Enthusiastic
Senior Member
- Dec 21, 2023
- 109
- 256
Jifunze kutofautisha kati ya cosmetic surgery na constructive surgery
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitu vingapi vinafanyika bila kibali cha bunge amewahi kuhoji?? Wanaacha kuhoji sensitive issues anahoji ujinga wa mtu mmoja mmoja.MJADALA mkali umeibuka bungeni kuhusu upasuaji kurekebisha maumbile, ikiwamo kupunguza au kuongeza ukubwa wa makalio katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).
Luhaga Mpina, Mbunge wa Kisesa (CCM), ndiye aliyeibua zogo bungeni jijini, alipotoa hoja kwamba MNH-Mloganzila imeanzisha huduma hiyo kinyume cha Sera ya Taifa ya Afya ya Mwaka 2007.
"Hakuna mahali kwenye Sera ya Afya yetu ya Mwaka 2007 imeruhusu jambo hili. Operesheni ya matibabu, operesheni kwa ajili ya kuongeza makalio; ni operesheni ya kimapambo (cosmetic surgery), si ya mtu ambaye ana changamoto yoyote ile ya afya.
Baada ya Mpina kutoa kauli hiyo, Mbunge wa Gairo, Ahmed Shabiby, alisimama na kumpa taarifa Mpina, akisema hata kiuno kikikaa vibaya nayo ni changamoto ya kimatibabu.
"Kwahiyo, kukiweka kiuno vizuri, ni kusababisha binadamu atembee vizuri na aweze kuwa na umbo zuri," alisema Shabiby.
Hata hivyo, Mpina alikataa kupokea taarifa hiyo ya mbunge mwenzake, akisisitiza serikali imeanzisha huduma hiyo bila kibali cha Bunge wala hakuna sheria, kanuni na mwongozo wa utoaji huduma hiyo.
Asifanye masihara kwenye suala lenu la kuongeza makalio yenu kabisa, ama vipi?Jimboni kwake kuna mambo mengi ya kufanyia kazi, kama hilo halimuhusu, apite kule. Nchi lazima isonge mbele katika masuala ya sayansi
Alienda na ruler canteen ya bunge kupima urefu wa samaki.Hivi huyo mpina huko mbungeni ndo nani? Au yule aliyekuwa waziri wa uvuvi akipokea rushwa ya 5M kwa kila mvuvi kanda ya ziwa ili asimchomee nyavu zake wala kumpa kesi ya uhujumu uchumi?
Sera ya afya ya 2007 ndio iamue maamuzi ya 2024? Yaani gap ya miaka 17? We can't be serious. Hiyo sera tukiweka yote ambayo haijaongelea sidhani hata MRI scan zingenunuliwa au bima kwa wote ingepitishwa!!Hata hoja yake hujaisikiliza na kuielewa wewe unakurupuka tu kujibu
Huyo aliyeungua si ni mgonjwa huyo, Mpina anaongelea mtu asiye na ugonjwa ila kaona hana tako anataka kuliongeza ana nyonyo ndogo anaenda kuongeza na anasema hii surgery haipo kwenye sera ya ya taifa kiasi kwamba mtu akipata madhara hawezi kusaidika maana kitu kisichotambulika kimechomekwa tu
Mpina akili kubwaHata hoja yake hujaisikiliza na kuielewa wewe unakurupuka tu kujibu
Huyo aliyeungua si ni mgonjwa huyo, Mpina anaongelea mtu asiye na ugonjwa ila kaona hana tako anataka kuliongeza ana nyonyo ndogo anaenda kuongeza na anasema hii surgery haipo kwenye sera ya ya taifa kiasi kwamba mtu akipata madhara hawezi kusaidika maana kitu kisichotambulika kimechomekwa tu
Shida yako,ni uelewa mdogo,akili ndogo na chuki kwa mpina.ni vigumu kujua mpina ameongea nn.Huyo mpina ni takataka, kuna watu wanapata ajali za moto, wanahitaji juduma hizo kuweka sura zao sawa, yeye akili yake imekaa kuwaza makalio tu