Hoja ya maslahi ya watumishi wa Umma inavyopotosha na Wapinzani

Hoja ya maslahi ya watumishi wa Umma inavyopotosha na Wapinzani

Jinsi mnavyoongelea haki za watumishi! Mnazidi kuwaongezea machungu watumishi na kupunguza kura kwa mgombea wenu.

Kukaa kimya kwa sasa ni bora kuliko kupotosha. Ukizingatia zaidi ya 75% ya watumishi wa serikali ni vijana, wazazi na wanategemewa na wengi.

Chama chetu kwa hili la watumishi hawana pa kujificha. Tuendelee na sera zingine nzuri. I stand to be corrected.
 
Ni dhahiri serikali ya awamu ya tano imefanya kazi kubwa, Hongera mtoa mada kwakua namba haidanganyi ndio maana utaona kebehi, dhihaki na matusi kwa wapinzani, Lakini nikumbushie nukuu moja ya Rais Magufuli alisema "UKIONA WAPINZANI WANAKUSHANGILIA RUDI NYUMA UANGALIE UMEKOSEA WAPI, UKIONA WANAKUNYOOSHEA VIDOLE UJUE UMEWAPIGA" na hapa wamepigwa kwa hoja na kama ni matusi tayari kila siku viongozi wenu wasio na maadili wanatukana hivyo niseme kwa kumalizia HAWANA JIPYA.
 
Jinsi mnavyoongelea haki za watumishi! Mnazidi kuwaongezea machungu watumishi na kupunguza kura kwa mgombea wenu.

Kukaa kimya kwa sasa ni bora kuliko kupotosha. Ukizingatia zaidi ya 75% ya watumishi wa serikali ni vijana, wazazi na wanategemewa na wengi.

Chama chetu kwa hili la watumishi hawana pa kujificha. Tuendelee na sera zingine nzuri. I stand to be corrected.
Huyu jamaa muongo muongo sana, CCM itashinda vizuri ila si kwa kura za watumishi haswa wale wa chini kama walimu, manesi nk
 
Jinsi mnavyoongelea haki za watumishi! Mnazidi kuwaongezea machungu watumishi na kupunguza kura kwa mgombea wenu.

Kukaa kimya kwa sasa ni bora kuliko kupotosha. Ukizingatia zaidi ya 75% ya watumishi wa serikali ni vijana, wazazi na wanategemewa na wengi.

Chama chetu kwa hili la watumishi hawana pa kujificha. Tuendelee na sera zingine nzuri. I stand to be corrected.
Hujui chochote kuhusu takwimu za watumishi wa UMMA, huwezi ukatuambia watumishi wengi wao ni vijana
 
Ndugu yangu ni mfanyakazi serikalini na bado anaishi kwa mshahara wa Kikwete,maboresho gani ambayo Mzee magufuli ameayafanya kuhusu maslahi ya wafanyakazi?
 
Hivi wabunge nao mafao yao ni yale yale ya 2015? Askari je?
Watumishi chukueni hatua stahiki dhidi ya hatima za maisha ya kiuchumi. Kulalamika 24/7 sio suluhisho kabisa ukiona kazi unayofanya inakudhalilisha jiongeze iache kama vipi.
Mtu hata angejenga barabara hadi ya kuingia kwenye nyumba ya kila mwananci haitoshi! Mtumishi wa umma asiyelima, hafugi, hana biashara vitu vingine hatavifaidi kama tegemeo lake ambalo ni mshahara ni duni.

Watumishi wengi ni kima cha kati nyongeza zao za mwaka si kubwa, Inakuwaje zisiwepi miaka 5 halafu umshawishi unajenga nchi akuelewe?
 
Na Bwanku M Bwanku

Hekaheka na pilika za kampeni zinaendelea kutimua vumbi kwenye maeneo mbalimbali ya nchi kwa wagombea wa Urais, wabunge na madiwani kunadi Sera na Ilani zao wanazoenda kuzitekeleza kwa miaka mitano ijayo kama wananchi wakiwapa ridhaa yao.

Kwa bahati nzuri sana nimeendelea kufuatilia kwa kila jambo linaloendelea kwenye kampeni hizi na leo kwa uchache kidogo nitazungumzia kwa uchache tabia ya upotoshaji inayotumiwa na kuota mabawa kwa baadhi ya wagombea wa vyama mbalimbali.

