaswa kutoa taarifa watoe za kweli bila kuongeza au kupunguza kwa malengo fulani.
Sent using Jamii Forums mobile app