Hoja ya maslahi ya watumishi wa Umma inavyopotosha na Wapinzani

Hakika wapinzani hawana hoja hao wanabwabwaja tu
 
Hivi wapinzani wanaweza kupaisha na wapiga kura wasiozidi milioni 1? Wapiga kura walio wengi hawajui hata maana ya daraja( wanadhani ni lile la mkapa/Dar), annual increament n.k
 
Keep kubwa ya Wafanyakazi Ni mafao

Watu hawalipwi, wanazungushwa miezi na miezi. Mifuko haina Pesa

Nasikia wamechukua Pesa na kupeleka kwenye Kampeni.

Wafanyakazi wanajua hujuma za CCM
Njoo na hoja zlizo waz, huko kuckia ckia kla mtu anasema lake.
Mm mwenyewe nmeskia eti lissu mtoto cio rizki 😄😄
 
Ukiona hvo ujue watu wameona mnavofanganywa na wapinzani nanyi mnakubali
 
Jidanganye tu
 
'1. Malipo ya malimbikizo ya mishahara.

Mpaka Novemba, 2020 Serikali imelipa Tsh. Billioni 137 ....'
Hivi tupo mwezi gani vile?
 
Del
D
Delete ccm Oct 28
 
1. Malipo ya malimbikizo ya mishahara.

Mpaka Novemba, 2020 Serikali imelipa Tsh. Billioni 137 kwa watumishi 76,332. Kati ya watumishi hao walimu ni 41,385 waliolipwa Tsh. Bil. 45.5 na watumishi wasio walimu ni 34, 947 waliolipwa Tsh. 91.6.
Mkuu November 2020 imeshafika?
 
Mwenyewe JPM kasema hasinge obgeza mshshara akaacha kujenga reli sas hizo ngonjera unazogani unamsemeaje alambayo mwenyew kaa admit kutoongeza. Rubish
 
Wewe sio mtumishi wa serikali hii dhalimu....unachofanya ni kujitoa tu ufahamu!
Haya weka na namba yako ya simu kenge wenzio wakupe teuzi!
UMENIKERA...
Uwe unaongea kwa fact kama huna data ni Bora ukae kimya sio kupinga makala ya mtu aliyefanya utafiti.
 
Siamini kama umeandika ukiwa na akili zako timamu mkuu kuna mambo machache aidha umepiga Kitwanga zako za kutosha ama upo hospitali malaria ipo juu sana. Ni hayo mkuu
Ni vyema ukatoa kilichopo kwenye ubongo wako bila kukashifu makala ya mwenzako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…