Ukiachana na baadhi ya wagombea wa vyama vya upinzani kuwakashfu kwa kutweza utu na heshima ya watumishi wetu wa umma wote wanaofanya kazi kubwa usiku na mchana kwa kuwaita watu waliokotwa majalalani lakini zaidi nimesikia mara kadhaa wagombea haohao wa vyama vya upinzani wakipotosha kuhusu maslahi ya watumishi wa umma na mambo mbalimbali yanayowahusu watumishi wetu.

Nimewasikia wakipotosha waziwazi kuhusu hoja ya maslahi kwa watumishi wa umma bila hata ya kuogopa kama maneno yao yanaweza kuichonganisha Serikali, jamii na watumishi wetu wanaofanya kazi kubwa sana. Sasa njia ya muongo ni fupi na wala hakawii kuumbuka.

Kimsingi Serikali ya awamu ya 5 chini ya Dkt. John Pombe Magufuli imeshughulikia maslahi ya watumishi wa umma kwa kiasi kikubwa sana tangu iingie madarakani Novemba 2015 hadi sasa.

Zifuatazo ni hatua mbalimbali na chache tu kati ya nyingi zilizochukuliwa na Serikali ya awamu ya 5 kushughulikia changamoto na maslahi ya watumishi wa umma wote nchini. Nayasema haya ili kuondoa huu upotoshaji wa wachache wasiolitakia mema Taifa letu. Twende pamoja.

1. Malipo ya malimbikizo ya mishahara.

Mpaka Novemba, 2020 Serikali imelipa Tsh. Billioni 137 kwa watumishi 76,332. Kati ya watumishi hao walimu ni 41,385 waliolipwa Tsh. Bil. 45.5 na watumishi wasio walimu ni 34, 947 waliolipwa Tsh. 91.6. Haya ni malimbikizo yaliyokuwa kero kwa watumishi kwa miaka na miaka. Halafu mtu anakuja kupotosha kuhusu maslahi ya watumishi hapa. Hapana! tutaongea ukweli.

Hiki ni kiwango cha juu kabisa cha malipo ya malimbikizo kufanyika kwa kipindi cha miaka mitano katika historia ya nchi yetu.

2. Watumishi kupandishwa vyeo na madaraja.

Serikali ya awamu ya tano hadi August, 2020 imewapandisha madaraja na vyeo watumishi wapatao 246,637. Kati ya watumishi hao, walimu 161,655 walipandishwa vyeo na kulipwa Tsh. Billioni 33.28, watumishi wasio walimu ni 91,982 waliolipwa Tsh. 27.47.

Serikali yoyote duniani ni lazima itambue watumishi wake, na kuwathamini kwani ndio nyenzo na kichocheo cha maendeleo katika nchi. Serikali imekusudia kuendelea kupandisha vyeo watumishi wake watakaokidhi vigezo kama inavyohitajika zaidi.

3. Nyongeza ya mwaka ya mshahara (Annual Increment).

Baada ya zoezi la uhakiki wa watumishi kukamilika Serikali ilitoa nyongeza ya mwaka ya mshahara kwa watumishi wa umma 505,985 kwa mujibu wa utaratibu. Jumla ya Tsh. bilioni 72.8 ziliongezeka, kati ya kiasi hicho Tsh. 37.2 zililipwa kwa walimu 270,878 na Tsh. bilioni 35.7 zililipwa kwa watumishi wasio walimu.

4. Ongezeko la mishahara kwa kiwango kisichotozwa kodi.

Pamoja na kupandisha vyeo watumishi wa Umma, kulipa malimbikizo yaliyorithiwa kutoka awamu ya nne, kutoa nyongeza ya mishahara na ajira vilevile Serikali ya awamu ya 5 imepandisha kiwango cha mshahara usiotozwa kodi.

Hatua hiyo imeongeza imeongeza pato halisi la mshahara (take home) kwa wastani wa Tsh. 100,000/= kwa kila mfanyakazi wa umma na sekta binafsi. Kwa kipindi cha mwezi July, 2020 hadi June, 2021 Serikali itatumia Tsh. billioni 517 kama ongezeko la pato halisi kwa watumishi wa umma. Hatua hii imeanza kutekelezwa kuanzia mwezi July, 2020. Halafu mtu aseme tofauti kwa maslahi ya watumishi wa umma.

5. Ajira mpya.

Serikali zote duniani haziwezi kuajiri watu wake wote peke yake isipokuwa ni lazima iwezesha na kuweka mazingira mazuri ya watu kuajiriwa na kujiajiri pia. Serikali ya awamu ya 5 imezalisha ajira nyingi kwa kuwezesha sekta binafsi kuajiri lakini pia Serikali yenyewe kuajiri jumla ya vijana 66,178. Jumla ya Tsh. billioni 54.9 zimeongezeka kila mwezi katika sekta ya ajira. Hapo unazungumza watumishi zaidi ya elfu 14 kwenye sekta ya afya, sekta ya ujenzi wa miradi ya kimkakati ambayo nayo imezalisha ajira nyingi sana. Kulipa madai yasiyo ya mishahara na kutoa mikopo isiyo na riba kwa watumishi wa umma.

Hadi kufikia Agost 2020, Serikali ya awamu ya tano imelipa madai ya watumishi yasiyo ya mishahara kiasi cha Tsh. billioni 358.1. Malipo hayo yamefanyika baada ya kuhakikiwa na kuondolewa malipo bandia yaliyokuwa yameghushiwa tu na wajanja.

Aidha, Serikali ya awamu ya 5 imefanikiwa kutoa mikopo isiyo na riba kwa watumishi wa umma. Jumla ya Tsh. billioni 54.8 zimetumika kwa ajili hiyo hadi sasa. Mambo yote haya yamefanyika na serikali kwa kutambua wajibu wake kwa watumishi wa umma na wa sekta binafsi.

7. Kulipa mishahara ya watumishi wa umma mapema na kwa wakati.

Leo kutoka kwenye kero ya watumishi kucheleweshewa mishaharo yao sasa watumishi wanateleza tu. Yani kabla ya mwezi haujaisha tarehe za mapema kabisa kuanzia Oktoba 23-27 mshahara unakua umeingia. Nani huyo anananga kazi kubwa ya kuboresha maslahi ya watumishi umma iliyofanyika?

8. Kudhibiti mfumuko wa bei na utulivu wa thamani ya shilingi ya Tanzania ili mshahara wa Mtumishi uendelee kuwa na nguvu.

Hili ni eneo ambalo Serikali ya awamu ya 5 imejitahidi sana kwa kuhakikisha hapawi na mfumuko wa bei ya bidhaa na huduma kwa kuendelea kubaki kuwa ndani ya wigo wa tarakimu 1 kwa wastani wa asilimia 4.4 toka mwaka 2016 hadi sasa na nguvu ya hela yenyewe hata ikiwa mia 1. Hii ni katika kuhakikisha hela anayopata mtumishi kwenye mshahara wake inaendelea kuwa na nguvu na imara zaidi. Sasa hawa wanaopotosha haya akina nani? Shubash!

#MITANO TENA.
Huelewi lolote juu ya hizi nyongeza zinamaanisha nini hasa? Consisely nonsense
 
Sisi ndio watumishi wenyewe, tunasema kwamba kuanzia 2015 hakuna annual icrement, ongezeko la mshahara na hata kupanda madaraja ni shida, watu wana zaidi ya miaka 7 hakuna kupanda madaraja. Ajira zenyewe shida, kuna wakati serikali ilisema haiajiri walimu wa arts, juzi rais kasema wanafunzi wachague course ambazo watajiajiri kwani hakuna ajira. Kwa hoja za wafanyakazi hutaweza kutetea chochote , zaidi ni kutafuta aibu.
Na Bwanku M Bwanku

Hekaheka na pilika za kampeni zinaendelea kutimua vumbi kwenye maeneo mbalimbali ya nchi kwa wagombea wa Urais, wabunge na madiwani kunadi Sera na Ilani zao wanazoenda kuzitekeleza kwa miaka mitano ijayo kama wananchi wakiwapa ridhaa yao.

Kwa bahati nzuri sana nimeendelea kufuatilia kwa kila jambo linaloendelea kwenye kampeni hizi na leo kwa uchache kidogo nitazungumzia kwa uchache tabia ya upotoshaji inayotumiwa na kuota mabawa kwa baadhi ya wagombea wa vyama mbalimbali.

Ukiachana na baadhi ya wagombea wa vyama vya upinzani kuwakashfu kwa kutweza utu na heshima ya watumishi wetu wa umma wote wanaofanya kazi kubwa usiku na mchana kwa kuwaita watu waliokotwa majalalani lakini zaidi nimesikia mara kadhaa wagombea haohao wa vyama vya upinzani wakipotosha kuhusu maslahi ya watumishi wa umma na mambo mbalimbali yanayowahusu watumishi wetu.

Nimewasikia wakipotosha waziwazi kuhusu hoja ya maslahi kwa watumishi wa umma bila hata ya kuogopa kama maneno yao yanaweza kuichonganisha Serikali, jamii na watumishi wetu wanaofanya kazi kubwa sana. Sasa njia ya muongo ni fupi na wala hakawii kuumbuka.

Kimsingi Serikali ya awamu ya 5 chini ya Dkt. John Pombe Magufuli imeshughulikia maslahi ya watumishi wa umma kwa kiasi kikubwa sana tangu iingie madarakani Novemba 2015 hadi sasa.

Zifuatazo ni hatua mbalimbali na chache tu kati ya nyingi zilizochukuliwa na Serikali ya awamu ya 5 kushughulikia changamoto na maslahi ya watumishi wa umma wote nchini. Nayasema haya ili kuondoa huu upotoshaji wa wachache wasiolitakia mema Taifa letu. Twende pamoja.

1. Malipo ya malimbikizo ya mishahara.

Mpaka Novemba, 2020 Serikali imelipa Tsh. Billioni 137 kwa watumishi 76,332. Kati ya watumishi hao walimu ni 41,385 waliolipwa Tsh. Bil. 45.5 na watumishi wasio walimu ni 34, 947 waliolipwa Tsh. 91.6. Haya ni malimbikizo yaliyokuwa kero kwa watumishi kwa miaka na miaka. Halafu mtu anakuja kupotosha kuhusu maslahi ya watumishi hapa. Hapana! tutaongea ukweli.

Hiki ni kiwango cha juu kabisa cha malipo ya malimbikizo kufanyika kwa kipindi cha miaka mitano katika historia ya nchi yetu.

2. Watumishi kupandishwa vyeo na madaraja.

Serikali ya awamu ya tano hadi August, 2020 imewapandisha madaraja na vyeo watumishi wapatao 246,637. Kati ya watumishi hao, walimu 161,655 walipandishwa vyeo na kulipwa Tsh. Billioni 33.28, watumishi wasio walimu ni 91,982 waliolipwa Tsh. 27.47.

Serikali yoyote duniani ni lazima itambue watumishi wake, na kuwathamini kwani ndio nyenzo na kichocheo cha maendeleo katika nchi. Serikali imekusudia kuendelea kupandisha vyeo watumishi wake watakaokidhi vigezo kama inavyohitajika zaidi.

3. Nyongeza ya mwaka ya mshahara (Annual Increment).

Baada ya zoezi la uhakiki wa watumishi kukamilika Serikali ilitoa nyongeza ya mwaka ya mshahara kwa watumishi wa umma 505,985 kwa mujibu wa utaratibu. Jumla ya Tsh. bilioni 72.8 ziliongezeka, kati ya kiasi hicho Tsh. 37.2 zililipwa kwa walimu 270,878 na Tsh. bilioni 35.7 zililipwa kwa watumishi wasio walimu.

4. Ongezeko la mishahara kwa kiwango kisichotozwa kodi.

Pamoja na kupandisha vyeo watumishi wa Umma, kulipa malimbikizo yaliyorithiwa kutoka awamu ya nne, kutoa nyongeza ya mishahara na ajira vilevile Serikali ya awamu ya 5 imepandisha kiwango cha mshahara usiotozwa kodi.

Hatua hiyo imeongeza imeongeza pato halisi la mshahara (take home) kwa wastani wa Tsh. 100,000/= kwa kila mfanyakazi wa umma na sekta binafsi. Kwa kipindi cha mwezi July, 2020 hadi June, 2021 Serikali itatumia Tsh. billioni 517 kama ongezeko la pato halisi kwa watumishi wa umma. Hatua hii imeanza kutekelezwa kuanzia mwezi July, 2020. Halafu mtu aseme tofauti kwa maslahi ya watumishi wa umma.

5. Ajira mpya.

Serikali zote duniani haziwezi kuajiri watu wake wote peke yake isipokuwa ni lazima iwezesha na kuweka mazingira mazuri ya watu kuajiriwa na kujiajiri pia. Serikali ya awamu ya 5 imezalisha ajira nyingi kwa kuwezesha sekta binafsi kuajiri lakini pia Serikali yenyewe kuajiri jumla ya vijana 66,178. Jumla ya Tsh. billioni 54.9 zimeongezeka kila mwezi katika sekta ya ajira. Hapo unazungumza watumishi zaidi ya elfu 14 kwenye sekta ya afya, sekta ya ujenzi wa miradi ya kimkakati ambayo nayo imezalisha ajira nyingi sana. Kulipa madai yasiyo ya mishahara na kutoa mikopo isiyo na riba kwa watumishi wa umma.

Hadi kufikia Agost 2020, Serikali ya awamu ya tano imelipa madai ya watumishi yasiyo ya mishahara kiasi cha Tsh. billioni 358.1. Malipo hayo yamefanyika baada ya kuhakikiwa na kuondolewa malipo bandia yaliyokuwa yameghushiwa tu na wajanja.

Aidha, Serikali ya awamu ya 5 imefanikiwa kutoa mikopo isiyo na riba kwa watumishi wa umma. Jumla ya Tsh. billioni 54.8 zimetumika kwa ajili hiyo hadi sasa. Mambo yote haya yamefanyika na serikali kwa kutambua wajibu wake kwa watumishi wa umma na wa sekta binafsi.

7. Kulipa mishahara ya watumishi wa umma mapema na kwa wakati.

Leo kutoka kwenye kero ya watumishi kucheleweshewa mishaharo yao sasa watumishi wanateleza tu. Yani kabla ya mwezi haujaisha tarehe za mapema kabisa kuanzia Oktoba 23-27 mshahara unakua umeingia. Nani huyo anananga kazi kubwa ya kuboresha maslahi ya watumishi umma iliyofanyika?

8. Kudhibiti mfumuko wa bei na utulivu wa thamani ya shilingi ya Tanzania ili mshahara wa Mtumishi uendelee kuwa na nguvu.

Hili ni eneo ambalo Serikali ya awamu ya 5 imejitahidi sana kwa kuhakikisha hapawi na mfumuko wa bei ya bidhaa na huduma kwa kuendelea kubaki kuwa ndani ya wigo wa tarakimu 1 kwa wastani wa asilimia 4.4 toka mwaka 2016 hadi sasa na nguvu ya hela yenyewe hata ikiwa mia 1. Hii ni katika kuhakikisha hela anayopata mtumishi kwenye mshahara wake inaendelea kuwa na nguvu na imara zaidi. Sasa hawa wanaopotosha haya akina nani? Shubash!

#MITANO TENA.
 
Hivi wewe uliepost hii article ambayo kila siku naiyona una akili zako nzuri kweli? Sisi watumishi tunajua alichotufanyia Huyo shetani wenu mwenye roho mbaya utafikiri anauza sum.Umeandika uharo kuja kuaminisha watu huo uoumbavu ,watumishi tushakubaliana na ndugu zetu kura zetu hapati.
Na walishasema kura za watumishi haziwaongezei kitu sasa sijui kwa nini wanawashwa washwa namna hii. Very stupid indeed!
 
Na Bwanku M Bwanku

Hekaheka na pilika za kampeni zinaendelea kutimua vumbi kwenye maeneo mbalimbali ya nchi kwa wagombea wa Urais, wabunge na madiwani kunadi Sera na Ilani zao wanazoenda kuzitekeleza kwa miaka mitano ijayo kama wananchi wakiwapa ridhaa yao.

Kwa bahati nzuri sana nimeendelea kufuatilia kwa kila jambo linaloendelea kwenye kampeni hizi na leo kwa uchache kidogo nitazungumzia kwa uchache tabia ya upotoshaji inayotumiwa na kuota mabawa kwa baadhi ya wagombea wa vyama mbalimbali.

Ukiachana na baadhi ya wagombea wa vyama vya upinzani kuwakashfu kwa kutweza utu na heshima ya watumishi wetu wa umma wote wanaofanya kazi kubwa usiku na mchana kwa kuwaita watu waliokotwa majalalani lakini zaidi nimesikia mara kadhaa wagombea haohao wa vyama vya upinzani wakipotosha kuhusu maslahi ya watumishi wa umma na mambo mbalimbali yanayowahusu watumishi wetu.

Nimewasikia wakipotosha waziwazi kuhusu hoja ya maslahi kwa watumishi wa umma bila hata ya kuogopa kama maneno yao yanaweza kuichonganisha Serikali, jamii na watumishi wetu wanaofanya kazi kubwa sana. Sasa njia ya muongo ni fupi na wala hakawii kuumbuka.

Kimsingi Serikali ya awamu ya 5 chini ya Dkt. John Pombe Magufuli imeshughulikia maslahi ya watumishi wa umma kwa kiasi kikubwa sana tangu iingie madarakani Novemba 2015 hadi sasa.

Zifuatazo ni hatua mbalimbali na chache tu kati ya nyingi zilizochukuliwa na Serikali ya awamu ya 5 kushughulikia changamoto na maslahi ya watumishi wa umma wote nchini. Nayasema haya ili kuondoa huu upotoshaji wa wachache wasiolitakia mema Taifa letu. Twende pamoja.

1. Malipo ya malimbikizo ya mishahara.

Mpaka Novemba, 2020 Serikali imelipa Tsh. Billioni 137 kwa watumishi 76,332. Kati ya watumishi hao walimu ni 41,385 waliolipwa Tsh. Bil. 45.5 na watumishi wasio walimu ni 34, 947 waliolipwa Tsh. 91.6. Haya ni malimbikizo yaliyokuwa kero kwa watumishi kwa miaka na miaka. Halafu mtu anakuja kupotosha kuhusu maslahi ya watumishi hapa. Hapana! tutaongea ukweli.

Hiki ni kiwango cha juu kabisa cha malipo ya malimbikizo kufanyika kwa kipindi cha miaka mitano katika historia ya nchi yetu.

2. Watumishi kupandishwa vyeo na madaraja.

Serikali ya awamu ya tano hadi August, 2020 imewapandisha madaraja na vyeo watumishi wapatao 246,637. Kati ya watumishi hao, walimu 161,655 walipandishwa vyeo na kulipwa Tsh. Billioni 33.28, watumishi wasio walimu ni 91,982 waliolipwa Tsh. 27.47.

Serikali yoyote duniani ni lazima itambue watumishi wake, na kuwathamini kwani ndio nyenzo na kichocheo cha maendeleo katika nchi. Serikali imekusudia kuendelea kupandisha vyeo watumishi wake watakaokidhi vigezo kama inavyohitajika zaidi.

3. Nyongeza ya mwaka ya mshahara (Annual Increment).

Baada ya zoezi la uhakiki wa watumishi kukamilika Serikali ilitoa nyongeza ya mwaka ya mshahara kwa watumishi wa umma 505,985 kwa mujibu wa utaratibu. Jumla ya Tsh. bilioni 72.8 ziliongezeka, kati ya kiasi hicho Tsh. 37.2 zililipwa kwa walimu 270,878 na Tsh. bilioni 35.7 zililipwa kwa watumishi wasio walimu.

4. Ongezeko la mishahara kwa kiwango kisichotozwa kodi.

Pamoja na kupandisha vyeo watumishi wa Umma, kulipa malimbikizo yaliyorithiwa kutoka awamu ya nne, kutoa nyongeza ya mishahara na ajira vilevile Serikali ya awamu ya 5 imepandisha kiwango cha mshahara usiotozwa kodi.

Hatua hiyo imeongeza imeongeza pato halisi la mshahara (take home) kwa wastani wa Tsh. 100,000/= kwa kila mfanyakazi wa umma na sekta binafsi. Kwa kipindi cha mwezi July, 2020 hadi June, 2021 Serikali itatumia Tsh. billioni 517 kama ongezeko la pato halisi kwa watumishi wa umma. Hatua hii imeanza kutekelezwa kuanzia mwezi July, 2020. Halafu mtu aseme tofauti kwa maslahi ya watumishi wa umma.

5. Ajira mpya.

Serikali zote duniani haziwezi kuajiri watu wake wote peke yake isipokuwa ni lazima iwezesha na kuweka mazingira mazuri ya watu kuajiriwa na kujiajiri pia. Serikali ya awamu ya 5 imezalisha ajira nyingi kwa kuwezesha sekta binafsi kuajiri lakini pia Serikali yenyewe kuajiri jumla ya vijana 66,178. Jumla ya Tsh. billioni 54.9 zimeongezeka kila mwezi katika sekta ya ajira. Hapo unazungumza watumishi zaidi ya elfu 14 kwenye sekta ya afya, sekta ya ujenzi wa miradi ya kimkakati ambayo nayo imezalisha ajira nyingi sana. Kulipa madai yasiyo ya mishahara na kutoa mikopo isiyo na riba kwa watumishi wa umma.

Hadi kufikia Agost 2020, Serikali ya awamu ya tano imelipa madai ya watumishi yasiyo ya mishahara kiasi cha Tsh. billioni 358.1. Malipo hayo yamefanyika baada ya kuhakikiwa na kuondolewa malipo bandia yaliyokuwa yameghushiwa tu na wajanja.

Aidha, Serikali ya awamu ya 5 imefanikiwa kutoa mikopo isiyo na riba kwa watumishi wa umma. Jumla ya Tsh. billioni 54.8 zimetumika kwa ajili hiyo hadi sasa. Mambo yote haya yamefanyika na serikali kwa kutambua wajibu wake kwa watumishi wa umma na wa sekta binafsi.

7. Kulipa mishahara ya watumishi wa umma mapema na kwa wakati.

Leo kutoka kwenye kero ya watumishi kucheleweshewa mishaharo yao sasa watumishi wanateleza tu. Yani kabla ya mwezi haujaisha tarehe za mapema kabisa kuanzia Oktoba 23-27 mshahara unakua umeingia. Nani huyo anananga kazi kubwa ya kuboresha maslahi ya watumishi umma iliyofanyika?

8. Kudhibiti mfumuko wa bei na utulivu wa thamani ya shilingi ya Tanzania ili mshahara wa Mtumishi uendelee kuwa na nguvu.

Hili ni eneo ambalo Serikali ya awamu ya 5 imejitahidi sana kwa kuhakikisha hapawi na mfumuko wa bei ya bidhaa na huduma kwa kuendelea kubaki kuwa ndani ya wigo wa tarakimu 1 kwa wastani wa asilimia 4.4 toka mwaka 2016 hadi sasa na nguvu ya hela yenyewe hata ikiwa mia 1. Hii ni katika kuhakikisha hela anayopata mtumishi kwenye mshahara wake inaendelea kuwa na nguvu na imara zaidi. Sasa hawa wanaopotosha haya akina nani? Shubash!

#MITANO TENA.
Acha kupotosha watu Kama huna hoja kaa kimywa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Njoo na hoja zlizo waz, huko kuckia ckia kla mtu anasema lake.
Mm mwenyewe nmeskia eti lissu mtoto cio rizki 😄😄

Lisu alipigiwa simu na wafanyakazi wanaodai.

Embu thibitisha Sasa Kama mafao yanalipwa, maana wewe ndio unajua.

Na Wafanyakazi wanaodai nao watasema.
 
Asha Ommary Usijipitishe mbele ya wanaume umevaa kanga moja wakati umetoka bafuni. Kila mnaowaandikia bango lenu mnafiki ni wapinzani tu wakati watu ni waajiriwa na tunausema ukweli tangu niajiriliwe enzi za JK huyu malaika wenu hajawai kunipandisha daraja ambalo nastahi kupanda
 
the horse Sikia wewe kada uchwara ongeeni masuala ya madenge yenu na barabara ila sio masuala ya watumishi ya umma maana watu tunahasira sana kwa mnachotufanyia arafu unakuja na bandiko la kijinga usije kufikilia kuwa unaowaandikia bandiko lako kuwa hawako watumishi wa umma mimi ni mmoja wa watumishi hao, munyonge mnyongeni haki yake mpeni msilete siasa kwenye maslai ya watu
Hata mimi ni Mtumishi wa Umma. Ebu nieleze tumenyimwa nini hadi unatoa povu kiasi hicho? Kama ni nyongeza ya mshahara na unahisi ni haki yako, kwanini huendi mahakamani kuidai?
 
Magufuli amekuwa akirudia mara kwa mara kuwa kabla hajamaliza muda wakevatawaboreshea wafanyakazi maslahi yao. Na juzi tena akadikika akisema ukipandisha mishahara na bei za vitu zinapanda! Wewe unatiambia tulipandishiwa mishahara zamani! Hivi nyie mnatuonaje?
 
Andiko hili linatia hasira Sana.Mtu hajapata annual increment toka 2016 halafu unasema annual increment imekuwa ikitolewa.Watu wanadai malimbikizo halafu unasema wamelipwa.Watu wamesahau habari za kupanda madaraja halafu kuna mpuuzi anasema wamepanda
 
Back
Top Bottom